Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Sunday, August 31, 2014

UKIMWI NA EBOLA NI SILAHA ZA MAANGAMIZI pt. 4



Hadithi moja ya kweli nilisikia kuhusu mtoto wa miezi kadhaa ambaye alipelekwa kwa daktari mwenye uchu wa pesa aliyempima na kumuambia mlezi wa mtoto yule kuwa ana Malaria na kisha akampatia dozi ambayo hata baada ya muda haikuwa imetatua tatizo, hivyo kitoto kile kikarudishwa kwa daktari yule ambaye tena akamuandikia dozi nyingine, mwendo ukawa ni huo kila anaporudishwa ni dozi na hata mwisho akamua kukatundikia dripu na kalizidi kudhoofu karibu ya kufa, walipopata wazo la kumpeleka kliniki zinazotumia dawa za asili mtoto yule alikutwa anafunza mwili mzima, kila anapopasuliwa panafunza hivyo utaratibu mpya wa kumtibu mtoto huyo ukaanza na alipochunguzwa hakuwa akiumwa malaria isipokuwa sikio, masikini. Lakini hapa mtoto huyu tayari keshaupata UKIMWI, sababu kinga zake za mwili zimeshavunjwa vunjwa ila kwa sababu akipimwa hana virusi vya HIV basi hutambiwa kuwa ana UKIMWI , lakini hata kama unakohoa na ukawa na virusi vya HIV utaambiwa una UKIMWI na hiyo peke yake inatosha kukumaliza kabla hujaanza kutumia hizo dawa zenye sumu ambazo hazikutengenezwa ili kutibu UKIMWI, bali kukupa UKIMWI ufe.

Mgonjwa anapo bainika kuwa na kile ambacho jamii inakiita ni virusi vya Ukimwi au kwa jina lingine V.V.U, kitu ambacho hakipo; anaanza utaratibu wa kupima damu yake mara kwa mara kwa ajili ya kuangalia uwezo wa mfumo wake wa ulinzi mwilini dhidi ya maradhi unavyoweza kupambana na mashambulizi ya maradhi. Vipimo hivyo vya damu ambavyo vinatizama kiwango cha T-Seli au kwa jina maarufu CD4 ndivyo vinavyoamua kuwa mtu huyu mwenye V.V.U sasa anaweza kuanza safari ya kutumia madawa ya kurefusha maisha. Hata hivyo ni makosa makubwa yanayofanywa na wauguzi katika vituo vya afya, vituo vya kupima na kutoa ushauri nasaha kwa kutumia kigezo cha T-Seli kama ndiyo kipimo cha kuweza kutoa tiba kwa mwatahirika kwa sababu kwa mtu mwenye afya peke yake T-Seli zinaweza kushuka mpaka 200 na kupanda mpaka kufikia 2000 ndani ya siku moja ya kawaida tu. Profesa Ian Weller ambaye alikuwa akihisika na mpango wa majaribio wa kutumia madawa ya kuongeza maisha ya AZT kwa wanajeshi wa Uingereza wenye VVU na ambao walijitolea kwa ajili ya majaribio hayo anasema.
     “Kitu ambacho tunapaswa kukumbuka kuhusu idadi ya CD4 (T-cell) ni kuwa idadi yake inapishana kila mara. Zinaweza kupishana kiidadi katika siku moja kwa mtu mmoja.... zinaweza kuwa chache wakati wa asubuhi na kuongezeka wakati wa jioni. Idadi yake inaweza kuathiriwa na vitu mbalimbali anavyofanya muhusika katika siku”.

Mazingira haya yasiyo sahihi juu ya upimaji wa kile wanachokiita VVU ambacho kiuhakika hakipo kumepelekea mamilioni ya watu kuhesabiwa kuwa na Ukimwi. Katika nchi zetu zinazoendelea kama vile nchi nyingi za Afrika kuna maradhi mbalimbali ambayo kwa kiasi kikubwa yanaweza kusababisha mtu kuwa na Ukimwi.


