Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Wednesday, November 27, 2013

'JICHO MOJA' NA 'CROWN; TAJI LA MFALME' KAMA NEMBO ZA KIMASONIA

Kawaida Mason huficha vitu vyao kweupe hadharani, na watu wengi hawaoni walicho fichwa kwa kile kilicho mbele yao. Lugha yao hii ni lugha ya 'ALAMA' na 'NEMBO', sasa hivi zimetapakaa kila kona ya dunia, na hii ni zuri kwao, kwavile taratibu umma unaanza kuzikubali nembo na alama hizo kama sehemu ya maisha yao, katika ukurasa huu tutakuwa tukitizama maumbo na alama hizo na maana zake ikiwezekana.


LEO NINGEPENDA NIWALETEE NEMBO YA 'TAJI LA MFALME'
Wakristo wengi hudhani na kuamini kuwa 'crown' au 'taji la mfalme' katika nembo mbalimbali linawakilisha taji la Yesu Kristo kama vile 1) Taji la miiba alilovishwa 2) Taji kama mfalme wa wayahudi, na 3) taji kama mfalme wa wafalme.




Lakini yote hapo juu siyo sahihi, kama tulivyo ona katika post nilizo weka hapo juu ni kuwa FREEMASON pia wanayo mfalme wao ambaye wanamngojea, mfalme mwenye jicho moja.



Nembo hii ya chini ni beji kwenye sare za polisi katika nchi za umoja wa kiarabu, kwenye nembo hiyo tizama vizuri utaona 'crown' halafu chini yake ni 'nembo ya jicho moja', unadhani viwili hivyo vimekutana hapo kwa nasibu, na nembo iliyo juu ya hiyo inaelezea kitu kile kile, jicho moja na crown ni moja ya alama muhimu za Illuminanti. Nembo hiyo wazi wazi inatangaza ufalme wa Mfalme mwenye jicho moja, Masihdajjal/Mpinga Kristo/ au maarufu kama 666.

Hivyo basi crown haiwakilishi chochote kinacho husian na kristo, bali kinyume chake na Dajjal ni kinyume cha Kristo na ndiyo maana jina lake ni Mpinga Kristo au Masih wa Uongo.


Nembo hizo mbili hapo juu ni mfano mzuri wa nembo za Illuminanti zinazo tumika kuwarubuni wakristo kuamini kuwa 'crown' inasimama badal ya Kristo, lakini msalaba ambao ni 'alama' kuu ya ukristo na wafuasi wa dini ya kikristo unaonekana kuelea kwenye duara la 'crown' ikimaanisha kuwa 'taji hilo la mfalme' ni kubwa mno kwa Yesu kulivaa, halimtoshi, kuna ambaye linamtosha naye ni mfalme mwenye jicho moja, kama tulivyo ona hapo juu, jicho limekaa sawia kabisa na 'crown' lakini mslaba, unaelea kwenye 'crown' hata hivyo, nembo hizo zinaweza kuwa na maana tofauti zaidi, nayo ni maana maarufu na inayo pendwa zaidi na freemasonry, alama ya 'uume' na 'uke' vikiingiliana, hapo msalaba ukisimama kama uume na 'crown' kama uke ... hili nitalizungumza kwa kina huko mbeleni ...

TUITZAME CROWN 'TAJI LA MFALME'

Ama kwa freemasonry au Babiloni Brotherhood, taji huwa na maana mbili na hii itategemea na namna gani taji hilo limeoneshwa, eidha katika mchoro, kinyago ama kitu halisi.


Maana ya kwanza ya Taji ni 'nuru ya Jua',  na maana ya pili ni 'Taji la mfalme anaye ngojewa'.


Kikaragosi hicho hapo juu kinaonesha  taji kwa maana ya 'Taji la Mfalme anaye ngojewa' au pia ujio wa ufalme wa Mflame mwenye jicho moja, vikaragosi vya namna hii utaviona mara nyingi zaidi katika maudhui ya filamu za watoto maarufu kama 'katuni' na hii ni muhimu sana kwa vile flamu hizo zinatumika kuwaandaa watoto na jamii kwa ujumla kuanza kuukubali na hatinaye kuupokea ufalme huo kwa mikono miwili.




Crown hizo mbili hapo juu zote zinawakilisha maana moja ya crown, 'Miale ya Jua', alama hii nayo huoneshwa sehemu mbalimbali kwa namna mbalimbali ambapo watu wa kawaida hawaonekani kung'amua kwamba alama hiyo anayo maana zaidi ya 'miale ya jua'



Kifupi 'Jua' au 'Miale' yake inayo maana mahususi sana kwa freemsonry na Illuminanti Brotherhood  kwa ujumla, MAANA HIYO INATOKANA NA KWAMBA moja ya WAUNGU ambao freemasonry na wenzao inawaabudu ni 'JUA' , na vipi jamaa hawa wanaabudu jua, hiyo ni hadithi nyingine ndefu kidogo, huenda tukaitizama huko baadae, ila wanaabudu jua kwa kiwango cha juu mno kupita maelezo. Na hivyo basi mungu wao huyo humtangaza kwa njia mbalimbali.


Alamaa za kimasonia na Mungu Jua naye akionekana.



Alamaa kuu ya kimasonia Mungu Jua naye akionekana.



Alamaa za kimasonia ikiwemo hekalu, nguzo kuu kuu mbili lakini na Mungu Jua naye akionekana.


 Huyu hapa tena Mungu Jua akiwa na alama nyinginezo.




Tukiiacha alama hiyo ya Mungu Jua kupitia Crown, lakini iliyo mahususi zaidi ni ile ya crown kuwakilisha Ufalme wa Dajjal/Mpinga Kristo.




Crown kwenye majengo ya Serikali, hapo ni London


Crown kwenye majengo ya Serikali, hapo ni Australia




Crown kwenye majengo ya Serikali, hapo ni Canada


Crown kwenye majengo ya Serikali, hapo ni Scottish


Amini nakuambia ndugu msomaji nembo hizo za 'crown; hazipo hapo kwa bahati mbaya, watu wapo tayari wamesha tandika zulia jekundu kwa ajili ya Mmoja naye ngojewa, Dajjal.







 Kampuni ya Shell tangu inaanza nembo yake ni crown, ingawa imekuwa ikibadilikashwa kila mara maudhui yalibaki yale yale, 'crwon'.

Hizo hapo juu ni picha za mashirika na makampuni mbalimbali yenye majina makubwa kila kona ya dunia na hawajachagua nembo yoyote kwa ajili ya shughuli zao ispokuwa 'CRWON'. Hivyo utakapo ona mahala pengine alama ya crwon itzame kwa umakini .... Tchaoo







No comments:

Post a Comment