Leo tunaangalia namna Oshoga unavyo ingizwa kwenye jamii.
HUJUI NI MWANAME AU MWANAMKE
Mpango wa awali wa kuhalalisha Ushoga ulianza kwenye miaka ya 1900 ambapo
ushoga ulitambulika kama ni ‘ugonjwa’ kama ulivyo ugonjwa mwingine wowote.
Kisha baada ya hapo kichwa che shetani, yaani wabeba agenda za kishetani
dhidi ya ulimwengu, wakaja na kazi ya maandishi na propaganda juu ya kuwepo kwa
‘vimelea’ au ‘hali ya kupelekea’ ushoga kwa vijana wengi wa Kimarekani na
Ulaya.
Tafiti huru za kisayansi, kitabibu na maumbile hazijathibitisha juu ya
kuwepo kwa vitu hivyo wanavyo viita vimelea vya Ushoga. Kama ilivyo ada ya adui
yetu, kupitia kwa Kinara mwingine wa Illuminanti John D Rockefeller, fedha
zilimiminwa kwenye bomba hilo la kampeni, na taarifa zisizo na utafiti wowote,
zisizo na taarifa zozote za kisayansi, lakini zilizo beba dhana na mawazo ya
kufikirika na kughushi zikamiminwa kwenye masikio na macho ya watu kana kwamba
ni ‘ukweli wa msingi’ na hivyo kuanza kuyarubuni fikra na mawazo ya watu katika
kulitazama jambo hili la kishetani; Ushoga.
Marundo hayo ya fedha za Rockeffeler yakafadhili, vikundi vya watu, watu
mmoja, mmoja, taasisi, wasomi wa kununulika, na kuchapisha pamoja na kusambaza
kazi za watu hao zinazo ukingia kifua Ushoga kwamba upewe nafasi katika jamii.
Mfano wa kazi hizo ni ile ya Alfred Charles Kinsey (1894-1956) zilizo kwenda
kwa jina la, Sexual Behavior in the Human Male (1948) and Sexual Behavior in the
Human Female (1953).
USHOGA NI UGONJWA WA AKILI
Mpaka miaka ya 1950
wana-Saikatrik (Psychiatry) walikuwa wakitambua kwamba ushoga si tatizo la Kibaiolojia bali zaidi ni tatizo la Kiakili. Hivyo tatizo hilo la kiakili
kwenye masuala ya ngono yakampelekea mtu kuwa na tabia na hulka hizo za
kishoga. Na unapo zungumzia kuwa ni TABIA, utaona kuwa moja kwa moja, tabia aihusiano na chochote
ispokuwa AKILI (Mind Set).
Hivyo
wana Saikatriki waliona ni SIYO tatizo la KIMAUMBILE bali KIAKILI, lakini si hivyo tu, waliona pia ni tatizo linaloweza kutibika
kama yanavyo tibiwa maradhi na matatizo mengine. Huu ndiyo ulikuwa msimamo wa
watu wa Ulaya juu ya Ushoga mpaka kwenye miaka 1950.
NI VITA DHIDI YA FAMILIA YAKO
Kisha shetani
akaingia na mkononi ana marundo ya fedha za Rockeffeller na nyuma yake wapo
mitume wa kishetani ambao watatumia kila mbinu na kila hila kuhubiri juu ya
Ushoga, kwamba sasa ushoga SIYO ugojwa wa AKILI bali ni MAUMBILE. Na mitume hawa si madaktari bali
wanasiasa, wanamaterilisitk, wasomi wa kununuliwa, viongozi wa dini wenye
matatizo hayo ya akili n.k. Mambo yakapinduliwa, JUU CHINI, CHINI
JUU.
Wanaharakati hao
wakununulika na wengine wote wanao kuja na sura tofauti ila maneno yao yakawa
ni; Ushoga si ugonjwa, ushoga ni haki katika haki ya binamu, ushoga ni jambo
linalo faa, ushoga ni uchaguzi wa mtu namna gani anataka kuishi. Kelele hizo
zilipigwa kutoka miaka ya 50, 60, 70 na ilipofika miaka ya 70 kila mwenye macho
aliona, na mwenye sikio alisikia na ambaye akili yake haijashikwa alichambua,
na ushoga haukuwa chochote ila balaa kwenye jamii, uozo unao nuka hata kama
utaziba pua, harufu yake mbaya, chafu na nzito utaisikia, na Wanasaikiatriki
wakarudi tena, kwa kauli moja, kauli isiyo ya kumumunya maneno, kauli rasmi
kutoka kwa madaktari hawa kuwa; USHOGA NI UGONJWA WA
AKILI. Kifupi kuwa shoga SIYO SAWA, na uma ukaelewa hivyo.
Wanaharakati wa
ushoga wakaona mambo si shwari, wakarudi nyuma kidogo, wakaitazama jamii,
wakaichambua na kujiuliza kwanini jamii inawakataa? Wakakuna vichwa na wakaja
na jibu moja, kwamba jamii inalitazama suala la Usodoma na Gomora kama jambo
baya, chafu na lisilofaa kwenye jamii.
Sasa tufanyaje?
Tupambane na tupige
kampeni na propaganda na tufanye kila tunacho weza kuzisafisha akili za watu na
picha waliyo nayo juu ya Usodoma na Ugomora, na tuwachoree picha safi, nzuri na
zilizo na manukato za tendo hilo la Ushoga.
Pisa zikamiminwa,
watu wakanunuliwa, wasiyokubali yakawakuta ya kuwakuta na ilipofika mwaka 1973,
kundi la shetani likapata mkono wa juu dhidi ya umma. Mashoga walianza
kujitangaza waziwazi, hadharani, nyuma yao wakiwepo ‘wanaharakati’ na kila yule
aliweza kuchomekwa kwenye mifuko ya Rockeffeler na wenzake. American
Psychiatric Association (APA) wakaminywa na kubadilisha kauli kwamba Ushoga si tatizo la kiakili tena, bali ni HALI ya kawaida inayoweza
kumpata yeyote. Kauli hii haikuwa YAKITABIBU bali KISIASA
ZAIDI. Haikuishia hapo, watu wa masuala ya Uzazi, watu wa genes na vinasaba
(DNA) nao wakaminywa na kushikwa kama walivyo shikwa APA, nao wakaja na kauli
iliyonyooka ya kuunga mkono KAULI ya mashoga, kwamba iyo hali HALI iliyotajwa
na APA kwamba mashoga wanakuwa nayo si nyingine bali ni genes na vinasaba wanavyo zaliwa navyo ambavyo
vinawafanya wawe mashoga. Mola tuhifadhi na Mola tusamehe.
Kwahiyo hatua ya
kwanza ya kusema ushoga ni laana, ikafutwa mchana kweupe na badala yake, jamii
inateremshiwa mabomu. Risasi, kauli ambazo haziko kwenye tafiti kwamba USHOGA NI HALI na SIYO GONJWA LA AKILI TENA.
Hatua ya pili au
awamu ya pili sasa ni kuunyanyua hadhi ya ushoga dhidi ya wasio kuwa mashoga
kwenye kiwango cha Usodoma na Ugomora kuonekana ni aina ya Life Sytle. Hii ni
kuuingiza ushoga kwanguvu na kwa lazima katika kila nyanja na kila sekta inayo
ijua wewe hapa duniani, mpaka kila mtu wa kawaida ambaye si Shoga aone ushoga
ni aina ya Life Style kama ambavyo mtu akiamua kunywa au kutokunywa pombe,
uchaguzi ni wake na habugudhuwi na yeyote.
KATU! HATA KIDOGO HILI SI SAWA!!!
Swali.
Tumefika hapo
hatujafika?
Jibu baki nalo
mwenyewe, lakini jitathimini kwenye tatizo hili wewe ni suluhisho au sehemu ya
tatizo, na chukua hatua.
Mwaka 1988,
wanaharakati wa mashoga wapatao 175 walikutana kwa ajili ya kuweka chini
mipango ya vita dhidi ya wasio kuwa mashoga. Kwenye mkutano huo uliofanyika
Warrenton Virginia, karibu na Washington ilani yao ilichapishwa ambayo
ilipendekeza yafuatayo kuhakikisha ushoga unakubalika.
“… kuachana na
mbinu zote ambazo zimeshindwa kutuletea tija na badala yake tufuate mbinu
zilizo pangwa vizuri kimahesabu kwenye upande wa propaganda … kuweka misingi
imara kwa ajili ya hatua itakayo fuata ya kimapinduzi ya mashoga”.
TUNAO WATUMAINIA WATUONGEZE KWENYE NURU, WANATUONGOZA KWENYE KIZA. HUYU NI KIONGOZI WA KIDINI ALIYEAMUA KUACHIA MAJUKUMU YA KIDINI ILI AWEZE KUPATA FURSA YA KUSHIRI MAMBO YA SODOMA NA GOMORA KWA UHURU NA MWANAUME MWENZAKE.
“Jamii yeyote ile
ambayo inazikanyaga na kuzikataa hizi taarifa kwamba katika kila wanaume kumi,
mmoja au wawili anayo hii hali ya ushoga, na ikatengeneza sheria kupingana na
haya, basi jamii hiyo inaumwa vibaya sana.”
Kipengele hicho ni
kugeuza mambo kinyumenyume, sababu tafiti huru zina sema ushoga ni gonjwa la
akili, lakini sasa mashoga wanageuza kwamba wale tunao wapinga mashoga ndiyo
wenye matatizo ya akili.
Lakini kingine
mashoga hapo wanacheza ile karata ya kuonekana kuwa wao ndiyo wahanga,
wanaonewa, wanatengwa na kubaguliwa katika vita vyao hivyo kwahiyo wanaomba
msaada wa kisheria juu ya hilo. Kwamba sheria zibadilike na kuwalinda wao
kisheria.
KIONGOZI WA KIDINI AKIDAI USHOGA NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU!!!! HAPA NDIPO TULIPO FIKISHWA.
Swali.
Tumefika hapo
hatujafika?
Jibu baki nalo
mwenyewe, lakini jitathimini kwenye tatizo hili wewe ni suluhisho au sehemu ya
tatizo, na chukua hatua.
Ilani inaendelea
kusema,
“Kwa njia moja au
nyingine, usambazwaji na uoneshwaji wa alama mbalimbali ndiyo msingi wa kanuni
zote kwenye hii kampeni ya propaganda dhidi ya wasio kuwa mashoga.”
Yaani kwa kiswahili
fasaha ni kwamba kukoroga akili za watu, maoni na mitazamo yao kwa lugha zenye
maudhui ya ushoga ni njia muhimu ya kupenyeza mawazo ya ushoga kwenye akili za
watu, lakini bila watu kujua maana chafu ilifichika ya lugha hiyo inayo
ambatana na usodoma na gomora.
Mfano halisi wa
kifungu hicho ni neno SWAG. Neno hili maana yake ni “SECRET WE ARE GAY” Neno
hili limefanywa maarufu kiais kwamba sasa linatumika kama neno la kawaida na
vijana wengi hasa kwenye masuala ya mavazi na mitindo. Tizama video kipande cha
video ya msanii huyu maarufu anatumia neno hilo SWAG.
SECRET WE ARE GAY (SWAG)
Hivyo mbinu wanayo
tumia hapa ni kupunguza makali ya lugha, kisha unaibandika na kuitumia kila mtu
aone na baadae inaonekana ni lugha ya kawaida, kama mfano niliotoa hapo juu.
Hivyo basi
matangazo, filamu, nyimbo, wasanii na mengine mfano wa hayo yataoneshwa kwa
watu yakiwa na maudhui ya ushoga ndani yake, lakini kwanamna ambayo watu hawata
weza kugundua, ila wataona ni kitu kizuri na wataiga na litaonekana ni jambo la
kawaida.
Mfano mdogo tu, (ingawa hili nitalizungumza kwa kina nitakapo kuja kugusa wasanii na
kazi zao katika ushoga)
Wasanii wengi hapa
Tanzania, wasanii wa kiume, walianza kutoboa masikio, baadae wakaanza kusuka,
baadae wakaanza kupaka lips-shine, wakaanza kupaka poda na kuweka nywele dawa,
sasa hivi wanavaa magauni na kurembua kwenye luninga!!!!
Ndiyo usanii huo?
Is it normal for male
to pose like a female and call it comedy?
Whats a comedy in it?
Lakini taratibu
akili zetu zinasukwa, mawazo yetu yanatengenezwa, maoni na mitazamo yetu
inarekebishwa na tunaona ni sawa mwanaume kujiweka kama mwanamke, na mwanamke
halikadhalika kama mwanaume, taratibu mashoga wanajitokeza wakiwa wamevaa
mavazi ya kike, nasi hatutakuwa na hoja, sababu akili zetu zilishafinywa
kitambo tukiwa hatujui.
THIS IS NOT A COMEDY!! RATHER IS A BRAINWASHING AS WE WILL SEE IN THE FUTURE POSTS ON SAME SUBJECT. JE WASANII WETU WANAJUA ATHARI YA WANACHO KIFANYA? JE WANAFANYA KWA MAKUSUDI KAMA SEHEMU YA MPANGO HUO WA MASHOGA? SIJUI LAKINI WAO WAPO KWENYE NAFASI NZURI YA KUJIBU HILI.
