Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Sunday, August 24, 2014

UKIMWI NA EBOLA NI SILAHA ZA MAANGAMIZI pt. 3


Marekani, ukimwi umeenea kupitia chanjo ya majaribio ya Hepatitis B, ambayo ilifanywa kwa maelfu ya mashoga waliojitolea kati ya mwaka 1978 na 1981. 



Majaribio hayo yalianzia Manhattan ambapo miezi mitatu tu baada ya majaribio hayo katika jiji la New York habari ya kwanza ya UKIMWI kuripotiwa ilikuwa ni ya shoga aliyeishi Manhattan. Mwanzoni mwa mwezi wa nne mwaka 1980 chanjo kama hiyo ikafanyika Los Angeles, San Francisco, St Louis na Chicago na mwishoni mwa mwaka 1980 habari nyingine ya kwanza ya ukimwi kuripotiwa San Francisco ilikuwa ni ya shoga na ripoti kamili ilipokuja mwezi wa nane mwaka 1981 ilikuwa na taarifa za watu 26 wenye maambukizo ya UKIMWI na wote walikuwa ni mashoga, 20 walitokea Manhattan na 6 walitokea San Francisco na Los Angeles wote walikuwa wamepatiwa chanjo ya Hepatitis B. Ukweli wa msingi unaonesha kuwa taarifa kuhusu maambukizo ya ukimwi kwa nchi za Afrika na zile za Haiti zilianza kujitokeza kipindi hicho, hicho ambacho mashoga hao waliopatiwa chanjo walionekana na maradhi hayo.

Taarifa za kimsingi za Kiserikali na zile za wataalam wa ukimwi zinashindwa kuelezea kinagaubaga ni vipi hadithi ya Green Monkey wa Afrika ilimuathiri mtu mweusi wa Afrika Magharibi ambaye kwa karne nyingi amekuwa akilala nyama za viumbe hao bila athari na ni vipi gonjwa hilo liliweza kusafiri kutoka kwa watu wasiokuwa mashoga wa Afrika mpaka kwa mashoga wa Manhattan, San Francisco, Los Angeles kwa wakati mmoja.


Hadithi yao waliyoita ya kisayansi iko hivyo, wanasema binaadam kapata virusi vinavyosababisha ukimwi yaani virusi vya HIV vimemuingia binaadam eidha kwa kula nyama ya Greenmonkeys, au  kujamiiana naye au mtu huyo aling’atwa na Greenmokey na kisha akapata virusi hivyo, mtu huyo mmoja, mmoja tu baada ya kupata virusi hivyo alikwenda mjini akajiimiana na kahaba mmoja akamuachia virusi hivyo, naye huyo kahaba akajiamiana na mfanyakazi wa Bank ambaye huyo mfanyakazi naye akawagawia virusi hivyo mkewe na marafiki zake wa kike watatu, halafu nini? Watu milioni 50 mpaka 70 wakavipata virusi hivyo kutoka Afrika mpaka dunia nzima.

Hadithi ambayo ni zaidi ya hadithi ya kufikirika hata leo kamuulize yoyote kuhusu chanzo cha ukimwi, haimanishi ana elimu au wadhifa gani atakupa hadithi kama hii, niliamua kwenda kwenye kituo kimoja cha Angaza binafsi katika kukusanya taarifa za sura hii  nikapatiwa mshauri mmoja wa kuzungumza naye na moja kati ya maswali niliyomuuliza ni kuhusu chanzo cha ukimwi naye akanipa hadithi kama hiyo hapa juu. 

Lakini hadithi hiyo inapingana na ukweli wa mambo kuwa ukimwi Afrika haukuanzia vijijini au kwenye mapori walipo greenmonkeys lakini umeanzia kwenye majiji ya nchi zilizo kusini mwa bara la Afrika. Kusambaa kwake kumechukua karibu miezi 12, kutoka kwa nyani mmoja, halafu kwa binaadam mmoja, halafu mmoja mwingine, halafu wa nne, halafu ikawa watu milioni 70 dunia nzima, mahesabu ambayo yangehitaji zaidi ya miaka 20 kufikia hatua ya kuwaathiri watu kwa kiwango cha mamilioni. Je ni kitu gani kilicho sambaza ukimwi kutoka Afrika, Haiti, Brazil, New York, Los Angeles na San Francisco ndani ya miezi 12?



