Watu wa
kwanza wa Khazairi walijulikana kama Ashkenazi na Sephardic. Wa Khazairi wa
Ashkenazi ambao ni sehemu ya watu wanaojiita Wayahudi leo na ambo ndani ya
Israeli ni wengi kulinganisha na wenzao na ndiyo wao wanaoshikilia madaraka
tangu nchi ya Israeli ilipoanzishwa mwaka 1948 hawahusiani chochote na Wayahudi
waliotajwa katika Biblia.
Katika Biblia Ashkenaz wametajwa kama watu waliokuwa
wakiishi katika milima ya Ararat (Uturuki ya leo) na Armenia maeneo ambayo kama
tulivyo ona mwanzo kuwa ndiyo yalikuwa makazi ya Khazairi. Baada ya kuporomoka
kwa dola yao watu hawa hawakuwa wakizungumza lugha ya Kisemitik ya Kiyahudi, na
hiyo si ajabu kwani wao si Wayahudi bali walikuwa na lugha yao wenyewe yenye
machanganyiko na maneno ya lugha tofauti hasa ya jamii ambazo wameingiliana
nazo ikiwemo jamii ya Wayahudi na lugha hiyo waliita Yiddishi. Lugha hii haikutokea Palestina bali
Ulaya ya Kati ikiwa na lahaja za Kijerumani na baadae za Ulaya ya Mashariki,
halafu za Kiyahudi, Aramaic na Slavic. (Yiddish language, Britannica Concise,
Britannica Online, http://concise.britannica.com/ ebc /article?eu=408461)
Familia
yenye kujulikana na yenye nguvu mno ya Kikhazairi ni familia ya Rothschild
ambao ndiyo walikuwa wadhamini wa mwanzo wa Illuminati. Jina Rothschild ni jina
linalo tokana na lugha ya Kikhazairi lenye maana ya ‘ngao nyekundu’, ngao hiyo
ndiyo nembo ya wa Khazair enzi na enzi, nembo hiyo ndiyo nembo inayo onekana
kwenye bendera ya Israeli hivi leo. Huwezi ukawa umezaliwa, ukaishi na kukulia
Ufaransa halafu ukaja Marekani ukadai aridhi hii ni ya kwako kwa sababu miaka
elfu mbili iliyopita babu zako waliishi hapo, hatuna sheria hiyo, na hata kama
ingekuwepo bado Wayahudi wa leo hawana haki ya kuikalia Palestina kwa maana
tumejua wao si asili yao Palestina bali Uturiki, wao si Wayahudi kwa maana ya
damu bali kwa maana ya imani na Wakhazairi kwa maana ya damu.
Umepata
kusikia kitabu cha Talmud? Kitabu cha “kizazi teule”, kwa vile tunawazungumzia
watu ambao kwenye historia ya binaadam wamekuwa ni watu wa kuhangaika,
wakifukuzwa kutoka mji mmoja kwenda mwingine, kokote waliko kwenda waliandamwa
na jinamizi hilo la kufukuzwa na hata leo tuna waona wameing’ang’ania aridhi
ambayo ukweli wa historia unatuonesha si aridhi yao kama wanavyo dai kwa
kutumia historia ya uwongo, na jinamizi la kufukuzwa likiwa bado linawaandama,
hebu tukitupie jicho kidogo kitabu chao cha Talmud.
Ni moja
ya vitabu vikongwe vya Kiyahudi na sasa hivi hawawezi kukuzia kisiwafikie watu
tena kama walivyokuwa wakifanya awali kutokana na machafu yaliyomo ndani ya
kitabu hicho. Siyo na andika kuhusu Talmud kwa maana ya kuwa ni mbaguzi,
unapaswa kufahamu ukweli. Muda mrefu umekuwa ukipita njia ngumu yenye mawe na
miba na sasa na kumulikia mwanga uchague njia yako vizuri. Kidogo tutazame aya
chache ndani ya Talmudi yenyewe utajua ni kwa nini katika historia yote ya
binaadam wamekuwa ni watu wasio takiwa na jamii yoyote duniani na kwa nini
kiongozi wa Khazairi pamoja na kupingwa vikali na watu wake aliamua kuingia
ndani ya imani ya Kiyahudi.
