Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Wednesday, May 14, 2014

FREEMASON NA ALAMA ZA SIRI ZA MIKONO


Kama ambavyo tutakavyo ona Freemason na wenzao wanaabudu miungu wengi katika majina mengi tofauti, katika kutekeleza ibada hizo au kuonesha utii kwa miungu hao, maadui zetu wamechagua njia mbalimbali, alama mbalimbali zikiwemo hizi zinazo fanyizwa kwa kutumia viungo vya mwili.


Freemason wote wa YORK RITE, SCOTTISH RITE, SKULL & BONES, na katika kila asasi ya siri za kishetani kwenye mstari huu wa Illuminanti, wanayo aina fulani ya kusalimiana na aina fulani ya alama zinazo fanyizwa na mikono yao, alama hizo huwa na maana mahususi kwa wanachama.


Kwenye buku rejea la freemason (Masonic Encyclopedia) imeandikwa hivi,

“Mkono ni muhimu sana kwa freemason ... kwani sababu na lengo la kupokea utambulisho hufanya kwa mkono.”



MWANACHAMA KATIKA ROYAL ARCH AU SEVENTH DEGREE, UNAWEZA KUIKUZA HII PICHA NA KUSOMA KILE KILICHO ANDIKWA CHINI YAKE.

Alama hizi za kimasonia, ni lugha ya kimataifa baina yao, huizungumza baina yao na huelewana bila kujali utaifa wao. Manfred Adler, kwenye kitabu chake alicho kiita The Freemason and The Vatican, amesema kuwa ni kweli kabisa freemason wanawasiliana kokote ulimwenguni bila kikwazo cha mipaka baina ya nchi zao kwa kutumia alama mbalimbali. Amendika kwamba, kutokana na tafiti zilizofanywa na ‘United States Senate Committee’ ambayo ilikuwa ikiwachunguza CIA, amendikwa kwamba,

“Asilimia tisini ya taarifa za siri, zinatangazwa, zinapitishwa, zinatumwa kwa kupitia kwenye vyombo vya habari, kama vile magazeti, kwa msaada wa maneno yaliyofungwa kama code na picha”



Huyu jamaa natuambia kuwa kutokana na utafiti huo ni kwamba maadui zetu taarifa zao, hawazifichi kokote, wanazituma waziwazi kupitia kwenye vyombo vya habari, kupitia kwenye taarifa ya habari tunayo tizama, magazeti tunayo soma, taarifa tunazo soma, lakini hatuoni chochote, kwa vile lugha wanayo tumia, ni ngeni kwetu. Msomaji wa habari au mgeni kwenye kipindi fulani cha Luninga, anaweza kufanya kitu ambacho mtazamaji anaweza kudhani ni makosa, bahati mbaya au kioja, lakini walio kusudiwa wakaupata ujumbe wao vyema.

Moja ya filamu za kimasonia waigizaji wake wapo mbele ya Washington monument, ambao ni mnara wa kimasonia, wenye maana pana sana na ambao utaukuta katika kila mji mkubwa duniani ulioshikiliwa na freemason. 

ITAENDELEA ......

1 comment: