Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Thursday, December 24, 2015

DOLA YA KISHETANI NA USHOGA Ep. 4


Leo tunatizama namna ushoga unavyo fundishwa kwa watoto...

 WATOTO WANAFUNDISHWA USHOGA BILA IDHINI YA WAZAZI WAO.

Silka ya kumlinda mtoto ni imara kiasi ambacho hata mzazi ikibidi kutoa uhai wake kwa ajili ya hilo, atafanya. Silka hiyo si tu kwenye uhai wa mtoto lakini pia mpaka kwenye tabia za mtoto. Wazazi makini wanalitazama hili la maadili ya watoto wao tangu wakiwa wachanga na kuweka msimamo ulio nyooka kwamba njia tunayo taka upite ni hii na siyo ile. 


Wazazi wa aina hii wako makini sana na kitu gani watoto wao wanafundishwa, sababu wanafahamu shule si mahala pa kupata maarifa tu, lakini pia ni mahala ambapo tabia na njia ya maisha atakayo pita mtoto inatengenezwa.

Lakini kile ambacho watu wengi hawajakiona kuhusiana na suala zima la ushoga ni kwamba, walengwa wakubwa vita hivi siyo watu wazima, kwa uchache na kwenye mazingira maalum watu wazima wanalengwa kwenye mpambano huu. Lakini mlengwa nambari moja kwenye hili la ushoga ni watoto wetu. Watoto WA UMRI KUANZIA SIKU 1 MPAKA MIAKA 18-20.
Haki ya mtoto ya Privacy na kutafuta taarifa.

Mtu mzima mwenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea siyo tatizo sana kwenye hili, hana muda mrefu nguvu zitakuwa zimemuishia, na hana muda mrefu hii dunia atakuwa ameiacha. Lakini mtoto ambaye watampata kuanzia akiwa na umri mdogo huyu ni muhimu sana sababu huyu ndiyo atakaye chukua nafasi ya wazee wake, huyu akibadilishwa na vizazi vyake pia vitabadilika, huyu ndiye ndoto yao ya baadae. Hivyo nguvu inayo tumika kuwarubuni watoto hawa na wazazi wao kwenye hili ni kubwa zaidi kuliko nguvu inayo tumika kuwarubuni wazazi wenyewe.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Katika nchi za Ulaya na Marekani Ushoga upo kwenye silabasi zao kuanzia watoto wanao soma chekechea mpaka sekondari. Katika nchi zetu ambazo hatuna sauti zetu wenyewe bali kufuata tunayo ambiwa na mabwana wakubwa ni kwamba hivi sasa tunayo elimu ya ngono mashuleni. Hili si jambo jipya, hata hapa Tanzania elimu ya ngono inafundishwa kwenye mashule yetu kuanzia kwenye elimu ya msingi.

Tukumbuke hapo kabla hatukuwa na mitaala hii. Lakini tumeshinikiziwa na mabwana wakubwa mpaka tumeibeba, unafikiri itawawia vigumu mabwana wakubwa kutulazimisha kuwafundisha watoto wetu elimu ya ushoga?
VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.


Nakumbuka kwenye miaka ya mwanzoni ya 90 wakati nipo shule ya msingi, walikuja wataalam hawa, na kutufundisha kivitendo kabisa elimu ya ngono, hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona uume wa bandia na kuambiwa kuwa kondomu zinamafuta.
Watu hawa wanapiga vita sana unyago na jando, elimu ambayo makabila mengi ya kiafrika yamekuwa yakiitumia kuwafundishia vijana wao masula ya makuzi, majukumu na nafasi zao katika jamii. Elimu ambayo makabila hayo hayaitoi hovyio hovyio bali kwa kila baada ya muda fulani kwa watu wa rika fulani.