Kutoka
kwenye Talmud:
1. Wayahudi tu
ndiyo binaadam, wasio kuwa Wayahudi si binaadam, ila wanyama.” (Kerithuth 6b,
Jebammoth 61”
2. “Wasio kuwa
Wayahudi wameumbwa kuwatumikia Wayahudi kama watumwa” (Midrasch Talpioth)
3. “Kufanya ngono
na asiyekuwa Myahudi ni sawa na kufanya ngono na mnyama” (Kethuboth 3b)
4. “Uzawa wa
wasiokuwa Wayahudi lazima upunguzwe kwa kasi” (Zohar II, 4b)
5. “Kumnong’oneza
Myahudi sikioni, ni sawa na kunong’oneza kwenye sikio la Mungu” (Sanhedrin 58b)
6. Mungu (Jahveh)
hana hasira na Wayahudi, ila ana hasira na wasio kuwa Wayahudi (Talmud V/2/ 43b
– 44)
7. “Wayahudi daima
wanapaswa kuwarubuni wasio kuwa Wayahudi” (Zohar I, 168)
8. “Ikiwa Wayahudi
wawili watamrubuni asiyekuwa Myahudi basi wanapaswa kugawana faida” (Choschen
Ham 183,7)
9. Kila Myahudi
anaruhusiwa kusema uwongo na kulaghai ili kummaliza asiyekuwa Myahudi” (Babha
Kama 113)
10. “Kinacho
milikiwa na goyim (mnyama/asiyekuwa Myahudi) ni kama kilicho achwa jangwani, na
kila Myahudi atakaye kishika, basi nichake” (Talmud IV/3/54b)
11. Messiah atakapo
kuja, wote watakuwa ni watumwa wa Wayahudi” (Erubin 43b)
Nataja
kwa uchache tu, ila kitabu hicho ni kikubwa na kila ukaras umejaa maandishi
mfano wa hayo na hila nyingi za kuwarubuni wasiyo kuwa Wayahudi ili kuweza
kuwapora mali zao, aridhi, utajiri na kuwaua.
Sijatunga
mimi, zaidi ya hayo yamo ndani Talmud, katafute ujionee mwenyewe. Utajua ni kwa
nini mateso hayaishi humu duniani, utajua ni kwa nini nchi zinafanya mashindano
ya kutengeneza silaha mbaya, kwa nini wanahubiri amani na wanajeshi wao wako vitani,
utajua kwa nini mamilioni wanakufa kwa njaa, vita na maradhi, utajua ni kwa
nini watu wanafanywa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Kwa sababu mateso,
shida na dhiki hizo hazimfiki binaadam, bali goyim, mnyama. Mnyama hawezi kuoa,
mnyama hawezi kumiliki mali, mnyama hana haki ya kumiliki chochote, Myahudi tu
ndiye binaadam na ndiye mchungaji wa wanyama, huo ndiyo mtazamo wa Talmudi juu
ya binaadam wengine wote wasio kuwa Wayahudi. Hii ndiyo maana wamekuwa
wakifukuzwa kila taifa walilobisha hodi, na mara ya kwanza kuingia Palestina
waliingia kwa kitambulisho cha wakimbizi wanao omba hifadhi, lakini sasa wa
Palestina wamekuwa wakimbizi na wao ndiyo wamiliki wa aridhi.
KHAZAIR WAKIINGIA PALESTINE KAMA WAKIMBIZI WA KIYAHUDI
Kuna kingine kinaitwa
Kabbala, nacho ni chao, inasemekana kiliandikwa wakati wanahama kutoka Babyloni,
hakuna uchawi duniani na elimu za maajabu kama utakazo kuta kwenye hicho
kitabu, na vitabu vyote hivi ni chukizo kubwa kwa Muumba, na kwa ajili hii
hawatakaa wakaonja amani daima watakuwa ni watu wa kuhama hama, na siku itafika
wataondolewa katika aridhi wanayo ikalia kimabavu, siku hiyo ipo, inakuja.
