Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Monday, November 2, 2015

DOLA YA KISHETANI NA USHOGA



ILANI YA MASHOGA



Leo nataka tuongele suala la Mashoga!

Kwa waaumini wa dini mbalimbali suala hili ni moja ya alama za siku za mwisho. Kwa maadui zetu ni alama muhimu ya kufikia kwenye malengo yao mahususi.

Ushoga kwanza unaingia kwenye ile mbinu ya  kupunguza idadi ya watu duniani. Pili ushoga unachangia kusambaza nguvu hasi (negative energy) kwenye uso wa dunia ambalo hilo ni muhimu sana kwa dola la Shetani kusimama.
BENDERA YA MASHOGA

Mtandao wa mashoga haujapata nguvu na sauti kwa bahati mbaya, na sasa nguvu na sauti hiyo inasukumwa ionekane na kusikika katika kila kona ya dunia. Lakini wenye hekima na busara tunafahamu kabisa kuwa nguvu na sauti hizo si zakwao hata kidogo. Lakini ni watu wachache tulio wapa nguvu na sauti hiyo kama viongozi ndiyo wameruhusu mashoga kupaza sauti katika kila uchochoro wa dunia.



Kama watu hao tuliowapa madaraka, vingozi wa mataifa, mashirika na taasisi za kitaifa na mataifa, za serikali na zisizo za serikali, wengetaka hili la ushoga kuwa kitu chenye nguvu, basi kisingekuwepo wala kusikika kokote pale. Lakini wao ndiyo wanataka hivyo, kwa nia na mipango ya michafu kwa faida yao binafsi ya kuona dunia na jamii yake inaharibika kufikia nukta ya kushindwa kutengenezeka tena, ndiyo maana si kwamba waliachia tu kizagae, lakini pia wamelipa nguvu, sauti, zana, fedha na sheria ya kuulinda huo Ushoga na mashoga kote duniani.

Ikawaje ghfla ushoga imekuwa ni haki ya msingi kwa binadamu? Ipo sababu.


Museven Alipobanwa na Kulegeza Masharti.

Sababu ya ushoga na mashoga kupata kupata nguvu na sauti dhidi ya wote tunaopinga, ni kwamba; Maadui zetu ambao tumewapa nguvu zisizo na mipaka wanatawalia kila unacho kiona kwenye uso wa dunia moja kwa moja au kupitia kwa, na hii ikiwa ni pamoja na lakini siyo tu na mfumo wa elimu, siasa, mfumo wa habari, biashara, dini n.k
Watu hao wachache sana, ambao ni sawa na asilimi 1 ya watu wote duniani, ndiyo waungu watu wa dunia ambao wanaweza kuamua mvua inyeshe Kenya na siyo Tanzani, wanaweza kuamua mtetemeko wa aridhi utokee China na siyo United Kingdom. Wanaweza kuamua ni nani awe raisi wa nchi gani na nani asiwe.

Wanasiasa kwenye mabunge ya kutunga sheria, mawaziri na maraisi si chochote mbele ya watu hawa, hawakohoi wala kujikuna mpaka waambiwe na mabwana wakubwa hawa. Hawa ndiyo wanaoishikilia dunia na kuiongoza kuelekea kwenye sehemu ya giza ambalo haijawahi kuonekana hapo kabla, giza la kiroho, kiakili, kiuchumi kisiasa kidini na kimaadili.

Giza hilo ni hatua muhimu ya kusimamisha Dola la Shetani kwenye uso wa dunia, dola ambalo shetani ataabudiwa badala ya Mungu na Masih Dajjal ndiyo atakuwa raisi wa dola hilo. Watu hawa wacheche wanao isukuma dunia huko ni kama mitume na manabii wa dini na dola hilo la shetani.
Safari hii mitume hao wanahubiri ushoga kama moja ya matendo maalum na lenye kustahiki kupewa haki na uzito sina raia tu, bali hata na serikali husika lazima iheshimu na kulitambua hilo.