Lakini wakati wanapiga vita unyago na jando kama njia mbaya zinazo wafundisha watoto na vijana wadogo mambo yasiyo faa kwenye jamii. Nchi zao na mashirika yao yakisaidiana na mashirika yasiyo ya kiserikali wamekuwa wakifundisha ngono mashuleni, wakifundisha ngono mashuleni bila hata kujali watoto hao wana umri gani, bila kujali mazingira. Waafrika tuna jando kwa wanaume, na unyago kwa wanawake, lakini elimu ya ngono mashuleni haitenganishi, sisi tulifundishwa tukiwa mchanganyiko na wakati huo kukiwa na sera ya kukaa dawati moja wasichana wawili mwanaume mmoja katikati. Unaweza kudhani ni uwozo wa namna gani unao endelea kwenye mashule yetu? Hiyo ni miaka ya mwanzoni ya 90! Unajua sasa wanafundishwa kwa kutumia njia gani?

WATOTO KWA LAZIMA WANAFUNDISHWA NA KUTENGENEZWA KUWA MASHOGA.

Sasa hivi watoto wetu wanapatiwa vitabu mahususi vinavyo elezea elimu ya ngono na namna ya kupiga punyeto! Upo baba/Mama au unalipa tu ada?
VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Uhai wa Binadamu, tawi la Tanzania (Prolife Tanzania), limesema elimu ya ngono inayofundishwa shuleni, inapandikiza mbegu za uasi dhidi ya uzazi na uzao.

 Mkurugenzi wa shirika hilo Tanzania na Nchi za Afrika zinazungungumza lugha ya Kingereza, Emil Hagamu alisema elimu hiyo, inahimiza mauaji ya watoto wachanga kabla ya hawajazaliwa.

 Aliyasema hayo mwishoni mwa wiki na kuhimiza kuwa, malezi bora kwa watoto kulingana na mafundisho ya dini ni njia ya kuwaepusha na vitendo vinavyochochea ngono na wala si vinginevyo.

 “Katika elimu ya ngono watoto wanafundishwa viungo vya uzazi na jinsi vinavyofanya kazi. Wanafundishwa ‘vitendo vya wakubwa’ na jinsi mimba inavyotungwa,” alisema.

 “Masomo hayo yanaamsha hisia za kingono miongoni mwa wanafunzi na kuwajengea udadisi wa kutaka kujaribu,” alisema Hagamu.

 Alisema baada ya kuamsha hisia na vionjo vyao vya ngono, walimu wa somo la ngono wanawapatia wanafunzi zana za kufanyia ngono bila hofu.

 “Wanawaeleza wanafunzi hao kuwa, wapo maadui wawili katika elimu yao ambao ni mimba na magonjwa ya zinaa.
 “Ili kuepuka mimba na magonjwa ya zinaa, lazima watumie vidhibiti mimba. Kwa hiyo tangu utotoni wanafundishwa kuwa,  mimba ni kitu cha hatari kinachotakiwa kuepukwa kwa gharama zozote.

 “Kwa vile vidhibiti mimba vina viwango vya kushindwa, basi msichana anapopata mimba anashauriwa kwenda kutoa ili aendelee na masomo,” alisema.

 Alitolea mfano mhudumu mmoja aliwarubuni wanafunzi wa sekondari fulani jijini Dar es Salaam kwa swali hili, “nani kati yenu yuko tayari kuwaaibisha wazazi wake kwa kukosa masomo kutokana na mimba?”

 Alisema kuwa, kila msichana alijibu kwa sauti kubwa, “hakuna” basi yule mhudumu aliyetoka shirika fulani la nje lisilo la kiserikali akawaambia chagueni moja ya njia zilizopo, vidonge vya majira, sindano za depo provera, vipandikizi, vitanzi au kondomu.
 Alifafanua kuwa, wanafunzi hao walichagua walichokitaka na baada ya kutumia, licha ya kupata madhara, walifeli pia masomo, na wengine walikosa uwezo wa kuzaa hadi sasa.

 “Mbaya zaidi mhujumu yule aliwatengenezea wasichana hawa mazingira mazuri ya kuwa waasherati na kuwaweka katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ukiwemo ukimwi,” alisema.