Dr. William C. Douglas anaamini kwamba Shirika la Afya Duniani (WHO) limetengeneza gonjwa la UKIMWI na kusambaza kwa nchi za dunia ya tatu ikiwemo Afrika kwa kutumia chanjo ya ndui, Uhusiano kati ya Shirika la Afya Duniani na ukimwi ni kitu chenye mvuto wa aina yake,

“Si semi kwamba ndivyo ilivyo tokea ila nasema kama nilivyokuwa nikisema kwa miaka mingi kwamba kutumika kwa chanjo za ndui kuna toa uhai kwa maambukizo ya HIV”(Leonard G. Horowitz, D.M.D., M.A., M.P.H ‘Emerging Viruses-AIDS and Evola-Nature Accident or Intentinaly’) 

Mwaka 1972 kwenye kijarida cha Umoja wa Mataifa chini ya kitengo chake cha Afya Duniani (WHO) kulikuwa na makala yenye jina la “Virus Associated Immunopathology: Animal Models and Implications for Humani Desease” (Virusi vinavyo husiana na kuharibu mfumo wa ulinzi mwilini: Mnyama kutumika kama ndiyo chanzo cha asili cha maradhi hayo kwa binaadam). Makala hiyo ilisema hivi. Jaribio linapaswa kufanyika kwa kiwango fulani kuhakikisha kuwa, kama virusi vitaweza kiuhakika, kuingia na kuzidia nguvu kazi na mfumo wa ulinzi unaofanya na aina fulani ya seli mwilini. Uwezekano pia lazima uangaliwe katika mfumo wa ulinzi kuwa ni jinsi gani au ni kwa kiasi gani utaweza kupambana na virusi hao. (ibid)


Dr. Robert Strecker, M.D, Ph.D  amekusanya makala zinazofika 50 kutoka kwenye majarida ya kisayansi yanayokubalika ambayo yamehitimisha kwa kuseama kuwa UKIMWI ulipangwa, ukifanyiwa kazi, ukazalishwa na ukatolewa na serikali ya Marekani kupitia chanjo ya Smallpox kwa nchi za Afrika na chanjo ya Hepatitis B nchini Marekani. (ibid) 

Dr. Alan Cantwell, JR, M.D, ameandika vitabu viwili vyenye ushahidi mkubwa kimoja kikiwa na jina la “AIDS and the Doctor of Death, 1986 (ISBN 0-917211-25-1) na kingine Queer Blood, 1993 (IBSN 0-917211-26-X), Dr Cantwell alikuwa ni miongoni mwa wale waliokuwa wakikataa kuwa UKIMWI siyo silaha ya kibailojia iliyotengeneza maabara mpaka pale alipoamua kulivalia njuga suala lenyewe na kufanya uchunguzi wa kina ndipo alipokuja na vitabu hivyo ambapo kile cha mwanzo kilipigwa marufuku na chombo cha afya duniani (WHO) katika mkutano uliofanyika Canada mwaka 1989.


Mwezi wa 6, Mwaka 1988, gazeti la Los Angeles Times lilichapisha makala inayopinga kuwa ukimwi unatokana na Greenmonkeys, kutokana na makala hiyo ushahidi unaonesha kuwa DNA inayotengeneza virusi wa ukimwi haiendani wala haifanani hata kidogo na DNA inayopatikana kwa Greenmonkeys, makala hiyo ikaendelea kusema kila ambacho tumekuwa tukikisikia muda mrefu kuwa virusi hao wa ukimwi hawawezi kupatikana kokote katika mazingira yetu asilia na wala haviwezi kuishi mahala popote isipokuwa katika mwili wa binaadam. Swali ni kuwa “Virusi hao wametokea wapi ghafla  na kuanza kula maisha ya mamilioni ya watu ikiwa virusi hao hawapatikani kokote katika mazingira yetu asilia na ikiwa hawawezi kuishi kokote ila kwenye mwili wa binaadam. Ni wapi wametokea?”

