Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Monday, December 14, 2015

DOLA YA KISHETANI NA USHOGA Ep. 3

Uwongo ndiyo uti wa mgongo na moyo wa agenda hii ya Ushoga.


Daktari analizungumzia hili la kinasaba cha ushoga.

Leo tunatizama uongo wa kusema ‘USHOGA NI MAUMBILE YA ASILI’ au ‘USHOGA UPO KWENYE VINASABA ‘DNA’ ZA BINADAM.
Huo ni urongo kama tutakavyo ona.





Kusema kauli hizo, ni kwa makusudi mazima ya kupunguza msuguano na makali ya nguvu kinzani dhidi ya ushoga. Kwamba hali ya ushoga mtu anazaliwa nayo, na kwamba ni maumbile ya kiulimwengu ambayo inabidi wengine tuyakubali na tusiwapinge wala kuwaoneshea vidole.

Hii ndiyo kazi ya sayansi na wanasayansi wa kutengenezwa, kwamba wamegundua kunayo kinasaba katika maumbile ya binadam aynayo mfanya kuwa shoga.

Lakini ukweli wa msingi ni kwamba, mtu hazaliwi ‘shoga’ lakini anachagua kuwa shoga katika mwenendo wa maisha yake. Hivyo ushoga mtu hazaliwi nao, bali ni tabia nayo amua kuifuata mtu baadae katika maisha yake kama zilivyo tabia zingine. Mtu hazaliwa na ‘kinasaba’ cha wizi au uzinifu lakini mtu anachagua kufanya matendo hayo katika mwennendo wa maisha yake, na akitaka pia anaweza kuyaacha na kuwa sawa na wanajamii wengine.

Kama yalivyo matendo mengine maovu, ushoga nao ni mojawapo ambayo ni kinyume na sheria za kimaumbile zilizo wekwa na Muumba Mwenyewe. Kutengeneza mbadala mwingine dhidi ya ukweli huu, ili matendo yao machafu yafanyike bila yeyote kuguna ni moja ya njia ya kupunguza haya na aibu kwa mashoga ambao wengi wao wanajidhiki na kuteseka na msongo wa mawazo unao sababishwa na mkanganyiko baina ya nafsi na akili zao. 



Kwamba ITS OK TO BE GAY! Lakini ndani kabisa kwenye nafsi zao, wanapokuwa wenyewe, na kuzitazama nafsi zao, na kuzihoji akili zao juu hili, hakuna wanachopata zaidi ya aibu, haya, soni, mashaka, vinavyo pelekea kupata msongo wa mawazo, na mwisho kabisa kukiri katika nafsi zao kuwa wanacho kifanya kinapingana na sheria za kimaumbile.

Lakini ndiyo wameshageuzwa kuwa mashine ya kuitengeneza jamii kukubaliana na uozo huo, watafanyaje? Inabidi wameze japo ni chungu, mwisho wa yote wanaishia kuteseka wao na kila aina ya dhila unalo lijua, watatumia dawa za kulevyia kupindukia, ulevyi kupindukia, kila aina ya uchafu wa kupindukia na mwisho wa siku wanaacha, ‘socide note.’




Wakufunzi wa agenda hii wanatumia msamiati kama vile, ‘we are born that way’, kauli hii inawapa matumaini mashoga waweze kupambana na nafsi zao wenyewe ambazo zinakiri kuwa ‘they ate not born that way’, lakini pia inawapa wanasodoma ‘confidence’ ya kutembea kifua mbele na kujitangaza kwa uma kuwa wao ni wanasodoma na gomora.

Hawataki kusikia kabisa kwamba usodoma na gomora ni ugonjwa na unatibika. Kukubali kwamba ushoga ni ugonjwa na unatibika ni kukubali kwamba ushoga si maumbile ya asili na wala hakuna kinasaba cha ushoga. Hivyo hilo linapingwa vikali na usishangae ukafunguliwa mashtaka ya kuwabagua na kuwanyanyapa mashoga chini ya vifungu vya haki za binadam.

