Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Thursday, July 18, 2013

SOMA LA NAMNA YA KUCHAPA MAONI YAKO KWENYE BLOGI HII


BLOGI HII INATUMIA KIFAA KINACHO FAHAMIKA KAMA ‘DISQUS’, UNAWEZA TEMBELEA UKURASA HUU KUJIFUNZA JUU YA KIFAA HICHI NA FAIDA ZAKE, http://community.disqus.com/


HIKI NI TOFAUTI KIDOGO NA VIFAA VINGINE VYA KUTOLEA MAONI KWENYE BLOGI NA MITANDAO MINGINE, KWA SABABU CHENYEWE KINASIMAMA KAMA MOJA YA MITANDAO YA JAMII.
JKWA VILE UTAKUWA UMESHATEMBELEA UKURASA HUO NILIO UTAJA HAPO JUU, SINA SABABU YA KUELEZEA FAIDA ZAKE, HIVYO MOJA KWA MOJA NITAKWENDA KWENYE ‘KNOW HOW’
UNAPOFIKA MWISHO WA POST ULIYO ICHAGUA KUSOMA, MATHALANI ULIKUWA UNASOMA POST HII, JE KANUMBA ALIWAHI KUWA NI FREEMASON?

MWISHO KABISA WA POSTI UTAKUTANA NA VITU HIVI, WEKA KASA YAKO KWENYE SEHEMU INAYO KUTAKA KUTOA MAONI ‘LEAVE A MASSAGE’..




 KIDIRISHA KILICHO ANDIKWA COMMENTS KITATANUKA ZAIDI NA KUONEKANA HIVI


CHAGUA AKAUNTI AMBAYO INGEPENDA KUITUMIA KUWASILISHIA MAONI YAKO KATI YA HIZO ZINAZO ONEKANA, KWA AJILI YA SOMO HILI MIMI NITACHAGUA AKAUNTI YANGU YA FACEBOOK, HIVYO NITABOFYA PALIPO NA NEMBO YA FACEBOOK, KIDIRISHA HICHI HAPA KITATOKEA NAMI NITAINGIA KWENYE AKAUNTI YANGU YA FACEBOOK,


BAADA YA HAPO KWENYE KIBOKSI CHA  ‘DISQUS’ CHA KUTOLEA MAONI KITABADILIKA NAMI NITAKUWA NAONEKANA PALE NA AKAUNTI YANGU TAYARI KABISA KUCHAPISHA MAONI YANGU KAMA HIVI

LAKINI HAPO NI KWA YULE AMBAYE TAYARI ANAYO AKAUNTI NDANI YA ‘DISQUS’, TUASHUMU HAUNA AKAUNTI NDANI YA DISQUS NA HIVYI NDIVYO ITAKAVYO KUWA


HAPA NITATUMIA KAUNTI YANGU YA GMAIL AMBAYO HAIJASAJILIWA NA ‘DISQUS’, KABLA SIJAKWENDA KWENYE KIBOKSI CHA KUTOA MAONI KWANZA INAIFUNGUA AKAUNTI YANGU HIYO KWENYE UKURASA MWINGINE, YAANI NA LOG IN KWENYE AKAUNTI YANGU YA GMAIL KABISA, KISHA NARUDI KWENYE KIBOKSI CHA KUTOA MAONI, NA NITAKAPO BOFYA KWENYE ALAMA YA ‘g’ HICHI NDICHO KITAKACHO TOKEA.


IKIWA HAUJAIFUNGUA AKAUNTI YAKO KATIKA UKURASA MWINGINE, HICHO HAPO JUU, NDICHO KITAKACHO ONEKANA.

LAKINI ENDAPO ULISHAIFUNGUA AKAUNTI YAKO KWENYE UKURASA MWINGINE, HICHI NDICHO UTAKACHO KIONA, MOJA KWA MOJA BOFYA KWENYE 'ACCEPT'


 KUMBUKA HUNA AKAUNTI NA DISQUS, HIVYO ITAKUTA UJISAJILI KAMA IFUATAVYO.



Utakacho fanya ni kuingiza PASSWORD yako kwa ajili ya akaunti ya ‘DISQUS’ na baada ya hapo utakuwa umemaliza, kidirisha hicho kitaondoka na utaona akaunti yako ndani ya kiboksi cha kutolea maoni cha DISQUS NA UTATOA MAONI YAKO KWA RAHA ZAKO.
UWANJA NI WAKO SASA .... TOA MAONI YAKO KUHUSIANA NA POST ZA BLOGI HII

5 comments:

  1. If you wish for to increase your familiarity just keep visiting this web site and be updated with the hottest information posted here.


    My blog post white board paint

    ReplyDelete
  2. I got this web page from my buddy who told me regarding this web page and now
    this time I am visiting this site and reading very informative posts at this time.


    Also visit my website :: gogol

    ReplyDelete
  3. You are so interesting! I do not think I have read through anything like this before.
    So nice to discover someone with some genuine thoughts on this topic.
    Really.. many thanks for starting this up.

    This site is one thing that's needed on the internet,
    someone with a little originality!

    Feel free to surf to my homepage ... ceratocone ()

    ReplyDelete
  4. Hi colleagues, its fantastic piece of writing regarding educationand completely explained, keep it up all the time.


    Take a look at my page - sbobet

    ReplyDelete
  5. First օff I would like to say wonderful blog! I had a quick question in which I'd like
    to ask if you don't mind. I was interеsted to know how you center yourself and clear your head
    pгioг to writing. I've had a tough time clearing my thoughtѕ in getting my ideas out.
    I truly do take pleasure in writing however it just seemѕ like tҺe first 10 to
    15 minutes are lost simply just trying to figurе out how to begin.
    Anʏ recommenɗations or tipѕ? Thanks!

    My page - temp2

    ReplyDelete