Gazeti la Mzalendo la New Delhi, India la tarehe 4/7/1984 lilikuwa gazeti la kwanza kuchapisha makala inayosema kuwa UKIMWI ni silaha iliyotengenezwa kwa vita vya kibaiolojia. Tarehe 30/10/1985 gazeti la Kisovieti likarudia madai ya gazeti la Mzalendo la Delhi kuwa virusi vya ukimwi vimetengenezwa kama silaha ya kibaiolojia. Tarehe 26/10/1986 The Sunday Express likawa ni gazeti la kwanza la kimagharibi kuthibitisha habari iliyoandikwa katika gazeti la India, ikiwa imeandika habari hiyo katika ukurasa wake wa mbele na kichwa cha habari “UKIMWI umetengenezwa maabara” Gazeti la London Times la tarehe 11/5/1970 lilichapisha makala katika ukurasa wake wa kwanza yenye kichwa cha habari “Chanjo ya ndui imeleta UKIMWI” Makala hiyo iliandika uhusiano baiana ya chanjo ya Smallpox iliyokuwa ikisimamiwa na shirika la afya duniani (WHO) na kuibuka kwa janga la UKIMWI kwa watu milioni 50 mpaka milioni 70 wa sehemu mbalimbali za Afrika ambao wamepatiwa chanjo hiyo iliyokuwa imedhaminiwa na shirika la misaada la Marekani.

Tumsikilize mtu mwingine anayeitwa Bill Cooper aliyekuwa katika kitengo cha Naval Intelligency Security akitoa ushuhuda wake kwa kila alichokipata katika kitengo hicho cha ulinzi wa majini cha Marekani. Anasema hivi,

“Nimeshaelezea kuwa nimeona UKIMWI ukitengenezwa kwa malengo ya kuwapunguza watu wa aina fulani katika makala zangu. Uchunguzi wa kwanza ulifanyika mwaka 1957 na wanasayansi waliokutana Huntsville, Alabama na uchunguzi mwingine ulifanyika mwaka 1968 katika Club of Rome. Matokeo ya uchunguzi yalikuwa ni idadi ya watu itaporomoka haraka sana baada ya mwaka 2000 labda binaadam waamke. Mpango huo ukapitishwa kwa malengo kuwa watengenezwe bakteria ambao watakao weza kushambulia mfumo wa ulinzi wa binaadam. Mpango huo pia ulipitisha tiba ya maradhi hayo itengenezwe. Bakteria hao watatumiwa kumaliza kile kinachoonekana ni tatizo la ongezeko la watu na watu watapatiwa virusi hivyo kwa kupitia Shirika la afya duniani (WHO). Tiba itatumiwa na Brotherhood/Illuminats/Freemasonry wa daraja la juu kabisa. Kisha tiba hiyo itatolewa tena baadaye kwa watu wote walioathirika baada ya idadi inayotakiwa kufa kutumia na hiyo itatangazwa kama maendeleo mapya na  makubwa katika tiba”. (Milton William Cooper ‘BEHOLD A PALE HORSE’)

Bill anaendelea kueleza, Mpango huu uliitwa Global 2000. Dola za Kimarekani milioni 10 zilitolewa kwa ajili ya kutengeneza bakteria hao mwaka 1969. Bakteria ambao asilia hawakupata kuwepo na kwa hivyo hakuna tiba yoyote ya kiasili itakayo weza kupambana nao. Kwa hiyo kwa muda wa miaka 5 mpaka 10 ijayo kutakuwa na uwezekano wa kufanya maambukizo ya maradhi mapya ambayo bakteria wake watatofautiana kwa namna fulani na aina nyingine ya bakteria wanao sababisha maradhi. Kitu cha muhimu zaidi ni kuwa mfumo wa ulinzi wa maradhi wa binaadam hautaweza kutawala au kupambana na maambukizo hayo kitu ambacho tutaweza kuzilinda familia zetu na uhuru wa kutoambukizwa na maradhi hayo.

Mradi huo alianzishwa Fort Detrick, Maryland. Kwa sababu idadi inayotakiwa kuangamizwa ni kubwa mno, viongozi wa Bloodline Brotherhood/Illuminants/Freemasonry wakalenga watu wa aina fulani wasio takiwa kuishi. Watu walio lengwa hasa ni Watu Weusi, Wahispania na Mashoga wa rangi zote. Jina la Mradi uliotengeneza UKIMWI ni MKNAOMI. Bara  la Afrika liliambukizwa kupitia chanjo ya Smallpox mwaka 1977. Watu wa Marekani waliambukizwa kwa kupitia chanjo ya Hepatitis B mwaka 1978. Hivi ndivyo hadithi yenyewe ilivyokuwa, anasema Bill Cooper.