Katika mazingira ambayo watu wa jinsia moja, mathalani wanaume wametengwa, kama magerezani, mashuleni, jeshini na kwengineko, baadhi ya wanaume watafanya vitendo vya ushoga kwa makusudi kama njia ya kuonesha, ubabe, nguvu, kiburi, utawala wa mabavu dhidi ya mfanyiwa. Lakini wote mfanyiwa na mfanyaji baadae katika maisha yao wataoa na watapata watoto.

Utaona ni maamuzi ya mtu kuchagua kupita njia hiyo. Mashoga wanapiga kelele kama kuna uchaguzi, basi uchaguzi wa wao kuwa mashoga haujafanywa na wao, bali ni mpango wa Mungu. (Mola Tusamehe) Hivyo wanaukataa ukweli kwa kumrushia lawama Muumba kwamba ndiye aliye wachagulia kuwa hivyo. Lakini kwenye masuala mengine ni uchaguzi wao, kasoro hili, utaona ubinafsi walio nao, mazuri ya kwao, mabaya, ya Mungu.

Utawaona mashoga wanatembea kwa mshikamano, wakiwa uchi au nusu uchi, kuelezea uhalali wao wa kuwa mashoga. Lakini hili huwezi kuliona kwa watu ambao si mashoga kwamba wanatembea kwa mshikamano kuelezea jinsia yao, au kuwalazimisha watu kuifuata na kuikubali, hii ni kwasababu kile kinacho elezewa na mashoga kuwa ni chao, si chao bali wamekiokota walipo kiokota na wanataka kukihalalisha kwa kila namna na kwa kila jinsi kwa wengine ili waishi kwa amani, lakini, mwizi ni mwizi tu, anaporudi ndani kwake na kuhesabu marundo ya fedha alizopora, anakiri kwa nafsi yake kwamba si zake bali kapora, na ilivyo kwa mashoga, mwisho wa siku wanapokuwa wenyewe, bila kamera mbele yao, bila kipaza sauti karibu yao, bila mashoga wenzao pembeni yao, wanakiri, hili si langu, na huyu si mimi!!!!

Haijalishi ni ukelele mkubwa kiasi gani unao pazwa, au ni nguvu kiasi gani inayotumika kulifanya jambo la ushoga ni jambo la kawaida, ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote, bahari ya maandishi ya kughushi, na propaganda zinazofika kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro haviwezi kubadilisha ukweli huo. Kwamba Ushoga siyo ‘life Sytle’ bali ni ugonjwa wa akili na unatibika kwa anayetaka kufanya hivyo. 

Siku zote ugonjwa haubebi chochote ispokuwa magonjwa, na ukiachwa utaendelea kualika magonjwa mengine yaje kushiriki karamu. Ugonjwa wa ushoga nao uko hivyo hivyo, tafiti huru na zilizo kawaida kabisa zinaonesha hili.

·      Kiwango kikubwa cha msongo wa mawazo, woga na wasiwasi kwa ujumla wake, utumiaji wa dawa za kulevyia wa kupindukia na mfano wake, yameripotiwa kwa kiasi kikubwa kwa mashoga, tena vijana.

·      Kiwango kikubwa cha wasiwasi, mabadiliko ya mara kwa mara ya tabia, matumizi makubwa ya huduma za afya, hasa afya ya akili (saikolojia) nalo limeripotiwa kwa kiasi kikubwa kwa mashoga kuanzi miaka 15 mpaka 54.

·      Ushoga wenyewe umekuwa ni ugonjwa dhidi ya utamaduni wa sehemu husika na kumekuwa na vita baina ya jamii ya mashoga na wale wasio kuwa mashoga.

·      Ugonjwa wa ushoga umepelekea mpaka kwa nchi na viongozi wa kidini kulazimishwa kubadilisha katiba au vitabu na mafundisho ya dini zao ili waweze kuwapa mashoga haki sawa na raia au waumini wengine.