MAUDHUI YA KABBALAH
Elimu
inayohusiana na asili ya binaadam na mahusiano yake ya kijamii inatupa mtazamo
tofauti kuhusiana na watu wanao itwa kizazi teule, haikubaliani na kuwepo kwa
kizazi hichi kwenye misingi kwamba, sehemu mbalimbali duniani wamepatikana watu
wanaojiita ‘Wayahudi’ ambao wanatofautiana sana kutoka kwa mmoja kwenda
mwingine, kimaumbile, kitabia, rangi ya ngozi, kimo, na kigenetiki (kinasaba).
Kitu ambacho kisingeweza kutokea ikiwa madai yao yangekuwa ni ya ukweli.
Suala la
watu wanaojiita Wayahudi kuja kuikalia Palestina ni mpango wa muda mrefu wa kimasoni,
Albert Pike shetani mkubwa na kiongozi wa kifreemasoni wa zama zote alipoandika
maono yako ya jinsi ulimwengu wa kimasoni utakavyo kuja patikana mpango huo
ulihitaji kuwa na vita vikuu vitatu vya dunia na mapinduzi makubwa matatu
ambavyo ndivyo vitakavyo pelekea kusimama kwa dola hiyo ya kishetani.
Watu
ambao ndiyo waliotengeneza mazingira ya Vita vya Kwanza vya Dunia, walikutana
baada ya vita hivyo katika kile walichokiita Versailles Peace Treaty ambapo
walipitisha maazimio yenye malengo ya kutekeleza maono ya kiongozi wao Albert
Pike na Mtabiri wao Nastrodamus. Maazimio ya mkutano huo ndiyo yaliyopelekea
kwa Hitler kuweza kuitawala Ujerumani.
Babu yake rais Bush na Bush Baba kwa kiasi
kikubwa kupitia makampuni yake na vyanzo vingine aliweza kumpatia Hitler na
serikali nguvu za kiuchumi, pia serikali ya Marekani kwa kipindi hicho kupitia
utaratibu wake wa ukopeshaji iliweza kumkopesha Hitler fedha za kutosha na wakamuwezesha
kijeshi mpaka akawa na nguvu za kuiitisha vita vya Pili vya Dunia. Ni katika
mkutano huo pia suala la “Wayahudi” kupelekwa Palestina lilijadiliwa, hii ni
hatua muhimu ya kwenye ajenda sababu Vita Vya Tatu vya Dunia vitaanzishwa nyuma
ya kivuli cha watu hawa waliojitangaza kwa walimwengu kuwa ni Wayahudi ili hali
wao ni watu kutoka Uturuki wasio na uhusiano hata kidogo na aridhi hiyo ya Palestina.
Hitler
alitumiwa vizuri kwa ajili ya ajenda ya Milenia nyingi, kwani na yeye alikuwa
ni mwanachama wa asasi kadhaa za siri, katika daraja la juu na pia alikuwa na ushirika na vikundi
vingine vya siri vinavyo fanya ibada za kishetani, alifanya maaigizo ya ya kuwa anawanyanyasa, anawatesa na
kuwaua kwa idadi kubwa watu waliojiita “Wayahudi” ambao kiuhakika ni wa Khazairi
kutoka milima ya Caucasus.
Hitler hakuwa peke yake katika dhambi hii
alishirikiana na watu wengine wa ukoo wa Khaizari ambao na wao pia
wanaudanganya Ulimwengu kuwa ni Wayahudi, Rothschild. Familia hii tajiri
ikishirikiana na taasisi zenye nguvu ambazo zimejengwa kwa ushawishi wa familia
hii pamoja na wanasiasa wakubwa walionunuliwa na familia hii. Madhila hayo
ya kuigiza yakalipa nguvu lile wazo la “Wayahudi” kuwa na nchi yao wenyewe.