Mradi huo ulipo kamilika mwaka 1969, katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kipindi hicho U Thant alikuwa na haya ya kusema kwa wajumbe wake

“Nisingependa kuonekana kuwa ni mtu mwenye makuu, lakini naweza kuhitimisha kwa taarifa nilizo nazo katika mikono yangu kama katibu Mkuu kwamba, wanachama wa Baraza la Umoja wa Mataifa wana kama miaka 10 tu ya kumaliza tofauti zao na kuanzisha ushirikiano, uhusiano na muungano wa kidunia kuweka msingi wa kibaguzi kupunguza mpasuko wa ongezeko la watu na kutoa nguvu zinazohitajika katika kuendeleza mapambano haya. Kama ushirikiano, uhusiano na muungano huo wa kidunia hataweza hata kughushiwa katika miaka kumi ijayo, basi nina hofu sana tatizo nililolitaja litafikia kiwango kikubwa na cha kutisha ambacho hatutaweza kukitawala.”(ibid)


Bill anamalizia kwa kusema, nimezitoa hizi taarifa kwa watu wote duniani nikitumai nitapata wale watakao niunga mkono na kusambaza hizi taarifa kwa wengine na kunisaidia mimi kuwazuia Illuminants.Freemasonry/Brotherhood na ajenda yao hii ya kutawala dunia. Tayari wamesha tawala sehemu kubwa ya dunia na wametangaza vita kwa binaadam wote. Lazima tuwazuie kwa gharama zozote.

Kama tulivyoona kutoka mwanzo juu ya ushahidi wa matokeo ya uchaunguzi na tafiti za watu mbali, mbali si kwamba tu UKIMWI hautokani na Greenmonkeys lakini zaidi umetengenezwa maabara kwa makusudi ili kuangamiza watu wa namna fulani wasiyo takiwa kuishi duniani na Brotherhood/Freemasonry/Illuminants. Ikiwa UKIMWI hauna mahusiano na Greenmonkeys je suala la virusi vya HIV kuambukiza UKIMWI linatoka wapi?


Wanasayansi wanao karibia mia tano wakiwemo madakitari wakubwa na wenye heshima ya kweli katika fani hii kama vile Profesa wa Molecular Biology katika chuo kikuu cha California bwana Peter Duesberg, Dr Charles Thomas aliyekuwa profesa katika chuo cha Harvad kwenye kitengo cha Biochemistry Dr Kary Mullis aliyeshinda zawadi ya heshima ya Nobeli mwaka 1993 kwenye chemistry, Dr Hank Loman (Profesa wa Biophysical Chemistry katika chuo kinachojulikana kama Free University of Amsterdam, na Dr Steven Lomas Profesa wa  madawa ya kinga katika State University of New York na wengineo wengi wanakubali kuwa Ukimwi hausababishwi na HIV.

Kwa takribani miaka 20 sasa madaktari, wanasayansi wa baiolojia, wauguzi huru wa wagonjwa wa UKIMWI, wachunguzi wa mambo na watafiti wa maradhi haya wameshindwa kupata uhusiano wa moja kwa moja kati ya virusi vya UKIMWI na virusi vya HIV ambavyo ndivyo vinavyodaiwa kusababisha UKIMWI.


Kwa sababu watu wengi kama siyo wote wanaamini kuwa HIV inasababisha ukimwi utakapo sema vinginevyo basi hapana shaka utakuwa kama mwendawazimu mbele ya macho ya watu hao, kama ambavyo unavyo weza kuonekana mwendawazimu kwa kuwaambia watu kuwa Hakuna Binaadam aliyekwenda mwezini.

Jarida la kila wiki la kisayansi New Scientist Magazine limeandika chini ya kichwa cha habari HIV, pasina mashaka yoyote na pamoja ya kuwepo “mlima wa ushahidi wa kisayansi” unaonesha kuwa HIV inasababisha UKIMWI, lakini wana sayansi wachache na wapinzani wa nadharia hiyo bado wanaendelea kuhoji juu ya kuwepo kwa uhusiano kati ya virusi vya HIV na ukimwi, na kwamba huo “mlima wa ushahidi wa kisayansi” haujapata kuwepo. Kushindwa kupatikana kwa ushahidi ni jinsi gani HIV inasababisha ukimwi ni suala la kuvunja moyo kwa wachunguzi na watafiti wa mambo. Ushahidi unaotumika sasa ya kwamba mtu akipima afya yake na kukutwa ni HIV-postive basi moja kwa moja inasemwa ana UKIMWI ni ushahidi usio na uthibitisho  lakini zaidi umeegemea katika maono na mtizamo wa watu fulani ambao umefanywa kuwa ni mtazamo wa dunia nzima.

