ILANI YA MASHOGA
Leo nataka tuongele suala la Mashoga!
Kwa waaumini wa dini mbalimbali suala hili ni moja ya alama za siku za
mwisho. Kwa maadui zetu ni alama muhimu ya kufikia kwenye malengo yao mahususi.
Ushoga kwanza unaingia kwenye ile mbinu ya
kupunguza idadi ya watu duniani. Pili ushoga unachangia kusambaza nguvu
hasi (negative energy) kwenye uso wa dunia ambalo hilo ni muhimu sana kwa dola
la Shetani kusimama.
BENDERA YA MASHOGA
Mtandao wa mashoga haujapata nguvu na sauti kwa bahati mbaya, na sasa nguvu
na sauti hiyo inasukumwa ionekane na kusikika katika kila kona ya dunia. Lakini
wenye hekima na busara tunafahamu kabisa kuwa nguvu na sauti hizo si zakwao
hata kidogo. Lakini ni watu wachache tulio wapa nguvu na sauti hiyo kama
viongozi ndiyo wameruhusu mashoga kupaza sauti katika kila uchochoro wa dunia.
Kama watu hao tuliowapa madaraka, vingozi wa mataifa, mashirika na taasisi
za kitaifa na mataifa, za serikali na zisizo za serikali, wengetaka hili la
ushoga kuwa kitu chenye nguvu, basi kisingekuwepo wala kusikika kokote pale.
Lakini wao ndiyo wanataka hivyo, kwa nia na mipango ya michafu kwa faida yao
binafsi ya kuona dunia na jamii yake inaharibika kufikia nukta ya kushindwa
kutengenezeka tena, ndiyo maana si kwamba waliachia tu kizagae, lakini pia
wamelipa nguvu, sauti, zana, fedha na sheria ya kuulinda huo Ushoga na mashoga
kote duniani.
Ikawaje ghfla ushoga imekuwa ni haki ya msingi kwa binadamu? Ipo sababu.
Museven Alipobanwa na Kulegeza Masharti.
Sababu ya ushoga na mashoga kupata kupata nguvu na sauti dhidi ya wote
tunaopinga, ni kwamba; Maadui zetu ambao tumewapa nguvu zisizo na mipaka
wanatawalia kila unacho kiona kwenye uso wa dunia moja kwa moja au kupitia kwa,
na hii ikiwa ni pamoja na lakini siyo tu na mfumo wa elimu, siasa, mfumo wa
habari, biashara, dini n.k
Watu hao wachache sana, ambao ni sawa na asilimi 1 ya watu wote duniani,
ndiyo waungu watu wa dunia ambao wanaweza kuamua mvua inyeshe Kenya na siyo
Tanzani, wanaweza kuamua mtetemeko wa aridhi utokee China na siyo United
Kingdom. Wanaweza kuamua ni nani awe raisi wa nchi gani na nani asiwe.
Wanasiasa kwenye mabunge ya kutunga sheria, mawaziri na maraisi si chochote
mbele ya watu hawa, hawakohoi wala kujikuna mpaka waambiwe na mabwana wakubwa
hawa. Hawa ndiyo wanaoishikilia dunia na kuiongoza kuelekea kwenye sehemu ya
giza ambalo haijawahi kuonekana hapo kabla, giza la kiroho, kiakili, kiuchumi
kisiasa kidini na kimaadili.
Giza hilo ni hatua muhimu ya kusimamisha Dola la Shetani kwenye uso wa
dunia, dola ambalo shetani ataabudiwa badala ya Mungu na Masih Dajjal ndiyo
atakuwa raisi wa dola hilo. Watu hawa wacheche wanao isukuma dunia huko ni kama
mitume na manabii wa dini na dola hilo la shetani.
Safari hii mitume hao wanahubiri ushoga kama moja ya matendo maalum na lenye
kustahiki kupewa haki na uzito sina raia tu, bali hata na serikali husika
lazima iheshimu na kulitambua hilo.