Nasema ni 'MCHEZO WA KUIGIZA' sABABU YALE YANAYO SEMWA KUTOKEA KATIKA KAMBI ZA MATESO ZA WANAZI DHIDI YA 'WAYAHUDI, LEO YAMETHIBITIKA KUWA NI UWONGO MTUPU KUPATA KUTOKEA KATIKA HISTORIA. KUMBUKA WALIKUDANGANYA KUWA WAMEKWENDA MWEZINI, WAKATI WALIKUWA KWENYE JANGWA LA NEVADA WAKIFANYA SHOOTING ZAO, WALIKUDANGANYA KUWA 9/11 NI KAZI YA WAARABU FULANI, ANY WAY KUNA MENGI WAMEKUDANGANYA, NA HILI NALO LIONGEZE KWENYE ORODHA, AU INGIA KAZINI NA UJIRIDHISHE MWENYEWE. FANYA UTAFITI WAKO.
WAZURI WA KUTENGENEZA PICHA ZA UWONGO. KAMA NI KWELI KWANINI WANATUMIA PICHA ZA UWONGO.
UWONGO TENA, KWANINI?
HIZO ZINAZO ITWA 'CHEMBA ZA GESI' HAKUNA HATA MOJA ILIYOPATIKANA KATIKA HIZO KAMBI ZA MATESO.
HII NAYO SIJUI WALIITOA WAPI, HALAFU WAKAONA HAITOSHI WAKAONGEZA PICHA NYINGINE, JAMANI UWONGO WOTE HUU WA NINI?
Kwa kuanzia hapakuwa na Wayahudi Milioni 6 Ulaya kipindi hicho, sasa sijui hiyo namba waliitoa wapi?
Mwingereza
ambaye alikuwa akitawala Mashariki ya Kati na ambaye alishirikiana na wa Arabu
kupambana na wa Uturuki, hatimaye akatoa tamko kuwa anaunga mkono kuanzishwa
kwa taifa la “Wayahudi” Palestina.
Uhusiano
kati ya Uzayuni na chama cha Nazi ulianzishwa tangu mwanzo na ulikuwa ukikuwa
na kukomaa kadiri waliokuwa wakijiita “Wayahudi” walivyozidi kunyanyasika katika
mikono ya Unazi. Kwa sababu historia imepotoshwa, na watu kutoka milima ya
Caucasus sasa wanajulikana kama watu kutoka milima ya Jordani, utambulisho wao
kama wa Khaizari umetoweka na sasa ni wa “Wayahudi”, Freemasons hawakusita
kulitumia kosa hili la Historia kukidhi haja na malengo yao, kwa kutumia
utawala wa Hitler ambaye naye alikuwa ni Freemasons na ndiyo wao waliomuweka
madarakani, na kwa kushirikiana na vyama vingine vya Kizayuni vikashiriki
katika dhambi kubwa ya kuudanganya ulimwengu kuwa
hao ni “Wayahudi” na hivyo kuna haja ya kuwapatia taifa lao wenyewe ili
kuepukana na madhila hayo, na taifa hilo ni Palestina kama alivyo panga Shetani
mkubwa wa karne ya 19, Albert Pike.