NGUVU YA AJENDA YA USHOGA IMEPENYA MPAKA KWENYE NYUMBA ZA IBADA


Mfumo wa kimaumbile tuliowekewa na Mola wetu Mtukufu tuishi kwenye mfumo huo, unatakiwa uondoke maana ni wazamani na sasa unatakiwa mfumo mpya wa kishetani, New World Order!
Kabla mfumo mpya wa Kishetani hauja simamishwa rasmi, tabia na matendo ya kishetani lazima yatambae na kuonekana kote duniani, hii itavunja pia nguvu ya kiroho ya kupambana na dola hilo.
Hivyo basi manabii wa dini hii ya kishetani, bila kuchoka, kwa milenia kadhaa, kizazi hadi kizazi wamakikisha dunia inaharibika kimaadili (kiroho), kiuchumi, kijamii n.k. Na sasa katika zana walichagua katika kuporomosha maadili ya umma, ni ushoga. Umepewa nguvu na sauti kubwa katika nchi za Ulaya na sasa unasukumwa kwa nguvu kuingia katika mabara mengine duniani, na kama tunavyoona nchi moja baada ya nyingine zinameguka na kudumbukia kwenye bahari hilo la giza, uchafu na uozo mithili ya aridhi inayo mong’onyolewa na mkondo wa maji.

Utaona suala la kufanya vitendo vya ushoga si suala la kisiasa bali la kiroho (dini) zaidi. Lakini manabii hawa wamelifanya kuwa ni suala la kisiasa.

Ushoga unaelezea hali mbaya ya roho iliyokufa kimaadili na inayotishia kuiambukiza jamii uozo huo. Hta kidogo hali hii haiwezi kuelezwa kwenye uwanja wa siasa, bali kwenye maholi ya kidini na viongozi wa kiroho katika jamii.
YES! USHOGA HATUTAKI, LAKINI NI NANI TYNAMUAMBIA? OBAMA NAYE NI NABII WA DINI HII!!!

Wanasiasa wamevaa majoho ya viongozi wa dini na kuanza kuhubiri kuwa ni haki ya binadamu kumpenda yeyote amtakaye, na sisi tunasema ni sawa kumpenda yeyote, LAKINI si ushoga, sababu ushoga si MAPENZI, bali ni TAMAA ya roho iliyochafuka na iliyopotezwa katika shimo refu lenye kiza kinene cha kila aina ya uozo, hata kidogo kuingia katika shimo hilo siyo haki ya Binadam.

Ushoga ni moja kati ya silaha nyingi zinazotumiwa na maadui zetu, lakini zaidi ni moja kati ya zilizo kuu katika kuvunja na kuporomosha maadili kwenye uso wa dunia.

Ni vipi tumefika hapa?

Halafu tunatokaje?
SHOGA WA KENYA AKIWA KWENYE MAANDAMONO YA KUTAKA HAKI ZA MASHOGA ZITAMBULIKE!!!!!!!

Haitoshi wao kuwa mashoga, haitoshi wao kuifanya dhambi hiyo kwa kificho, lakini wanataka na wengine nao waone ni sawa kufanya vitendo hivyo, ni sawa wao kukiri dhambi hiyo hadharani, lakini zaidi wasibaguliwe kwa dhambi hiyo na wasiwekewe vizuizi kufundisha wengine kutenda dhambi hiyo. Ulimwengu ni wao, na kama tutanyamaza kwa sababu yeyote hilo, basi TUMEKWISHA ... 

Leo tunaishi kwenye ustaarabu ulio poromoshwa hadhi yake na kufikia ile ya hayawani. Ustaarabu wa mataifa mbalimbali umekuwa ni ngano za kale, na muelekeo tunao kwenda hakuna anayetakiwa kusimama kwenye njia ya ustaarabu huu ulioza. Kama alivyosema Bush “You are either with us or with the terrorist”.
 Na kama Tafsiri ya Gaidi kutokana na kauli ya Bush ni kupingana na haya  yote na yale yote yanayo fanana haya, basi Iam the terrorist ...


Catch me here   ... ndiyo kwanza tunaanza ..... 

No comments:

Post a Comment