Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Tuesday, August 12, 2014

PICHA ZA UCHI KWENYE MTANDAO NI BOMU NDANI YA NDOA




Ili uweze kuielewa posti hii vyema ni lazima uwe imeshaisoma posti iliyotangulia yenye maudhi kama haya inayo kwenda kwa jina la http://salimmsangi.blogspot.com/2014/05/picha-za-uchi-na-tatizo-la-nguvu-za.html

“Nimekuwa nikitazama picha za uchi kwa kiasi kikubwa sana tangu nikiwa ‘teeneger’ na nimekuwa na tatizo la ED tangu miaka ya ishirini, lakini ni kwenye miaka ya thelathini ndiyo tatizo la ED limekuwa jinamizi. Nimekuwa nikiwalaumu wanawake au mwenza kwa kukosa mvuto, au nikisingizia hili na lile kuhusiana na afya yangu, chakula, uchovu, umri n.k. 



Lakini iliofikia wakati kwamba hata siwezi kupata nyege mshindo kwenye punyeto bila kutizama mtandao wa picha za uchi, kitu kikanigonga kwenye akili yangu..."



Imekuwa ni kawaida kwa mtumiaji mkubwa wa picha za uchi kushinda kuhusisha tatizo la ED na filamu hizo. Hii hapa ni hadithi nyingine ya mwaathirika wa picha za uchi.

“Nina miaka 24 na kwa miaka kadhaa nimekuwa nikipambana na tatizo la ED, na hivi karibuni tu ndiyo nimeweza kuona uhusiano baina ya tatizo langu na picha za uchi kwenye mitandao. Nilikuwa kwenye wakati mgumu kisaikolojia wakati nikijaribu kutafuta mzizi wa tatizo langu ni nini. Kilicho kuwa kikifanya suala kuwa gumu zaidi ni kwamba unafahamu lazima upate msisimko wa ngono unapokuwa na mwanamke pembeni yako, lakini kwa sababu ambazo huzijui ni kwamba hupati msisimko huo. Sasa unajaribu na kulazimisha kupata msisimko huo lakini unashindwa, na unaishia kupata majonzi, kudhalilika na kuaibika. Wataalam kiuhakika wanapaswa kulitazama jambo hili kwenye upande mwingine.”

Utashangaa kijana barubaru kabisa anatafuta dawa ya kuongeza nguvu za kiume, shida nini? Hakuna anayetaka kujua, muuza dawa anataka pesa, mgonjwa anataka dawa, kwisha hakuna anayetaka kufahamu zaidi. Lakini ukweli ni kwamba waathirika wengi wa tatizo hili ni watumiaji wa kubwa wa mitandao ya ngono, sababu wanapo acha kutizama filamu hizo kwa muda hata usio zidi mwezi mpaka miezi miwili hali ya ulijali wao kwenye tendo la ndoa unatengemaa na kupona kabisa bila kutumia dawa yeyote. Wengine hata ndani ya wiki mbili tu, mambo yanakuwa mazuri kabisa.


Unapokuwa unaendelea kutizama picha za uchi ni kwamba ubongo nao unabadilisha matumizi ya uume wako, ubongo sasa umepata mwongozo mpya kutoka kwenye picha za uchi kwamba ni wakati gani, katika hali gani ndiyo uruhusu uume wako kusimama, picha za uchi zinaupatia ubongo wako ‘katalogi’ mpya.
Mabadiliko yenyewe ni kama ifuatavyo ...

·      Alfajiri jogoo hawiki, ni kawaida kwa mwanaume lijali alfajiri akishtuka usingizini uume wako unakuwa umesimama imara hata wakati mwingine kumpa taabu.

·      Hupati msisimko wa ngono kwa kutizama picha ya uchi ileile kila wakati bali unahitaji tukio na staili mpya iliuwezea kupata msisimko haraka, hii ni dalili ya kuuwa teja kwenye picha hizo.

·      Unachelewa au unawahi sana kufika kileleni unapokuwa na mwenza wako.
·      Huwezi tena kusimamisha uume wako kwa muda mrefu unapokuwaa na mwenza wako.

·      Dawa za kuongeza nguvu za kiume nazo zinapoteza makali yake, zinakuwa hazileti tija yeyote ile, sababu tatizo lipo kwenye ubongo wako na siyo kwenye uume wako.

KWANINI BASI WATAALAM WA AFYA YA UZAZI HAWASEMI CHOCHOTE JUU YA HILI?