 Alitanabiasha kuwa, kuhusu madhara ya elimu ya ngono shuleni,wataalamu mbalimbali waliwahi kusema, “vitendo vya ngono miongoni mwa watoto vinaongezeka kwa kadiri elimu hiyo inavyofundishwa, kwa kadiri elimu hiyo inavyotolewa katika umri mdogo ndivyo watoto wanavyojiingiza katika vitendo vya ngono katika umri mdogo”.

 Alisema vitendo holela vya ngono husababisha mimba katika umri mdogo na kuongeza miongoni mwa watoto wa shule ndivyo, vitendo vya utoaji mimba au utupaji wa watoto vinavyoongezeka.

 Prolife inaamini kuwa, utaoji mimba ni mauaji kama yalivyo mauaji mtu mzima. (chanzo: http://muniramadrasa.blogspot.com/2013/11/elimu-ya-ngono-mashuleni-ina-hamsha.html)

Kwahiyo utaona sasa si kwamba wanawafundisha elimu hii ya ngono lakini na zana za kufanikisha tendo hilo pia wanawapatia.

Wanasema unyago na jando vinachangia ndoa za utotoni, mimba, udhalilishwaji wa mwanamke, mtoto wa kike kukatizwa ndoto zake, lakini tumeona kwenye hiyo taarifa hapo juu kuwa elimu ya ngono mashuleni madhara yake ni maradufu zaidi ya yale wanayo sema yanapatikana kwenye unyago na jando.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Tafiti zinatuonesha kuwa ubongo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu 4 katika ufanyaji wake kazi. Sehemu hizo ni frontal, temporal, occipital, na parietal lobes. Sehemu inayo itwa ‘frontal’ au Frontal Lobes ndiyo sehemu inayo husika na utambuzi, ufanyaji wa maamuzi, kutambua baya na zuri, kuweka mipango ya baadae, kufikiri kutaja kwa uchache. Sehemu hii ya ubongo inanza kukua na kukomaa taratibu na inafikia ukamilifu wake mtu anapofikia miaka 20 mpaka 25. Mtoto anapokuwa kwenye miaka 10+ sehemu hii bado haijakomaa kabisa, bado muhusika ni mtoto.

Hii inamaanisha kuwa kile ambacho watoto wetu wanacho fundishwa katika umri, hasa yale ambayo yanawataka wafanya maamuzi wenyewe, kama elimu ya ngono, ni jambo baya na la hatari sana dhidi yao, sababu unawafundisha kufanya maamuzi ya kufanya au kutifanya ngono, wakati uwezo wao wa kufanya maamuzi haujakomaa kabisa na haupo kabisa kwa wengine, lakini mbaya zaidi na zana za kufanyia ngono unawapatia. Kwa maneno mengine watoto wetu hawafundishwi kufanya ngono, bali wanashurutishwa wakafanye ngono sababu katika umri huo wao bado hawajawa na hiari ya kuchagua kipi kibaya au kipi kizuri.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

 Wafanyaji wa jambo hili wanajua kabisa hicho na wanatumia nafasi hii kuharibu vizazi vyetu vijavyo, sababu mwisho wa siku wanawapa uhuru wa kuchagua, uwezo ambao hawana, nakuwarubuni wawe makini na mimba na magonjwa ya zinaa.


