Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Friday, June 27, 2014

USICHO KIJUA KUHUSU VITA DHIDI YA UGAIDI NA UISLAM Pt 3


AJABU ILIYOJE KWA MAFUNZO HAYA MAPYA NDANI YA UISLAM, NI KINYUME KIASI GANI MAFUNZO HAYO NA DINI WANAYO DAI KUITETEA?

Hii ndiyo iliyo kuwa picha kubwa ambayo CIA na mawakala wengine wa Illuminanti walifahamu. Kupitia sera chafu za kupigania uhuru kwa njia ya silaha, kupitia mafunzo yaliyo potoshwa ya dini ya Uislam waliweza kuwaandaa vijana hawa kutoka sehemu mbalimbali kwenye uso wa dunia na kuwaleta mahala pamoja kama wapigania jihadi. 

Vijana hawa wa Mujaheedina watakapo maliza kazi yao ya kuiangusha USSR kama super power, watapewa kazi nyingine na wajiri wao, kazi ambayo katika zama zetu tunaifahamu vyema kama Ugaidi. Kazi hii mwongozo wake pamoja na maudhui yake havitoki kwenye mafunzo ya dini ya Uislamu bali kwenye mahekalu ya kimasoni na mawakala wa Illuminanti.

Sunday, June 22, 2014

USICHO KIJUA KUHUSU VITA DHIDI YA UGAIDI NA UISLAM Pt 2


Wafuasi wa wahhabi wanaweza kukataa kuwa hayo si kweli, na wamesha andika vitabu kadhaa wakimsafisha Abdul Wahhab na hayo niliyo yaeleza, lakini nukta moja ya msingi ambayo wote tunaweza kuitizama kwa jicho moja ni kuwa, Mashariki ya kati haikuingia kwenye mikono ya Illuminanti mpaka pale dola ya Kiislam ya Ottoman ilipoangushwa. Pia hakuna shaka kuwa mataifa ya kigeni peke yao hayakuweza kuiangusha dola hii ila kwa kutumia sera yao ya ‘divide and rule ambapo baadhi ya wananchi waligeuzwa na kuwapiga wenzao na moja kwa moja kumsaidia mgeni kuwatawala. 
BUSINESS KAMA KAWA


Mfalme Saud ambaye aliahidiwa madaraka na kuhakikishiwa ufalme wake endapo atasaidia kuidhoofisha na hatimaye kumuangusha ndugu yake wa Kiislam anaye tawala kupitia dola ya Ottoman. Alilifanya hili kwa uzuri akishirikiana na Abdul Wahhab ambaye yeye aliweza kutoa tafsiri mpya ya mafunzo ya Kiislam iliyo ruhusu muislamu mmoja kumuua muislamu mwenzake. Tafsiri hii inatumiwa mpaka leo na vikundi mbalimbali vinavyo endesha matukio ya ugaidi duniani, ambapo wao kumuwa muislamu mwenzao kwa tuhuma zisizo na mashiko au bila hata tuhuma ni jambo la kawaida. 

Ibn Saud alipewa ujira wake kwa kupewa nchi iliyoitwa jina lake, yaani Saud Arabia, naye alilipa fadhila hii kwa kuwaruhusu Illuminanti kushikilia hazina yote ya mafuta ambayo sasa inatumiwa kwa faida ya New World Order.


Sunday, June 15, 2014

USICHO KIFAHAMU KUHUSIANA NA VITA DHIDI YA UGAIDI Pt 1


Ningependa kuianza makala hii kwa hadithi mbili,

Hadithi ya kwanza

Hudhaifa (ra) anasema kwamba, amesema mtume (saw): “Kwa hakika, nahofia kati yenu yule mtu ambaye ataisoma Quran kiasi kwamba nuru ya Quran itaonekana kwenye uso wake ... halafu neema hii itaondolewa pale atakapoidharau na kuipa mgongo na atabeba upanga wake kumshambulia jirani yake na kumtuhumu kuwa ni mshirikina.” Mtume (saw) akauliza ni nani kati ya wawili hao atakuwa anazistahiki hizo tuhuma? -  Mwenye kutuhumu au mtuhumiwa? Mtume (saw) akajibu ni, “mwenye kutuhumu.”

Hadithi ya pili.

Imam Bukhari (Allah amrehemu) ameeleza, “Umar ibn al-Khattab (ra), ambaye alikuwa akizungumza na masahaba, aliwauliza, ‘Ni nani kati yenu mwenye elimu zaidi kuhusiana na fitnah?’ Hudhaifah (ra) akajitokeza na kusema, ‘Mimi ewe Ameer ul-Muumini! Kisha akaanza kuzitaja baadhi ya fitnah Umar ibn al-Khattab (ra) akasema, ‘Siyo fitnah hizo ningependa kufahamu kuhusiana na fitnah ambazo wimbi lake litakuwa kama wimbi la bahari.’ Hudhaifa (ra) akauliza ‘Kwanini unataka kujua kuhusina na hizo fitnah ewe Ameer ul-Muuminin? Kati yako na hizo fitnah kuna mlango ulio fungwa.’ Umar (ra) akauliza ‘Je mlango huo utavunjwa au utafunguliwa?’ Hudhaifah (ra) akajibu, ‘Utavunjika’ Umar (ra) akajibu, ‘Basi hautafunga mpaka siku ya kiyamah..’

KUNA AMBAYE YUPO BIZE SANA KUFITINISHA IMANI HIZI MBILI.