Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Friday, March 24, 2017

JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? S02, Ep7 (Nyayo za Wageni Kutoka Sayari Ya Mbali - Mexico )

Pyramid za Mexico


Kama utakumbuka tulikuwa Peru, tulipokutana na mapiramidi matatu yaliyo jengwa kule ndiyo tukaamua kuja Gaza ambako nako kuna mapiramidi mfano wa yale ya Nazca, hakuna tulichopata kuhusu wajenzi wa majengo hayo ila maajabu ya kazi zao. 


The work of unknown civilazation of inkown epoch.

Mapiramidi ya Mexico yanakwenda kwa jina la Temple of Quetzalcoat, Pyramid of the Sun na Pyramid of the Moon. Majengo hayo yana wiana kwa vipimo na yale ya Misri kana kwamba mjenzi wake ni mmoja. Tofauti ni kuwa kwa hapa Mexco ukuta wake yamejengwa mfano wa ngazi wakati Misri ukuta wake umenyoka moja kwa moja, ingawa yapo mapiramidi madogo kule Misri yaliyojengwa mfano wa haya ya Mexico.
Thousands of miles away, different epoch, yet quite similar as if they were in contact with one another. Who are these engineers?  

Mapiramidi ya Mexico yanakwenda kwa jina la Temple of Quetzalcoat, Pyramid of the Sun na Pyramid of the Moon . Majengo hayo yana wiana kwa vipimo na yale ya Misri kana kwamba mjenzi wake ni mmoja. Kwenye mapiramidi hayo ya Mexico, kuna kitu kinachoitwa Street of the Dead, tafiti zinatuonesha kitu kingine cha maajabu kwenye mahusiano ya kimahesabu baina ya mapiramidi hayo , Street of the Dead na mfumo wa jua, ni kanakwamba mjenzi wako alikuwa anaichora solar system.
Mfumo wetu wa Jua na uwiano wa Majengo na mapiramidi ya mexico.

 Kama piramid la Temple of Quetzalcoatl tukilichukulia ndiyo jua, Street of the Dead itakuwa ikiwakilisha Asteroid Belt na sayari zilizopo ndani ya ukanda huo wa asteroid, Jupiter na Saturn ziliwakilishwa na Pyramid of Sun, Uranus ikiwakilishwa na Pyramid of Moon  wakati Neptune na Pluto zikiwakilishwa na kilima kilichoko kilometa kadhaa kaskazini mwa eneo hilo, kilima hicho bado hakija pekuliwa na watafiti kuona kina nini. 
Muonekano na mpangilio kutoka angani, wa Mapiramidi na majengo mengine ikiwemo street of the dead, mpangilio huo unawiana kabisa na nyota tatu za orion belt, lakini pia unawiana na mfumo wetu wa jua.

Majengo haya ya piramidi, kilima ambacho bado hakija pekuliwa pamoja na Street of the Dead kwa kutumia vipimo vya skeli uwiano wake na nafasi yake kutoka jengo moja kwenda jingine unawiana na nafasi pamoja na umbali wa sayari kama ulivyo katika solar system .
Muonekano wa Pyramid za mexico kwenye mchoro wa 3D.

Ni mwaka 1787 ndiyo watalam wetu waligundua kuwepo kwa sayari ya Uranus, Neptune tumekuja kuigundua mwaka 1846 na Pluto tumeigundua juzi tu mwaka 1930. Hakuna ustarabu wa zama zozote katika historia binadam uliopata kurikodiwa kuwa na elimu ya sayari zote katika solar system achilia mbali kufahamu nafasi baina ya sayari hizo.
Mfumo wetu wa jua na sayari zake ikiwemo dunia yetu.

Samahani kidogo, naomba tutoke nje ya sayari yetu lakini ndani ya mfumo wetu huu wa jua  (milk way)  tuingie kwenye sayari nyekundu, maarufu kama sayari ya Mars, bado tuna ndoto za kuikanyaga sayari hiyo, lakini kabla hatujafungasha mizigo yetu na kwenda kwenye sayari hiyo, tumegundua kuwa kuna vitu vya ajabu ambavyo vinatushangaza kuwepo hapo.
Yes, next to the Earth before you reach Jupiter~

 Mwanzoni wanasayansi wetu walidhani kuwa vitu hivyo kuwepo kwake vimefanywa na mabadiliko mbalimbali ya hali ya hewa vikisaidiana na vitu kama upepo na kadhalika, lakini hata hivyo imebainika kuwa vitu hivyo vimefanywa kwa ustadi, malengo, vipimo sahihi na kwa ujuzi wa hali ya juu, kwa maneno mengine vitu hivyo ni kazi ya mikono ya viumbe Fulani … viumbe gani hao? … 
Ni kweli picha hii ni ya kwenye Mars? Ni kweli kuna kinyago cha sura binadam hapo? Sijuiii !!!!

swali hili tumetoka nalo kwenye sayari yetu ya dunia mpaka hapa kwenye sayari ya Mars lakini na kuahidi kwa mapenzi yake Mungu kabla ya kuifunga sura  hii tutapata jibu kuwa ni viumbe gani  hao waliofanya kazi hizi.

Hat Sphinx wanasema lipo, Je ni kweli??!! Bado tuko mbali sana na kupata jibu la masawali hayo.