Tukirudi kwenye mada yetu ya ushoga na watoto, hivi sasa wanataka si kwamba watoto wafundishwe elimu ya ngono tu, lakini wafundishwa kuwa kufanya tendo hilo na mtu wa jinsia moja na yako ni sawa sawa kabisa. Kwa hiyo bado tupo palepale, mpaka miaka 25 ndiyo uwezo wa kufanya maamuzi sahihi au si sahihi ndiyo unakuwa umejengeka, mtoto huyu kumfundisha kufanya ngono, lakini zaidi kufanya uchafu huo na mtu wa jinsia sawa na yeke wakati ambao hajui kibaya na kizuri kwa mapana yake, hiyo ndiyo haki yake au huko ndiko kumpokonya haki yake.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Lakini shetani huyu nyuma ya mambo yote haya anafahamu fika kuwa ‘elimu’ si mafunzo tu, lakini elimu kwa mtoto ni utaratibu wa kuyabadilisha maisha yake, kimtazamo, kivitendo, kitabia na hisia pia. Anafahamu kuwa akiachiwa aendelee na utaratibu huu kama anavyo fanya, mwisho wa siku huyo mtoto anakuwa ni mtumwa mzuri wa shetani. Inamuhakikishia kuwa vizazi vitakavyo tukana na watoto wa aina hii ni jeshi lake zuri kabisa.

Je mzazi unalipa ada mtoto wako aje kuwa mwanajeshi wa adui yako? Think.
VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Wale wanao tetea elimu ya ngono mashuleni, na elimu ya ushoga mashuleni, wanafahamu fika lengo lao hili likifanikiwa, watoto hawa wanakuwa ni wa kwao. Elimu hii haina malengo ya kufundisha haki sawa na kuvumiliana baina ya jamii ya mashoga na wasiyo mashoga, haina lengo la kuzia mimba za utotoni, ndiyo kwanza zinazidi, haina lengo la kuzioa maambukizi ya UKIMWI, na magonjwa ya zinaa, ndiyo kwanza yanazidi, haina lengo la kuzuia ukatiliwa kijinsia kwa watoto wa jinsia zote ndiyo kwanza unazidi, maneno yoye hayo matamu waliyo weka ni kwa ajili ya kuwarubuni wazazi na jamii kwa ujumla.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

 Walimu wasiyo waerevu na wasimamizi wa mashule wasiyo jua chochote au walio amua kwa makusudi kufumbia macho uozo huu, na watu wabaya nyuma ya mpango huu wanajua kabisa mwisho wa siku kinacho tokea ni kinyume cha hayo yote wanayo wasema.

Kinachotokea ni kuongezeka kwa mimba za utotoni, kinacho tokea ni watoto wa kike kukatizwa ndoto zao na kuishia kuwa machangudoa, kinacho tokea ni ukatiliwa kijinsia kwa watoto wa jinsia zote mbili, kinacho tokea ni utoaji wa mimba ambao hauna tofauti na mauwaji ya kinyama.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Starehe ufanye wewe halafu uje kudhulumu uhai wa binadamu mwingine, kwa kuhofia, utamlisha nini, au utamvisha nini, au  atasoma wapi. Wewe ulizaliwa na vyote hivyo? Wewe ndiye unaye gawa riziki siku hizi? Mbona unajipa kazi zisizo zako?

Mtu wa kawaida ambaye anaamini kazaliwa afanye kazi ili aishi, yaani yeye ni kuamaka asubuhi-kazini-nyumbani, hamna jingine. Anafanya kazi ili alipe kodi, ada, na kila aina ya bili inayo muhusu. Mtu huyu ni vigumu kuelewa kwamba pesa yake anayo itoa, nchi yake anayo itumikia, inaweza kumsaliti kiasi cha kutumia kodi na pesa zake kuwarubuni watoto wake kufanya yale ambayo anajua kwa akili ya kawaida, anajua kwa mtazamo wa kijamii, anajua kwa mtazamo wa kidini hayafai.
VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

 Mtu huyu hawezi kuamini, kwanza ni vigumu kumkuta anasoma aina hii ya maandishi. Lakini maneno ya mwisho kabisa na yaliyopigiwa mstari mnene chini yake ndivyo yanavyo sema hivyo, mtoto wako ni bomu linalotengenezwa kwa gharama yako mwenyewe kwa ajili ya kukulipua wewe na uzao wako utakao fuata.