Imefanywa kwa makusudi kabisa kuwa mtu anayekwenda kupima afya yake na akawa ana malaria au kifua kikuu lakini ndani yake pia akapatikana ana virusi vya HIV, basi hataambiwa ana malaria au kifua kikuu, bali ataambiwa ana virusi vya ukimwi au ukimwi wenyewe, na mtu huyo, huyo endapo atapima na akaonekana ana malaria tu au kifua kikuu na hana virusi vya HIV basi atambiwa na ugua malaria au kifua kikuu , kwa nini, ni propaganda ya kutaka kumfanya kila mtuamini kuwa HIV ndiyo inayosababisha ukimwi.


Mwaka 2000, rais wa Afrika Kusini Thabo Mbeki alisema kuwa CIA wanayo ajenda ya siri ya kushabikia mawazo yanayo dai kuwa HIV ndiyo inayo sababisha ukimwi ili makampuni ya madawa ya kimagharibi yapate kipato kikubwa zaidi kutona na kuuza madawa hayo. Mbeki hakubaliani na mawazo kuwa HIV inasababisha UKIMWI bali yeye anadai UKIMWI unasababishwa na kuwepo kwa magonjwa sugu, lishe duni na umasikini.

Mtoa ushauri nasaha wa Eastern Oregon State College bwana Paul Lineback anasema:

 “Kuilinda na kuitangaza nadharia ambayo haina uthibitisho ya HIV kama ndiyo msingi wa ukweli kuhusu UKIMWI, ni sawa na kumpa mtu msongo wa mawazo usio hitajika, ambao utapelekea kupata madhara ya kihisia na hata mtu kujiua kwa simanzi.”

Michael Elliner mtu ambaye amefanya kazi ya kuwahudumia maelfu ya wagonjwa wa UKIMWI na  kiongozi wa Health Education AIDS Liaison (Heal) iliyoko New York, Marekani anasema,

“Nimekuwa nikiona utaratibu mbaya na wakutisha  wakupata ugonjwa na mpaka kufa kwenye sura za watu walio athirika na UKIMWI. Naamini kabisa majaribio ya muda mrefu ya kutumiwa madawa ndiyo sababu kuu na ya msingi inayo sababisha UKIMWI na hii iko wazi na inaweza kuthibitishwa kuliko nadharia iliyoshindwa kuthibitishwa ya HIV”.

Dr. Fabio Franch mtaalam katika fani ya madawa ya kinga ya maradhi ya kuambukizwa, anasema,

“Siyo kwamba mimi ni mbishi na mtu wa kupinga ila nakubali na ninaamini bila wasiwasi kuwa HIV haina madhara na utumiaji mbaya wa madawa ya kuongeza maisha ndiyo sababu hasa ya UKIMWI”.

Mtafiti na mhariri wa jarida la kisayansi la New York liitwalo Bio Technology bwana Harvey Bialy anasema UKIMWI katika bara la Afrika unayo uhusiano mkubwa na kuporomoka kwa uchumi, kuporomoka kwa huduma za afya na kuendelea kuongezeka kwa madawa ya kuzuia maambukizo, vitu vyote hivi vinaweza kuelezea kiuhakika na kwa upana zaidi kuhusu kile kinachoendelea kuhusiana na UKIMWI kuliko kuwaambia kuwa maradhi hayo  yanasababishwa na HIV.