Gazeti
la Kiisraeli Zo Haderekhon, la Septemba
2, 1981 liliandika kuwa, Chama cha Nazi na Uzayuni vilikuwa na lengo moja la
kuwatisha Wayahudi wa Ulaya ili wahamie Palestina. Chama cha Kizayuni ambacho
kilikuwa bega kwa bega na Unazi dhidi ya madhila haya kwa wa Khaizari ambao
ulimwengu umehadaiwa kuwa ni Wayahudi kiliitwa Lohamei Harut Israeli na Irgun
Zvai Leumi. Viongozi wa vyama hivyo walikuwa watu kama Yitzhak Shamir na
Menachem Begin ambao baadae wote walikuja kuwa mawaziri wakuu wa Israeli. (Juri Luna ‘Architect of Deception’)
Chama cha Nazi kilifanya
kila kinachoweza kusaidia vyama vya Kizayuni kuhakikisha kuwa wa Khaizari ambao
wanajiita Wayahudi wanahamia na kwenda kuishi Palestina. Mwishoni mwa mwezi wa
pili mwaka 1937, mwakilishi wa vuguvugu la Kizayuni Ujerumani alikutana na
viongozi wa chama cha Nazi kujadiliana ni kwa namna gani wataweza kuishawishi
Uingereza ambayo bado ilikuwa ni kikwazo kwa makazi hayo mpya ya “Wayahudi”
Khaizari. Kiongozi huyo bwana Faiwel Polkes pia aliitaka Ujerumani kupitia kwa
viongozi hao wa Nazi kuhakikisha kuwa “Wayahudi” wanaotoka Ujerumani hawakimbilii
nchi zingine zaidi ya Palestina, “Wayahudi” walikuwa wakilazimishwa kuhama nchi
za Ulaya na Marekani na kwenda kuishi katika aridhi ya “ahadi”.( Ibid)
Hakuna
ubaya kuitwa Myahudi kutokana na imani yako, kuna Wayahudi wa Kichina leo
duniani, hii ni kwa sababu wanafuata mafunzo ya Kiyahudi, kuna Wayahudi wa
Kisudani na hata hapa Tanzania kuna watu wanajiita ni Wayahudi, Kenya pia wapo
hii ni kwa sababu tu wanafuata mafunzo ya Kiyahudi na hilo linaeleweka, kuna
watu wa madhehebu ya Kiroma hapa Tanzania na wakati mwingine wanajulikana kama
Waroma lakini hii haimaanishi kuwa wao ni watu wenye asili ya Italia ambako
yako makao makuu ya dhehebu la Roman Katoliki bali ni wafuasi wa imani hiyo, ni
sawa na Waislamu kokote walipo duniani wanajulikana kuwa wao ni Waislamu lakini
hii haiwafanyi tuwaite kuwa ni Waarabu kwa vile eti ni Waislamu hili
haliwezekani na ndiyo hapa tunaposhindwa kuwaita hao wa Khaizari kuwa ni
Wayahudi kwa maana ya Waisraeli, tutakuwa hatuwafanyii haki, wao ni wa Khazairi
na watendelea kubakia vile kama ambavyo Mwisilamu na au Mkristo alivyoendelea
kubakia na asili yake.
Gari lililotumika
kusafirisha, kusambaza na kuuza kwa walimwengu wazo hilo ni Uzayuni (Zionism).
Si kila katika hao wanaojiita “Wayahudi” ni Wazayuni. Uzayuni siyo dini wala
utaifa bali ni vuguvugu la kisiasa linalo wahusisha watu wenye ajenda fulani
nyuma ya kivuli cha “Uyahudi na Israeli” Kile kilichoitwa Balfour Declaration kililetwa mezani baada ya katibu wa mambo ya
nje wa Uingereza na wanachama wa kile kinachoitwa Round Table, moja ya taasisi
nyingi na zenye nguvu zinazoshikiliwa na Rothschild kuitambua Palestina kama
aridhi ya Wayahudi.
Kile ambacho watu
wengi hawafahamu ni kuwa mkataba wa Balfour haukuwa maamuzi ya katibu wa mambo
ya nje wa Uingereza kwenda kwenye Bunge la Uingereza, bali ilikuwa ni mfano wa
barua kutoka kwa Arthur Balfour, ambaye pamoja na kuwa ni mwanachama wa Round
Table, pia ni mwana chama wa jumuiya nyingine yenye nguvu inayoitwa “Committee of 300” ambayo nayo pia
inashikiliwa na Rothschild, barua hiyo ilikwenda kwa Lord Lionel Walter
Rothschild na mwanachama wa “Committee of 300” na pia mwakilishi wa chama cha
Kizayuni cha Kingereza ambacho kimeundwa na fedha za Rothschild. Mkataba huo
ulikuwa umebeba malengo ya Brotherhood yakiwakilishwa na Rothschild ambao ndiyo
wao hasa wano ishikilia Israeli ya leo tangu ilipoanzishwa mwaka 1948. (David Icke, ‘And The Truth Shall Set You Free’)
Serikali
mpya Uingereza chini ya Llyod George ilikuja na mtazamo mpya kuhusiana na sera
za Uzayuni. Hii ilionekana wazi zaidi pale katibu wa mambo ya nje bwana Arthur
Balour alipoandika barua kwenda kwa Lionel Rothschild tarehe 02 Novemba 1917.