Msimamizi wa sera hizi anaandika kutoa mwongozo wa namna ya kushinda vita vyao hivi dhidi yetu sisi.  Kutoka kwenye Official Journal of the American Humanist Association bwana John Dunphy mwaka 1983 aliandika hivi;

“Nimejiridhisha kwamba vita vya baadae dhidi ya umma lazima vipiganwe kwenye madarasa ya shule za umma vikiongozwa na walimu kama wahubiri wa imani hiyo mpya … Madarasa yatakuwa ndiyo uwanja wa mpambano baina ya mfumo wa zamani na mfumo mpya …”
VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Mwamapinduzi wa ushoga, Mark Swift aliandika Februari 15, 1987 hivi;

“Tutawafanyia usodoma watoto wenu, tutawalaghai na kuwalainisha kwenye mashule yenu, kwenye mabweni yenu, kwenye vyumba vya mazoezi, kwenye makabati, kwenye vikundi vya vijana, watoto wenu watakuwa watumwa wetu na kufanya matakwa yetu. Watatulilia, kututamani na kutukubali. Sheria zote zinazo pinga ushoga zitafutwa, (nchi baada ya nchi zimeanza kufuta sheria hizo) na kinyume chake sheria zitapitishwa ambazo zitaruhusu ushoga (nchi baada ya nchi zimeanza kukubali sheria ya ushoga), waandishi wetu na wasanii wetu watafanya ushoga kuwa ni fasheni, (kazi mbalimbali za sanaa na wasanii zinafanya propaganda za ushoga kama tutakavyo kwenye post itakayo fuata), tutanyanyuka na jeshi kubwa kupambana na wewe (jeshi hilo linaandaliwa kwenye mashule yetu kupitia elimu ya ngono kwa kutumia ada na kodi zetu), familia (mke mume watoto) zitafutwa (hili linafanyika kupitia haki za watoto na haki za wanawake, mungu akipenda nitawaletea post yenye maudhui hayo.), vijana wazuri watazalishwa kupitia utaatibu wa kimaabara (hili ni sehemu ya jeshi lao, na wameshaanza kutengenezwa), … makanisa yote (na nyumba zingine za ibada) ambazo zinapinga ushoga zitafungwa (viongozi wa kidini kadhaa wameshafunguliwa mashtaka kwa kuongea lugha kali dhidi ya mashoga na vitendo vyao). Waungu wetu wa kipekee ni vijana wazuri wa kiume. Wanaume wote ambao wabaki na ujinga wa kuwapinga mashoga watapelekwa kwenye mahakama za mashoga na watapotezwa (hii ndiyo maana ya haki za mashoga, haki za binadam, na mambo ya haki sawa, waulize Malawi watakuambia maana yake) …”
UNADHANI MTOTO WAKO YUPO SALAMA KWENYE HILI? UNAFANYA NINI KUHAKIKISHA USALAMA HUO?

Upo?
Ni kwa kiasi gani yaliyo andikwa hapo yametokea?
Nafasi yako ni ipi dhidi ya hayo?
Suluhisho au sehemu ya tatizo?
……….
Kumekuwa na kesi nyingi za mashoga kuwalawiti watoto wadogo wa kiume na vijana ambao bado hawajabalehe. Ni kima Mashoga hao wanawaandaa watoto wadogo wa kiume kuwa mashoga wa baadae.
MTOTO WAKO ANATIZAMA NINI KWENYE CHANELI UNAZOLIPIA KWA PESA YAKO?

Shimo la uovu daima ni chini linakwenda, baada ya haki za mashoga nini kitafuata, haki za mashoga kufanya ngono na watoto wadogo wa kiume na kike? Haki za kufanya ngono na wanyama? Haki za kufanya ngono na maiti? Hawatoishia hapo juu.
Suluhisho ni moja tu.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.



KUONDOA UOVU HUU KWA KILA NJIA INAYO WEZEKEKANA, KUUNDOA WOTE NA KWA PAMOJA.
MTOTO WAKO ANATIZAMA NINI KWENYE CHANELI UNAZOLIPIA KWA PESA YAKO?


No comments:

Post a Comment