NGUVU YA AJENDA YA USHOGA IMEPENYA MPAKA KWENYE NYUMBA ZA IBADA
Mfumo wa kimaumbile tuliowekewa na Mola wetu Mtukufu tuishi kwenye mfumo
huo, unatakiwa uondoke maana ni wazamani na sasa unatakiwa mfumo mpya wa
kishetani, New World Order!
Kabla mfumo mpya wa Kishetani hauja simamishwa rasmi, tabia na matendo ya
kishetani lazima yatambae na kuonekana kote duniani, hii itavunja pia nguvu ya
kiroho ya kupambana na dola hilo.
Hivyo basi manabii wa dini hii ya kishetani, bila kuchoka, kwa milenia
kadhaa, kizazi hadi kizazi wamakikisha dunia inaharibika kimaadili (kiroho),
kiuchumi, kijamii n.k. Na sasa katika zana walichagua katika kuporomosha
maadili ya umma, ni ushoga. Umepewa nguvu na sauti kubwa katika nchi za Ulaya
na sasa unasukumwa kwa nguvu kuingia katika mabara mengine duniani, na kama
tunavyoona nchi moja baada ya nyingine zinameguka na kudumbukia kwenye bahari
hilo la giza, uchafu na uozo mithili ya aridhi inayo mong’onyolewa na mkondo wa
maji.
Utaona suala la kufanya vitendo vya ushoga si suala la kisiasa bali la
kiroho (dini) zaidi. Lakini manabii hawa wamelifanya kuwa ni suala la kisiasa.
Ushoga unaelezea hali mbaya ya roho iliyokufa kimaadili na inayotishia
kuiambukiza jamii uozo huo. Hta kidogo hali hii haiwezi kuelezwa kwenye uwanja
wa siasa, bali kwenye maholi ya kidini na viongozi wa kiroho katika jamii.
YES! USHOGA HATUTAKI, LAKINI NI NANI TYNAMUAMBIA? OBAMA NAYE NI NABII WA DINI HII!!!
Wanasiasa wamevaa majoho ya viongozi wa dini na kuanza kuhubiri kuwa ni
haki ya binadamu kumpenda yeyote amtakaye, na sisi tunasema ni sawa kumpenda
yeyote, LAKINI si ushoga, sababu ushoga si MAPENZI, bali ni TAMAA ya roho
iliyochafuka na iliyopotezwa katika shimo refu lenye kiza kinene cha kila aina
ya uozo, hata kidogo kuingia katika shimo hilo siyo haki ya Binadam.
Ushoga ni moja kati ya silaha nyingi zinazotumiwa na maadui zetu, lakini
zaidi ni moja kati ya zilizo kuu katika kuvunja na kuporomosha maadili kwenye
uso wa dunia.
Ni vipi tumefika hapa?
Halafu tunatokaje?
SHOGA WA KENYA AKIWA KWENYE MAANDAMONO YA KUTAKA HAKI ZA MASHOGA ZITAMBULIKE!!!!!!!
Haitoshi wao kuwa mashoga, haitoshi wao kuifanya dhambi hiyo kwa kificho, lakini wanataka na wengine nao waone ni sawa kufanya vitendo hivyo, ni sawa wao kukiri dhambi hiyo hadharani, lakini zaidi wasibaguliwe kwa dhambi hiyo na wasiwekewe vizuizi kufundisha wengine kutenda dhambi hiyo. Ulimwengu ni wao, na kama tutanyamaza kwa sababu yeyote hilo, basi TUMEKWISHA ...
Leo tunaishi kwenye
ustaarabu ulio poromoshwa hadhi yake na kufikia ile ya hayawani. Ustaarabu wa
mataifa mbalimbali umekuwa ni ngano za kale, na muelekeo tunao kwenda hakuna
anayetakiwa kusimama kwenye njia ya ustaarabu huu ulioza. Kama alivyosema Bush
“You are either with us or with the terrorist”.
Na kama
Tafsiri ya Gaidi kutokana na kauli ya Bush ni kupingana na haya yote na
yale yote yanayo fanana haya, basi Iam the terrorist ...
Catch me here
... ndiyo kwanza tunaanza .....
No comments:
Post a Comment