·      Mashoga wanabadilisha sheria za kuasili, ili waweze kuasili watoto, na baadhi ya nchi wamesha ruhusiwa kufanya haya. Wanapora watoto wa wengine na kuwafanya wa kwao. Hawataki kuwa na watoto lakini wanataka kuwa baba na ‘mama’ wa watoto wa watu wengine. Ajabu sana.
·      Watoto wadogo wa kiume wamekuwa waathirika wakubwa wa vitenfo hivyi vya kishoga, kutoka kwa makasisi, viongozi wa kidini wanao tumainiwa, walimu na viongozi wengine katika nyadhifa mbalimbali, watoto wetu wa kiume si salama kwenye macho ya wagonjwa hawa.

Watu wa haki za binadam, wanaharakati wa haki sawa na zile za mashoga, wamefanya kazi hii chafu kwa nguvu na kila hila na mbinu waliyoijua kumimina propaganda za kila aina kwa jamii ili wailaghai na kuwarubuni kukubali uozo huu kwenye maisha yao ya kila siku, hali wanajua kabisa ushoga ni uchafu, uozo, ugonjwa na moja ya mbinu chafu za shetani za kumshusha binadam katika hadhi ya chini kushinda mnyama.

Kusema ushoga unayo kinasaba ni propaganda za kuzishika akili za watu kama walivyo zishika kwa kutuambia kuwa ukimwi umeletwa na sokwe. Hawana ushahidi wowote wa hicho kinacho itwa sayansi kuthibitisha madai yao hayo ya kinasaba cha ushoga, kama ambavyo ni zaidi ya miaka 30 sasa na hawajaweza kuthibitisha japo kwenye karatasi moja la A4 kuwa ukimwi umeletwa na sokwe.

Yote wanayo taka kuyafanya ni kuona dunia nzima imezingirwa na kiza cha maovu, ufedhuli, ushetani na kila baya unalo weza kulifikiria ili dola ya kiza, dola ya shetani, dola ya Al Masih Dajjal/Mpinga Kristo isimame pasina kizuizi.

Nadharia kwamba ushoga una kinasaba cha DNA kwa muhusika na kwamba ni kitu ambacho muhusika hawezi kukibadili sababu ndivyo maumbile yake yalivyo, na sawa yeye kuwa hivyo, na ni makosa makubwa kumnyooshea vidole na kumlaumu, watu wenye nadharia hii wanatukuza vitendo vya Sodoma na Gomora na kumnyooshea kidole yule ambaye anasema tofauti.

Lakini ukweli ni kuwa shoga anatengenezwa, au anajitengeneza, lakini mtu hazaliwi shoga. Mtu anafanya uchaguzi wa kuwa shoga kama ambavyo mlevi anavyo chagua aina ya kilevi anachotaka, lakini haimaanishi kuwa kazaliwa mlevi.

Wazazi / walezi wanayo nafasi kubwa ya kuamua mtoto awe nani baadae. Familia ambayo inasema ni sawa mtoto kuwa vyovyote atakavyo, inafanya kosa kubwa la kusimika misingi ambayo baadae itakuwa chanzo cha mtoto huyo kuwa ni adui kwa jamii.

Mtoto anaye lelewa na mashoga wawili unadhani hatma yake itakuwaje?
Unadhani mtazamo wake utakuwaje juu ya suala hilo?
Kwanini basi kama ushoga ni kitu unazaliwa nacho kufanyike kmapeni kubwa ya gharama kubwa, hata nchi itishiwe kunyima misaada kwa sababu tu inawanyima mashoga ‘haki’ zao.


Kwanini waandamane barabarani uchi? Kwanini waendee umbali wote huo ni kitu gani wancho jaribu kusisitiza? Kwamba wako Ok? Au wanajifariji kwamba wanaweza kukubalika kwa njia hiyo? Mbona basi kesi za wao kujiua zimekuwa nyingi kushinda watu wa kawaida? 




Mtanange wa mada hii bado unaendelea, tukutane tena hapa, kutizama namna ushoga unavyo fundishwa kwa watoto ... Yes watoto wanaanza kufundishwa siyo ngono tu, lakini ushoga pia ... anafundishwa wapi? anafundishwa na na nani? Nani analipa gharama za elimu hiyo ? ..
Dont miss, I will tell You here here....


2 comments: