Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?
Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.
Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.
Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!
Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%
NAIKUBALI HII
NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH
Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...
Friday, June 27, 2014
USICHO KIJUA KUHUSU VITA DHIDI YA UGAIDI NA UISLAM Pt 3
Sunday, June 22, 2014
USICHO KIJUA KUHUSU VITA DHIDI YA UGAIDI NA UISLAM Pt 2
Wafuasi wa wahhabi wanaweza kukataa kuwa hayo si kweli, na wamesha andika vitabu kadhaa wakimsafisha Abdul Wahhab na hayo niliyo yaeleza, lakini nukta moja ya msingi ambayo wote tunaweza kuitizama kwa jicho moja ni kuwa, Mashariki ya kati haikuingia kwenye mikono ya Illuminanti mpaka pale dola ya Kiislam ya Ottoman ilipoangushwa. Pia hakuna shaka kuwa mataifa ya kigeni peke yao hayakuweza kuiangusha dola hii ila kwa kutumia sera yao ya ‘divide and rule’ ambapo baadhi ya wananchi waligeuzwa na kuwapiga wenzao na moja kwa moja kumsaidia mgeni kuwatawala.