Maradhi yatokanayo na kujamiiana na suala zima la mtu kuwa na upungufu wa kinga katika mwili wake si swala geni masikioni pa wengi, lakini hili suala la HIV kusababisha huo upungufu wa kinga katika mwili na upimaji wake hapana shaka ni suala jipya kwa wachunguzi wa mambo na wadadisi. Mwaka 1989 Luc Montagnier mshirika wa karibu Robert Gallo ambaye kwa pamoja na Montagnier ndiyo waliokuja na nadharia ya kibubusa kuwa HIV inasababisha Ukimwi alisema hadharani kuwa,

     “HIV haina uwezo wa kusababisha maangamizi ya mfumo wa ulinzi mwilini ambayo yanaonekana kwa watu wenye Ukimwi.”[1]

     Dr. Duesberg anatambulika duniani kama mmoja wa wataalam au miongoni mwa wajuzi wachache wa virusi aina ya retrovirus ambao wanatajwa kama aina ya virusi vinavyosababisha HIV ana haya ya kutuambia,

     “AZT ni muwaji wa seli hai za mwili zilizo ambukizwa na ambazo hazijaambukizwa. AZT haiwezi kuzibagua seli hai mbili hizi wala kuzitofautisha. Inauwa T- cell, B-cell, red cell, inauwa seli zote haina kizuizi. Inafuta kila kitu na baada ya muda fulani zinamuua mbebaji wa seli hizo. AZT ni muwaji halisi ambaye anahusika na mauwaji ya mamia elfu ya watu wanaotubiwa na madawa hayo na mbao tayari wameshakufa kutokana na sumu yake dhidi ya celi hai za mwili... HIV au (kama inavyotambulika sasa VVU) haisababishi Ukimwi... nukta ya msingi ambayo kila mtu anaikosa ni kuwa makaratasi ambayo yaliandikwa na Gallo kuhusu HIV yote yamepatikana kuwa ni ya kughushi (feki)... na nadharia ya HIV kusababisha ukimwi imeegemea katika makaratasi hayo (AMBAYO NI FEKI, YA KUGHUSHI).[2]


Sasa mbona bado yanaendelea kupigiwa zumari? Sababu hiyo ni business ya mabilioni ya dola, unataka tuseme kuwa HIV haisababishi UKIMWI au hakuna VVU unadhani sisi tutaenda kula wapi? Taasisi na NGo zinazo zaliwa kila uchao kupambana na UKIMWI zitapatia wapi pesa, watu wanajenga majumba, watu wanapaki BMW kwa takwimu hizo feki halafu wewe unasema tutangaze kuwa HIV haisababishi ukimwi, hivi wewe unayo akili kweli? Jifikirie vizuri kama unajipenda ua Hujipendi sisi tunaendelea kuvuta FUND za maana kwa ajili ya ishu hiyo sasa kama wewe unajifanya unajua sana kaa kushoto usituekee inzi hapa.
Dawa hizi zenye madhara mengi kuliko faida zinapojazana mwilini zinaudhofisha na kuumaliza nguvu mfumo wa ulinzi mwilini katika viungo fulani au maeneo fulani ya mwili na kisha kufanya aina fulani ya minyoo kuzaliana katika maeneo hayo, daktari mmoja ambaye amekuwa akiwatibu mamia ya wagonjwa wa Kansa na UKIMWI amewakuta wote wana aina hiyo ya minyoo na mifumo dhaifu na iliyoharibiwa kabisa ya ulinzi mwilini kutokana na kutumia madawa hayo yasiyo faa kwa binaadam, daktari huyo aliweza kuiua minyoo hiyo kwa dawa asili na kuwapatia virutubisho na dawa zingine zenye kulenga katika kujenga mfumo wa ulinzi mwilini.
Tukumbuke kuharibiwa kwa mfumo huo wa ulinzi au kuvunjwa vunjwa kabisa ndiko kunako sababisha maradhi ya UKIMWI na ikiwa dawa tunazopewa za kuongeza maisha kwa waathirika zinakwenda kuvunja mfumo je hizo ni dawa za kutibu UKIMWI au kukuua kwa UKIMWI?


Hii ndiyo maana wagonjwa wengi wa UKIMWI huzidi kupata matatizo ya kiafya na kudhoofu pale tu wanapoanza kutumia dawa hizo wakati kabla hawakuwa na matatizo wanayo yapata. Ni vigumu kwa mtu mwenye fikra huru kukubaliana na msemo wa mashirika ya UKIMWI duniani kuwa UKIMWI hauna tiba na uchunguzi bado unaendelea. Hivi inawezekana vipi kwa maprofesa na watu wenye PhD za udaktari ,na M.D wanaoishi katika nchi zilizoendelelea zenye vifaa vya kutosha na vya kisasa, malighafi na kiwango kikubwa cha fedha kushindwa kupata tiba ya maradhi haya tangu yalipotangazwa rasmi mwaka 1981 wakati tuna waona madaktari mbalimbali wa tiba za asili katika nchi zetu wenye vifaa duni, malighafi chache wasio maprofesa na wasio na fedha za kutosha wakitengeneza dawa za asili ambazo zimekuwa zikileta manufaa makubwa kwa wagonjwa hao.
Kama umepata kutizama kipindi cha City Sound kilicho kuwa kina rushwa na East Afrika Television cha chanel 5 ambacho mtangazaji wake alikuwa ni Seki (sikumbuki hasa ni mwaka gani kilikuwa kikirusha kipindi kile, lakini kilikuwepo) katika kipindi hicho tuliona daktari mmoja wa hapa nchini kwetu, daktari wa tiba asilia namna anavyofanya kazi yake kuwatibu wagonjwa hawa wa UKIMWI na mafanikio wanayoyapata, daktari wetu huyu hana vifaa bora na vya kisasa, wala bado hajawa na ofisi rasmi anawatibia wagonjwa hawa nyumbani kwake na alichokuwa anaomba yeye ni ofisi tu na yeye yuko tayari kufanya kazi hii ngumu, hana fedha nyingi kama walizonazo hao wanaoa jiita wapiga vita UKIMWI  wa nchi za magharibi na wa hapa kwetu, ikiwa kweli serikali ina nia ya kupiga vita UKIMWI kwa nini wasimpatie vitendea kazi mtu huyu alionesha mwanga katika kiza kinacholigubika anga la dunia nzima?


Ikiwa ni kweli mashirika hayo yenye nia ya kutokomeza UKIMWI duniani yamedhamiria hilo kwa nini wasiwaunge mkono watu kama hawa ambao wameanza kuwaonesha njia ambayo wao kwa zaidi ya miaka 25 sasa bado wanaendelea kuitafuta? Ukweli ni kuwa mashirika hayo na madaktari wao hawana nia ya kuutokomeza UKIMWI, kwa sababu ya umasikini wetu wanapotuletea vifaa na fedha ambazo miaka kadhaa nyuma walizipora hapa kwetu na bado wanaendelea kuzipora basi tunaona kuwa wanania ya kuutokomeza maradhi hayo hatakama vifaa hivyo na dawa walizoleta ni sehemu ya ajenda yao ya kutuangamiza.

Vidonge hivi wanavyo pewa wagonjwa wa UKIMWI kwa kuwaambia kuwa vitawaongezea siku za kuishi kama vile AZT vimeonekana vinayo madhara makubwa kama UKIMWI wenyewe. Vidonge hivi vilizuiliwa na kupigwa marufuku mwaka 1957 na  Full Form of Food and Drug Adminstration (FDA) kwa sababu vilikuwa vikiuwa watu ambao vilipaswa kuwasaidia. Leo hii waathirika wa UKIMWI wamekuwa ndiyo maabara za kujaribia kila aina ya madawa sumu, na vipi itaingia akilini kuwa wanawajaribia kama siyo makusudi.


Sote tunajua kabla dawa haijathibitishwa kwa matumizi ya binaadam lazima ipitishwe kwenye majaribio kadhaa na kuonekana ni salama kwa binaadam, lazima ijaribiwe kwa panya wa maabara na viumbe wengine wenye maumbile na mifumo kama yetu kabla haijaruhusiwa leo vipi shirika kubwa la afya duniani lishughulike na kutoa aina hii ya dawa, je tutasema wamekosea, au wanafanya majaribio? Hapana ukweli uko wazi na nchi zinazo endelea ndizo hasa zilizo lengwa, kama vitu vidogo mfano wa mitambo fulani au mashine fulani zisizo na ubora zitaweza kuingizwa kwa mkataba wa mamilioni ya shilingi ambao thamani yake ni kubwa kushinda chombo chenyewe kwa vile tu wananchi hawatajua je vipi kuhusu madawa yanayoingia bure nani atasema nini juu ya hili?

Waliotusaliti wameungana kukataa kata, kata kuwa asili hasa ya Ukimwi ni maabara. Docta Seale J, wa Royal Society of Medicine anasema greenmonkey wa Afrika hawawezi kupata virusi vinavyosababisha ukimwi. Anasema hata kama watachomwa sindano yenye virusi hivyo. Kwa taarifa yako ni kuwa virusi hao walijaribiwa kwa chimpanze hao na hakuna hata mmoja aliyepata ukimwi.
Ushahidi wa kisayansi unathibitisha kuwa wanawake wengi wajawazito wanaathirika kwa kiasi kikubwa na madawa haya ya kuongeza muda wa kuishi kwa waathirika. Ni kwa miaka mingi imekuwa ikijulikana kisayansi kuwa seli hai changa zinazo kuwa zinaathirika haraka na sumu mbalimbali zinazokutana nazo. Huu ndiyo msingi wa juhudi ya kuwaepusha wa mama wajawazito na vibeba sumu vyovyote kwa kadiri inavyowezekana, huu ndiyo msingi wa mama wajawazito kutakiwa kuwa chini ya uangalifu mkubwa katika kipindi cha ujauzito na mara baada ya kujifungua.
MOJA YA MADHARA YA DAWA ZA KUREFUSHA MAISHA

Lazima pia tutambue kwamba mfumo wa ulinzi katika mwili wa mtoto unaanza kukomaa pale mtoto anapofikia umri wa miaka 10. Lakini ajabu ni kuwa katika suala hili la Ukimwi wauguzi wa afya wamekuwa sheria hizi wanazibadilisha, madawa yenye sumu kali na madhara kwa mtumiaji yamekuwa yakihalalishwa kwa mama wajawazito pamoja na watoto duniani kote. Hata watoto ambao wamezaliwa na mama ambao tayari wameathirika lakini watoto wao wakawa hawajaathirika, ajabu ni kuwa na watoto hao nao wanaandikiwa dozi ya AZT kwa wiki sita baada ya kuzaliwa. Watoto ambao wanazaliwa tayari wana Ukimwi wanakuwa wanaandikiwa dozi ambazo msingi wake ni kwenda kuuwa mfumo wa ulinzi wa mtoto yule na hivyo baadaye kumsababishia Ukimwi. Kana kwamba madaktari hao wamesahau kuwa seli changa za watoto hao zinaathirika haraka na upesi zaidi kwa madawa hayo.


AZT pia inaiathiri vibaya DNA ya muhusika na ushahidi unathibitisha kuwa AZT inaweza kuibadilisha DNA. Pia AZT inaweza kusababisha kutoka kwa mimba, madhara kwenye uti wa mgongo wa mtoto, mtoto kuzaliwa na viungo ambavyo havijajipanga sehemu yake, uso kukaa vibaya, maradhi ya moyo na aina nyingine za ulemavu, pia mtoto huzaliwa akiwa na kiasi kidogo cha Haemoglobin. Katika mazingira mengine ukuaji duni wa mtoto pia hutokea.


UKIMWI umekuwa ni biashara kubwa, biashara ya vifo, ni miaka michache tu nyuma ilitangazwa kwenye vyombo mbali, mbali vya habari kuwa kuna makahaba wa Nigeria ambao wamepatika na aina fulani ya damu, damu maalum ambayo haiathiriwi na virusi vya HIV, kuwa makahaba hao wanatembea na virusi hivyo ila haviwasababishi UKIMWI kutokana na damu yao ilivyo ila wanapo kutana na watu wengine kimwili wanaweza kuwaambukiza virusi hivyo vya HIV na baadaye kuwasababishia UKIMWI watu hao, bali wao hao makahaba wataendelea kuwa salama, nilishangaa sana niliposikia hadithi hii na kuona kweli hao makahaba wamebarikiwa.

Halafu hadithi nyingine ikavuma na bado tunayo hapa kwetu kwamba kuna watu ambao wao ni “kerea” yaani wabebaji tu wa virusi vya HIV lakini wao haviwapatii UKIMWI ila wakikutana na watu wengine kimwili wanaweza kuwapatia virusi hivyo vya HIV na hatimaye UKIMWI ila wao kama kawaida wako salama, eti hii ni kwa sababu ya damu yao.

Mungu wangu uwongo mwingine huo. Kama tunavyojua UKIMWI anaupata mtu au kutokuupata mtu kutokana na kinga zake za mwili zilivyo, kama ni imara kupambana na mashambulizi ya maradhi au ni duni na haziwezi kupambana na mashambulizi hayo, suala la damu maalum linatoka wapi? Labda hata wangesema wanakinga maalum katika mwili wao lakini damu kwa maana ya damu bado haijaingia akilini. Lakini hiyo ni harakati za kutokupoteza wewe mteja wa dawa za kurefusha maisha, sababu watakapo kupima na kuonekana una virusi vya HIV ndipo utakapo kwenda kununua hizo dawa zao, sababu sisi ni masikini na madawa hayo ni ghali hivyo mpango wa kutupunguza unaweza kusuasua ndiyo maana wakatuleta bure na kwa sababu HIV siyo inayosababisha UKIMWI hii ndiyo maana watu fulani wanaweza kuwa na HIV na wasiwe na UKIMWI sababu watu hawa hawajaamua kutumia hizo dawa za kurefusha maisha ili kuzidi kukupotosha wanakuambia watu hawa wana damu maalum na au watu hawa ni “kerea”, halafu mtu mwingine anapo jamiiana na watu hawa na baadaye akapima na kujikuta kapata virusi vya HIV anapo pewa ushauri nasaha anaambiwa aanze kutumia dawa za kurefusha maisha kwani tayari ana UKIMWI, lakini ukweli hana UKIMWI hali yake ni sawa na ya wale wanaoitwa watu wenye damu maalum au “kerea” ila baada ya muda fulani wa matumizi ya madawa hayo ndipo sasa anaupata UKIMWI.


Hii ndiyo maana mgonjwa yoyote anapokwenda kupima afya yake na akakutwa ana malaria, daktari atampatia dawa za malaria na atamuambia tumia hii dozi vizuri utapona usijali wala usiwe na shaka utapona kabisa. Lakini mgonjwa huyo, huyo inapobainika kuwa ana virusi vya VVU baada ya kwisha kupewa dawa daktari atamuambia nenda na uishi kwa matumaini. Kwa nini kule ameambiwa atapona na huku anaambiwa aishi kwa matumaini? Kwa sababu hiyo aliyopewa ni sumu tofauti ni kuwa mtoaji na mpokeaji hawajui kuwa ni sumu wao wanafuata vile walivyoambiwa kufanya, na hivyo baada ya muda fulani mgonjwa yule atakufa tu, kwa hiyo hakuna haja ya kumuambia atapona wakati anachopewa kitamuongezea sumu bali aishi kwa matumaini kwani muda si mrefu ataondoka. Na hiyo kauli peke yake hata kabla ya kuanza kunywa hizo dawa inatosha kuanza kumdhoofisha na kumuwa kisaikolojia.


UKIMWI ni silaha ya kibaiolojia iliyolengwa kuwamaliza watu wa namna fulani duniani, wafutike au idadi yao ipungue kufikia kiwango kinachotakiwa na Freemasons. Na watu weusi ni miongoni mwa walengwa na hii ndiyo maana UKIMWI unayo makazi ya kudumu Afrika.