Barua yenyewe ni hii
“Dear Lord
Rothschild,
I have much pleasure in conveying to you on behalf of his Majesty’s
Government the following declaration of sympathy with Jewish Zionist
aspirations, which has been submitted to and approved by the cabinet.
His Majesty’s Government view with favor the establishment in Palestina of
a national home for the Jewish people, and will use their best endeavors to
facilitate the achievement of this object, it being clearly understood that
nothing shall be done which may prejudice the civil and religious rights of
existing non-Jewish communities in Palestina or the rights and political status
enjoyed by Jews in any other country.
I should be grateful if you would bring this declaration to the knowledge
of the Zionist Federation.
Yours sincerely,
Arthur James Balfour.(Jan Van helsing ‘Secret Society and Their Power in the 20th
Century.’)
Kitu cha
ajbu ni kuwa wakati barua hiyo inaandikikwa, Palestina ilikuwa kwenye mikono ya
serikali ya Uturuki. Hapa Uingereza inaahidi kutoa aridhi ambayo haiko kwenye
milki yake kwenda kwa mtu wa tatu ambaye hana milki na aridhi hiyo. Wiki chache
baadae Uturuki ilishindwa na Uingereza ikawa imeichukua Egypt na Palestina.
WW II
moja ya jukumu lake ilikuwa ni kutengeneza
taifa la Israel, katika vita hivi Uturuki ambayo ilikuwa ikiikalia Palestina
iliiunga mkono Ujerumani, hivyo Ujerumani ‘iliposhindwa’ Uturuki nayo ikawa
imeshindwa, Uingereza ikakabidhiwa Palestina nayo ikaikabidhi kwa wa Khazairi
maarufu kama Wayahudi . Lakini kabla ya kufika huko kwanza Uingereza ilionja
joto la mtandao wa Uzayuni.
Uingereza
ilitetemeshwa na kifo cha Lord Moyne kilichofanywa na Wazayuni wawili.
Ilipofika mwaka 1946 bunge la Uzayuni Geniva lilipitisha kuwa ugaidi ndiyo njia
pekee itakayo tumika kuweza kusimamisha taifa la Uzayuni ndani ya Palestina. (Ibid)
Baadaye hapo makundi mengi
ya kigaidi ya Kizayuni yakaivamia Palestina kulazimisha kuundwa kwa Israel.
Baada ya hapo umwagikaji wa damu kwenye aridhi hiyo ulizidi kupita kiasi na
suala zima likapelekwa mbele ya Umoja wa Mataifa ambayo kama tutakavyoona
kwenye sura inayofuata, chombo hicho ni mali ya Rockeffeller ambayo nayo ni
kama mtoto kwa Rothschild, hivyo hapa kesi ya nyani kapewa tumbili aweze
kuhukumu na ndivyo ilivyo kuwa, Umoja wa Mataifa ikaigawanya Palestina sehemu
mbili, moja kwa Waarabu, nyingine kwa Wakhazairi au ‘Wayahudi’ kama ulivyo zoea
kuwaita. Utaona katika mtiririko huu hakuna hata mmoja aliyetumia kipengele cha
aridhi ya Wayahudi kwa maana ya damu, siyo Uingereza waliyo toa ahadi kwa
Rothschild, siyo wanaharakati wa Uzayuni wala Umoja wa Mataifa; kilicho
hitajika ni nguvu ya dola ya Uingereza ambayo nayo iko chini ya Illuminati na
zaidi imeshikiliwa na wa Khazairi wenyewe ambao ndiyo walio kuwa wakiitaka
aridhi hiyo.
