Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Thursday, December 18, 2014

HATUKWENDA MWEZINI ... Pt 2



Laika ni mbwa wa kwanza kwenda mwezini kwa majaribio na alikufa baada ya masaa machache ya kuizunguka dunia nje ya anga lake kama ambavyo walivyokufa wanaanga wa Kirusi waliojaribu kufanya hivyo mpaka mwana anga mwingine wa Kirusi Yuri Alekseyevich Gagarian alipofanikiwa kutudanganya kuwa amefanikiwa kufanya hivyo mnamo mwaka 1961 baada ya kuruka katika upeo ambao ulikuwa ni salama, hakufika mwezini ila anahisabiwa kama binaadam wa kwanza kwenda kwenye anga (Space). Uwongo hata katika hilo anga hakufanikiwa kufika.

Thursday, December 11, 2014

HATUKWENDA MWEZINI ...

“Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka (uwezo wa kufanya hivyo).”
“Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?” Qur’an 55: 33-34

“Ukweli wowote ni rahisi kufahamika pale unapopatikana, nukta ya msingi ni kuupata” - Galileo Galilei



Mbio za angani katika zama ambazo binadamu ataikanyaga sayari nyingine nje ya orbit ya dunia, na tukio hilo litashuhudiwa na kusikilizwa na mamilioni ya watu. Lakini ni kweli binaadam amefika mwezini?