Hii ni kwa sababu mitandao ya picha za uchi za video na ambazo ni bure kabisa kuzipata limekuwa ni jambo jipya na geni kwa jamii yetu.
 Pia inachukua muda kidogo kwa ED kuanza kuonekana. Watu tunatofautiana sana, lakini kwa vile kila siku maelfu kwa mamilioni ya mitandao hiyo inafunguliwa na picha zake kutiririshwa na ukijumlisha na wepesi wa upatikanaji wake, sasa inachukua miaka michache tu kwa mtu kuwa na ED.

Mtumiaji pia anakuwa hafahamu kwamba kila anapotizama picha hizo ni kwamba anazama zaidi na zaidi kwenye kaburi analojichimbia mwenyewe, sababu kila wakati atahitaji kitu kipya kwenye filamu hizo na ndivyo ubongo wake unavyo zidi kuathirika.


Waathirika hawazungumzii kabisa kuhusiana na tatizo hili, isipokuwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume imekuwa ndiyo habari ya mjini. Hata kidogo haigongi kwenye vichwa vyao kwamba utumiaji wa mitandao ya ngono ndiyo mzizi wa tatizo lenyewe.

Matangazo ya mara kwa mara juu ya dawa za kuongeza au kutibu tatizo la nguvu za kiume, yamejenga taswira kwamba ED ni jambo la kawaida kabisa. Lakini kabla mambo ya mitandao hayajaanza, ilikuwa ni vigumu kulikuta tatizo hili kwa mtu wenye chini ya miaka 40.

Ukitaka kujua ni namna gani picha za uchi kwenye mitandao zinaweza kubadilisha bongo zetu, tizama upande mwingine wa shilingi namna ambavyo vyakula vya kisasa, uchezaji kamari wa kupindukia, michezo ya video yanavyo badilisha ubongo na kumfanya muhusika kuwa ni teja kwenye vitu hivyo.

Carlo Foresta, profesa wa University of Padua, anakadiria kuwa asilimia  sabini ya vijana alikuwa akiwatibu ED, tatizo lao lilitokana na matumizi ya picha za uchi kwenye mitandao.
Mwana saikriatisti Norman Doidge kwenye kitabu chake cha ‘The Brain That Changes Itself’, amesema, 


1.          Hali ya kuwa teja kwa picha za uchi za mitandaoni ni kweli kabisa.
2.        Kutizama picha za uchi kwenye mitandao kunaweza kusababisha ED. Anasema,

“Nimewachunguza na hatimaye kuwatibu idadi kubwa ya wanaume wenye hadithi zinazofanana. Wanazungumza kuhusu kuzidi kushindwa kupata msisimko wa ngono wakiwa na wenza wao, ingawa wanawaona kuwa wenza hao wanawavutia ... badala ya kufurahia tendo la ngono na wenza wao inabidi wahangaike kuilazimisha akili zao kwa kujifikirisha kwamba anacho fanya ni sehemu fulani ya ‘scene’ ya filamu ya uchi aliyotizama ili aweze kupata msisimko ..."

Tatizo halipo kwenye uume wako, halipo kwenye uchovu, wala siyo woga wa tendo lenyewe, wala siyo mishipa yako kusafirisha damu, tatizo lipo kwenye ubongo wako kutokana na katalogi mpya uliyo pokea kutoka kwenye mitandao ya ngono, jipatie muda wa wiki tatu mpaka mwezi bila kupiga punyeto, bila kutizama picha za uchi kwenye mitandao, kisha jisikie huru kurusha maoni yako juu ya kile utakacho kiona baada ya muda ...


Till Next time tutaendelea na mada yetu ....

2 comments:

  1. shukran sana bro ivi hawa jamaa kwenye sports hawana mikono yao kama wapo embu tudodose kidogo kaka

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ninapo zungumzia kuhusu FREEMASON, ni kwamba nazungumzia sehemu ndogo sana kwenye mtandao mpana wa muunganiko wa asasi mbalimbali za siri, ni sawa na kusema kwamba nazungumzia kuhusu tafari kwenye jengo lililokamili.
      Hivyo basi ukiwatizama jamaa hawa kwa mapana yake utaona kwamba si suala la kuuliza ikiwa Wapo kwenye SPORTS. Hilo ni jibu, na kwenye sport umeenda mbali sana, wapo kwenye chakula unacho kula, kwenye fedha unayotumia kununulia hicho chakula, kwenye dawa unazo kunywa unapougua. LENGO LAO KUU NI KUITAWALA DUNIA NA KILA KILICHOMO, HIVYOCHOCHOTE AMBACHO KITAWAFIKISHA KWENYE LANGO LAO HILO, LAZIMA WAKITUMIE, WATAKITUMIA MOJA KWA MOJA AU KWA KUPITIA KWA... ILA NI LAZIMA WAWEKE MIKONO YAO HAPO.

      Delete