Daktari mmoja na muhadhiri ambaye ametembea sehemu mbalimbali duniani kwa miaka thelathini na tano, Dr Robert E. Wilner amekuwa akisema hadharani kuwa HIV haisababishi Ukimwi. Alipokuwa katika kipindi cha televisheni nchini Spain kilichokuwa kikirushwa moja kwa moja alijichoma sindano yenye virusi vya HIV kuthibitisha usemi kuwa HIV haisababishi Ukimwi, ajabu tukio hili halikuripotiwa na kituo chochote cha habari nje ya Spain. Katika vitabu vyake mbalimbali kikiwemo kile cha Deadly Deception ameeleza na kusisitiza kuwa HIV ni virusi visivyo na madhara na kwamba virusi hivi haviwezi kusambazwa kwa njia ya kujamiiana.(David Icke –AIDS the Great Medical Conspirancy’) 

Wataalam na wachunguzi wa mambo wanakubaliana kuwa UKIMWI unasababishwa na mengi lakini siyo, siyo virusi vya HIV ambavyo havina madhara, kitu chochote ambacho kinavunja vunja mfumo wa ulinzi katika mwili wa binaadam basi kinasababisha UKIMWI na hii inajumuisha madawa yenye sumu kali mwilini, madawa yanayoitwa ya kuongeza muda wa kuishi kwa waathirika kama AZT ambayo yanatumika kupambana na virusi vya HIV visivyo sababisha UKIMWI. Wagonjwa wengi wa UKIMWI wanalazimika kufa kwa sababu wana lazimishwa kunywa sumu hizo wakiambiwa kuwa ni dawa za kurefusha maisha, lakini hugeuka na kuwa jinamizi linalo wala taratibu na kuwadhoofisha kidogo, kidogo mpaka wanakwisha kabisa.



4 comments:

  1. kwaiyo unataka kuniambia kmba mama mwenye ukimwi anaweza kumnyonyesha mwanae bila mtt kuathirika

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nadhani kwa kuanzia ni kwamba tafsiri ya NENO UKIMWI si sahihi na kile kinachoitwa kisababishi cha ukimwi, yaani virusi wa HIV. lAKINI UNAPOKUJA KWENYE TAFSIRI SAHIHI YA UKIMWI, YAANI UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, HEBU WEWE NIAMBIE NI VIPI 'UPUNGUFU WA KINGA MWILINI UNAWEZA KUSAFIRISHWA KUTOKA KWA MOTOT KWENDA KWA MAMA?
      IKIWA UKIMWI NI GONJWA LA KUAMBUKIZWA KWANINI BASI MGONJWA MWENYE MALARIA ANAAMBIWA KUWA ANAYO MALARIA NA ANAPEWA DAWA YA MALARIA, LAKINI MGONJWA HUYOHUYO ANAPOKUWA NA MALARIA NA VIRUSI VYA HIV ANAAMBIWA KUWA ANAYO UKIMWI? SASA HAPA UKIMWI NI NINI?
      IKIWA UKIMWI UNAMBUKIZWA KWA NAMNA WANAVYO SEMA NI VIPI KWA ZAIDI YA MIAKA 20 SASA WATU WANAO UGUA UKIMWI NI WATU KUTOKA KWENYE KUNDI FULANI MAALUM? KWA ULAYA WAATHIRIKA WAKUBWA NI MASHOGA NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYIA, KWA AFRIKA NI MCHANGANYIKO LAKINI SEHEMU KUBWA IKIWA NI WATU WENYE KIPATO DUNI, WENYE LISHE DUNI NA WANAO ISHI KATIKA MAZINGIRA YASIYO NA MIUNDO MBINU BORA YA USAFI.
      ZIKUWAPI 'DATA' AU TAKWIMU ZINAZO ONESHA IDADI YA WATOTO WALIO AMBUKIZWA UKIMWI KWA NJIA YA KUNYONYA.?
      ZIKUWAPI TAFITI ZINAZO ONESHA KUWA MTOTO ANAAMBUKIZWA UKIMWI KWA NJIA YA KUNYONYA?
      AU MATANGAZO YA REDIO NA LUNINGA NDIYO YAMEKUWA TAFITI?

      Delete
  2. Wapo matajiri wengi wanaishi navyo sema hawajitangazi.........ukimwi/vvu hakika unaambukiza mtoto kwa kunyomya 100% kuna mama mtaani amemuambukiza mtoto wake na sasa mtoto anatumia dawa mwaka wa 5, wanaosema vvu havina madhara yawezekana kweli kwa baadhi ya watu tatizo hiki kitu watu wanakiona kama ukijitangaza ni aibu ndio maana hata wewe hupati takwimu sahihi,na ndo maana ukipata vvu kati ya miaka 10-15 bila kula vizuri unapata ukimwi 100% wao wanafanya utafiti kwa masokwe sijui huwezi shindana na Mungu kuna aina tofauti za watu na magonjwa

    ReplyDelete