Katika eneo linalo itwa Cydonia kwenye sayari ya Mars picha iliyo pigwa na vyombo vya anga ilionekana uso wa mtu kwenye eno hilo . NASA wakiwa mstari wa mbele waliipinga picha hiyo na kuseam kuwa kinacho onekana siyo uso wa binaadam bali ni matokeo ya mwanga wa kamera na kivuli cha eneo hilo ndiyo vilivyo tengeneza picha mfano wa uso wa mtu, kwa maneno mengine kutokana na NASA picha hiyo siyo halisi. 
Was it or Is it? I dont know.

Hata hivyo nadharia hiyo ya NASA iliishiwa nguvu pale picha nyingine iliyopigwa kwenye Mars, katika eneo tofauti kwa viwango tofauti vya mwanga kulinganisha na ile ya kamera ya mwanzo, na picha hiyo ilionesha tena uso wa binaadam ukiwa umechongwa kama kichwa cha Sphnix kwenye aridhi ya Egypt, lakini hapa ni kwenye Mars ambapo hatuna ndoto za lini tutaikanyaga aridhi hii nyekundu .
Ni kwa kiasi gani hii picha kutoka kwenye syari nyekundu ina ukweli? Ni vigumu kuithibitisha, lakini pia si hekima kuikataa moja kwa moja.

Uso huo kwenye Sayari nyekundu unasemwa una urefu wa maili 1.6 kutoka kichwani mpaka kwenye kidevu na upana wa maili 1.2.  Watafiti wanasema uso huo una muonekano wa uso wa kawaida wa binadam na hivyo inakuwa ni vigumu kusema uso huo umechongwa na mazingira yake yenyewe kwa nasibu tu .
Tulicho nacho ni dhana tu, kiasi gani zina ukweli, bado ni swali ambalo linaweza kujibiwa na yeyote na kukataliwa na yeyote kuhusiana na Pyramid ndani ya Mars.

Lakini tukiwa na uso unao karibiana na uso wa Sphinix Egypt, hapa kwenye sayari nyekundu tunakutana na kitu kingine ambacho nacho hakiko mbali sana na uso huo kama ambavyo kilivyo karibu na Sphinix pale Geza, Egypt kweney sayari ya dunia. Kitu hichi si kingine bali ni Pyramid! Linaitwa D&M Pyramid, jina hili linatokana na majina ya watu wawili ambao walivumbua Pyramid hilo, nao ni Gregory Molenaar na Di Pietro, wote walikuwa waajiriwa wa NASA .  Pyramid hili limesimamishwa umbali wa maili kumi kutoka eneo ulipo ule uso wa binaadam, na kama lilivyo Pyramid kubwa la Egypt hili nalo hapa kwenye sayari nyekundu liko sambamba na muhimili wa sayari ya Mars. 
We are stranger indeed.

 Ni kama mjenzi wa kazi ile ya Egypty ndiye yule yule aliyefanya kazi ile pale Mexico, ndiyo yule yule aliye chora zile ramani, ndiye yule yule aliyechora ile mistari ya Nazca, na hapana shaka ndiye huyu huyu tunaye ikuta kazi yake hapa kwenye sayari nyekundu, sayari ya Mars, kama kweli ipo.

Swali la kujiuliza ni kuwa kama kuliwa na viumbe wenye teknolojia kubwa ya kuweza kufika kwenye sayari ya Mars au walikuwepo hapo toka awali na wakafanya vitu hivyo tunavyo viona, wamekwenda wapi viumbe hao? Kumbuka pamoja teknolojia tuliyo nayo bado hatujaweza kutoka nje ya obiti ya dunia! Achana na hadithi za kwenda mwezini, ulidanganywa mpaka sasa hakuna binadam aliyekanyaga mwezini! 

Zaidi kuhusiana na hili tizama posti hii, http://salimmsangi.blogspot.com/2014/12/hatukwenda-mwezini.html.


Kuna mengi ya kuandika kuhusu ustaarabu huu ambao hatujafahamu ni kazi ya kizazi gani katika zama zipi, nilikuwa napitia kitabu kinachoitwa The Prehistoric Alignment of the World Wonders kilicho andikwa na Jim Allison ambacho kimezama kwa kina kuelezea maajabu ya kazi za wajenzi wasiofahamika, nilistajabishwa na yaliyo elezwa humo, itahitaji makala nyingine kama hii kuelezea yote hayo na muda hauko upande wetu ila yoyote mwenye kutaka kuzama zaidi na kufamu ni namna gani historia imepotoshwa hana budi kukipitia kitabu hicho.

Bada tunaendelea na safari ya kumtafuta mjenzi wa kazi hizo za maajabu, bado swali letu la msingi ni kutaka kujua 'JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU?
Tukutane tena hapa next safari bado inaendlea ....

3 comments:

  1. Ukiangalia picha zote ni zakuchora,au zile zinazofanana kama zile zilizoonyesha Obama kumuua Osama Bin Laden,(1)Jee hawa viumbe wanatokea wapi?(2)wanaishi kwa kutumia nini ikiwa binaadamu anatumia Oxygen? (3)Ikiwa wanateknolojia ya hali ya juu,wapi wamesoma hiyo sayansi?(4)Na tecknolojia yao ilianzia wapi na kipindi gani?(5)Ikiwa hawa viumbe wapo wanaishi ulimwenguni,ni ipi nisabu yao?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kaka nashukuru kwa maswali yako mazuri, ila muelekeo wa posti yetu soon itajibu maswali yako, endelea kufuatilia.

      Delete