Siyo komedi kuvalia
mavazi ya jinsia tofauti, bali ni kampeni na mikakati ya mashoga iliyopangwa na
kupangika na sasa ipo kwenye action!
KAMPENI YA KUMGEUZA MWANAUME KUWA MWANAMKE KWA JINA LA LIFE STYLE AU KWA UWAZI ZAIDI KWA JINA LA USODOMO NA GOMORA.
Swali.
Tumefika hapo
hatujafika?
Jibu baki nalo
mwenyewe, lakini jitathimini kwenye tatizo hili wewe ni suluhisho au sehemu ya
tatizo, na chukua hatua.
Ilani inaendelea,
“Kitu kikuu ni
kuzungumzia ushoga mpaka mpaka jambo hilo liwe kwenye masikio ya kila mtu …
kama mtu kawaida ataweza kufikiri juu ya ushoga hiyo inatosha kuwa ni ushindi
kwetu kisheria na kijamii.”
Wanacho taka wao ni
uhuru wa kufanya usodoma na ugomora wao, popote, kokote, na yeyote muda wowote
na usiwaingilie kwenye haki yao hiyo. Hata kama wewe hutakuwa shoga, lakini
wape uhuru wao huo, hicho ndicho wanacho taka kwamba ushoga ni aina nyingine
katika aina nyingi za chaguzi za maisha.
Lakini wanacho
kitaka ni zaidi ya hapo, ni zaidi ya huo uhuru, kama tutakavyo ona kwenye post
zitakazo fuata Inshallah.
Genge hili la
mashoga na wale wano wakingia kifua, walichokiona ni kikwazo ni maadili ya
jamii na hivyo maadili lazima yaondolewe ili waweze kupata uwanja wa kufanya
usodoma na ugomora na wakiiaminisha jamii kuwa ushoga ni kitu cha kawaida na
watu wa kawaida wanashiriki mambo hayo.
Kwa kisingizio kwamba
wanasodoma na gomora ni wahanga wa mfumo wa kijamii na zinazo watenga, na
kwakupaza sauti kwamba walindwe kisheria, maana yake ni kwamba yule atakaye
zungumza kinyume au dhidi yao kwa namna yeyote atakuwa ametenda jinai ya
kibaguzi.
Hivyo umma unyamaze kimya wakati wanasodoma wakijiachia na machafu
yao waziwazi, mchana kweupe, na wasikemewe hata wanapotaka kuwafundisha watu
wengine huo uchafu wao. Kwenye hatua hiyo umma utakuwa umekufa.
Kwa Marekani kuzungumza au kuwaelimisha Mashoga kwa wanacho fanya si
sawa hata kwa kutumia kitabu cha dini ni kosa la kisheria, tizama hichi kipande
cha video
KISHERIA HAI FAI KUWAHUBIRIA MASHOGA KUACHA VITENDO VYAO VICHAFU, UTAKWENDA JELA NA FAINI JUU.
Catch you here next time ... tamthilia yetu bado inaendelea.
kaka ubarikiwe na inshalah mwenyezi mungu akuweke kwenye malango ya pepo aamin
ReplyDeleteAmeeen1 Nawe pia upate fadhila hizo.
Deletesalim msangi mungu akubaliki sana kaka mi nilikua nashauli hv vitu unjua watz wengi hawana utamaduni wakupekua na kupata hbr km hizi sasa una mpango gani wa kutoa la ktk magazeti hv au tv ili iwe rahisi kwa mtz wa kawaida na asiekua na nowledge ya kimtandao akafaidika nayo ? mtazamo wangu tu
ReplyDeleteNashukuru kwa mchango wako.
DeleteMipango hiyo ipo na soon Inshallah tutaanza kuingia kwenye platform zingine za media ili kuhakikisha tunamfikia kila mwenye kutaka kujua. Wakaribishe wengine hapa wajifunze.
ALLAH (sw) akulipe killa la kheri yaa Saalim maana unatuelimisha saana Kaka ,na yote haya unayofanya ndiyo Mungu anayoyataka
ReplyDeleteYani kaka yangu naona hata kazi zitanishinda maana nakara zako hizo zinafanya mpaka kichwa changu kinazima mungu akutangulie
ReplyDelete