Inashangaza pale watu wanapomfurahia kiongozi wa Marekani kwa jitihada zake za kupunguza makali ya janga hili barani Afrika wakati watu walio nyuma ya kiongozi huyu na nchi yake yaani Freemasons wamedhamiria kuwatokomeza watu wa bara hili. Ikiwa kweli rais Bush na serikali yake wanania ya kutokomeza UKIMWI duniani ilikuwaje serikali yake ikiongozwa na yeye mwenyewe ichukue dhamana ya maisha kwa madaktari wale walio waambukiza mamia ya watoto virusi vya HIV? Madaktari wale ni wauaji na walistahiki kifo kama sheria ilivyopitishwa, kwa sababu walifanya kwa makusudi kama ushahidi          ulivyoonesha na walikuwa wakijua matokeo yake nini baada ya kuwa ambukiza watoto wale virusi hivyo lakini serikali ya Marekani kwa vile inapesa ikaingilia kati na kutoa mamilioni ya dola za Kimarekani kama fidia kwa watoto wale na dhamana kwa wauaji wale wachiwe huru na kununua urai wa daktari mmoja wa Palestina ili na yeye akaishi huru Bulgaria kwa kazi nzuri waliyoifanya. Madaktari hawa wana tofautiana gani na wale wanao chafua majina ya dini zetu kwa mabomu ya kujitoa muhanga? Wote ni wauaji ikiwa ugaidi unayo maana ya kumletea mtu khofu, mashaka na wasiwasi katika uhai wake na mali zake basi na hawa madaktari ni magaidi sababu tayari watoto wale na familia zao watakuwa na mashaka juu ya uhai wa watoto wao,  mbona basi anayepigana vita dhidi ya ugaidi ndiye anayewakingia kifua? Aha! kumbe kwa sababu madaktari hawa wamewasaidia Brotherhood katika ajenda yao ya kupunguza idadi ya watu duniani.


Ikumbukwe UKIMWI hautokani na Sokwe ni Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa msaada mkubwa wa Marekani ndiyo waliouleta kupitia chanjo ya Smallpox mwaka 1978 mpaka 1980, ndiyo hao, hao wakawagawia maradhi hayo kwa chanjo nyingine ya Homa ya Manjano watu Weusi wa marekani, mashoga na Wahispania. Lengo la UKIMWI ukishirikiana na Vita, Njaa na Kampeni za Uzazi wa Mpango ni kupunguza idadi ya watu bilioni 2.5 ifikapo mwaka 2000, ambao tayari tumeshaupita na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) na lile la Umoja wa Mataifa la UKIMWI na HIV (UNAAIDS) zinaonesha kutoka mwaka 1981 mpaka 2002 UKIMWI ulikuwa umeshakula watu milioni 20 na hizi ni zile zinazoitwa taarifa za kiserikali ambazo mara nyingi huficha mengi, Njaa yenyewe kila mwaka inakula watu milioni 20, Vita kama mauwaji ya halaiki ya Rwanda yalikula watu zaidi ya milioni moja, kuna Sudan, kuna Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, kuna Sierra Leone, kuna Mashariki ya Kati na kwengineko, kuna Kampeni za Uzazi wa Mpango hatufahamu mpaka sasa zimeshakula maisha ya watu wangapi, na swali ni je Brotherhood/Freemasonry/Illuminants kutokana na ajenda yao wamesharidhika na idadi ya watu waliokwisha wauwa, ikiwa tuna mashaka juu ya majibu kutokana na swali hilo iweje tusiwe na mashaka juu ya muwaji huyo anapokuja na sura ya kutibu maradhi aliyoyaleta yeye, tutajuaje kama hizo za safari hii si sumu kama zilivyokuwa za mwaka 1978, lakini AZT imeshajulikana ni sumu bado tunanyoosha mikono kuzipokea, Mungu atusaidie tufungue macho kwani tumelala vibaya mno lakini naye hawezi kutusaidia kama sisi hatuko tayari kusaidiwa, kuna jambo kubwa linaloendelea nyuma ya kivuli cha janga hili la UKIMWI na tusipofungua macho tutajikuta tumekwisha ni vyema tukaanza utaratibu wa kuwa ni wachunguzi wa mambo, kufuatilia jambo na kujua ukweli wake kabla ya kulikimbilia na kuanza kulifanya kwa sababu tu limeletwa na fulani au limeletwa katika sura fulani, kuna haja kubwa ya kutafuta elimu sahihi, na kufungua uwezo wetu wa kufikiri.





[1] Mike Adams,’Shoking Truth About AIDS’
[2] Eric Dubay –‘The Atlantian Conspirancy-Exposing the Illuminants From Atlantis 2012-

2 comments:

  1. Hello,
    naomba mawasiliano yako, mkuu haswa sim no. nahitaji kukuliza jambo.

    ReplyDelete