Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Saturday, April 7, 2018

KUBAKI AU KUHAMA?

GUYS NIMEKUWA KIMYA MUDA KIDOGO, KUTOKANA NA HITILAFU ZA KIUFUNDI, HASA 'SECURITY' ESSUE ZA KIMTANDAO KWENYE BLOGGER YANGU, NA NAONA GOOGLE HAWANA USHIRIKIANO KABISA KWENYE HILI.

NAFIKIRIA KUHAMIA PLATFORM NYINGINE, LAKINI KWANZA NIKAONA NI VYEMA KUWASHIRIKISHA WADAU WANGU.

UWANJA NI WENU KWA MICHANGO NA MAONI .....

7 comments:

  1. Assalaaam alaykum warahmatu llaaah wabarakaatuh,hebu Hama maana kila siku nachungulia sioni kitu,nasema vp tena Hama ss tunataka Hayo maarifa Kaka

    ReplyDelete
  2. Tuhame tuu,tumechoka kusubiri Wallah

    ReplyDelete
  3. Angalia njia nzur kwako kisha utujuulishe
    Tupo pa1

    ReplyDelete
  4. Kaka hamisha contents kwenda Wordpress kama Google wanasumbua....nadhani itakua sehemu nzuri kwa sasa.

    ReplyDelete
  5. Ikoje hiyo hali broo
    Koz namna hii sisi wengi tumeshazoea so Fanya juu chini tusikupoteze.....

    ReplyDelete
  6. Ila hatutaki kukukosa Inshallah
    We Fanya uliwezalo ila ukihama hama na sisi wote.

    ReplyDelete
  7. kutengeneza app haiwezekani?

    ReplyDelete