Mgawanyo
huu ukaleta umwagaji mkubwa damu zaidi na hasa kwa Waarabu kitu kilicho
sababisha Umoja wa Mataifa kujitoa yenyewe kwenye moto iliyouwasha, ikarudi
nyuma. Wazayuni wakaendelea kujigawia maeneo
mpya zaidi tofauti na yale iliyo pewa na Umoja wa Mataifa. Kikundi cha kigaidi
cha Wazayuni kinacho julikana kama Irgun Zvai Leumi kilivamia kijiji cha Deir
Yasin na kuchinja watu wote hapo kama onyo kwa Waarabu kwamba wasiendelee
kuwapinga Wazayuni.(Ibid)
Kuwepo
kwa wa Khazairi “Wayahudi” katika aridhi ya Palestina kumesukumwa na ajenda ya Freemasons
zaidi kuliko sababu ya kihistoria ambayo ndiyo waliyowauzia walimwengu na
ambayo si kweli kama nilivyo kwisha ieleza, ili wa Khazairi waweze kufanikisha
lengo la ajenda mpango mwingine ukawa unafanyika nyuma ya mapazia, mpango wa
kumuondoa madarakani kibara wa muda mrefu wa Freemasons, Saddam Hussein na
kubandika utawala mwingine ambao utashirikiana na Jordan pamoja na Uturuki
utazibeba na kuziafiki sera za Israeli. Ushirika huo utatumika kudhoofisha
msimamo wa Syria. Kama tunavyoona Saddam kesha ondolewa, ushirika kati ya
Uturuki, Marekani na serikali mpya ya Iraq uko wazi, na ndivyo ulivyo ushirika
wa nchi hizo na Israeli.
Rothschild
kama walivyo wamasonia wengine, ajenda kwao ni ya muhimu zaidi kuliko kingine
chochote, hakuona uzito kuwauza ndugu zake wa Khaizari kwa jina la Kiyahudi
ambalo nalo kwalo anajulikana nalo, kwa kutumia jina hilo nyuma ya ajenda ya
kuichukua dunia ameweza kuichukua aridhi ya Palestina na kuanzisha taifa la
Israeli mahala ambapo watapafanya kuwa mji mkuu wa Serikali ya kidikteta ya
Dunia muda utakapo wadia, Israeli inashikiliwa na familia ya bwana huyu, kwa
kutumia majina kama “kizazi teule”, “aridhi ya ahadi”, “aridhi ya Wayahudi”
wana paza sauti yao juu na ulimwengu unadhani ni sauti ya “Wayahudi” kumbe ni
sauti ya Rothschild na Brotherhood kwa pamoja kwa manufaa ya ajenda wanapaza
sauti hizo wakiuhadaa ulimwengu na wakati huo kwa siri wanaipeleka ajenda
mbele.
Kama nilivyoelezea katika makala zilizo tangulia kuwa Uzayuni kuwepo
mashariki ya kati nyuma ya watu wanaojiita Wayahudi ni hatua nzuri ya kuelekea
kwenye kile kitakacho itwa Vita ya Tatu ya Dunia, ni watu hawa, hawa
waliopanga, wakaviratibu, wakividhamini kwa kila kilichowezekana Vita vya
Kwanza na vya Pili vya Dunia, leo wana andaa vita vya Tatu vya Dunia, samahani
kama nimekuacha hapo au kama unaona ni habari zenye mkanganyiko ninazo kupa ila
kama utajitahidi kufungua akili yako na upeo wako wa kufikiri na kuona mambo
nadhani tutakuwa tuko pamoja.
honger kk pamoja sana nimejifunza meng kupitia blog hii
ReplyDeletekaribu sana na endelea kujifunza ...
ReplyDeleteMungu atunusuru jaman iyi stori ya kwenda mwezin utatupa lini na vita ya 3 utapigwa lini?
ReplyDeleteEndelea kutembelea blog hii na utayapata majibu ya maswali yako.
Delete