Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Wednesday, June 19, 2013

FREEMASON NA ALAMA ZA SIRI ZA MIKONO Pt. IV

“JACHIN”
MSHIKO WA UTAMBULISHO KWA MFUASI WA DARAJA LA PILI



Mwanamasonia atamshika mkono mwanamasonia mwenzake, kama watu wanavyo salimiana kawaida, na kisha atalibonyeza dole gumba lake kwa nguvu kwenye nakozi ya pili, na masonia mwenzake naye atafanya hivyohivyo dhidi yake.

Kisha maneno ambayo WM na SD walibadilishana awali yatafanyika mpaka kufikia kwenye hatua ya kutaja jina la mshiko huo, ambalo nalo litatajwa kwa herufi au kwa kuligawa mara mbili.



SD: A  
WM: J  
SD: C  
WM: H  
SD: I  
WM: N 

Kisha WM, ATASEMA MANENO HAYA KUMUAMBIA MWANAMASONIA ANAYE TARAJIWA KUINGIA DARAJA LA PILI, “JACHIN, NDUGU YANGU NDILO JINA LA LA MSHIKO HUU. NA LAZIMA SIKU ZOTE LITOLEWE AU KUTAMKWA KWA UTARATIBU HUU, KWA KULITAJA KWA HERUFI ZAKE AU KULIGAWA MARA MBILI, NA UNAPO LITAJA KWA HERUFI SIKU ZOTE KUMBUKA KUANZA NA HERUFI ‘A’.

ALAMA YA MKONO KATIKA DARAJA LA TATU (MASTER MASON DEGREE)


Wakati mwanachama anapo chukua kiapo kwa ajili ya kuingia daraja la tatu, mikono yake yote miwili anaweka juu ya kitabu cha imani ya dini yake, (Biblia, Quran n.k), lakini pia kunakuwepo na alama kuu za kimasonia, yaani Bikari na Kipima pembe ambavyo navyo mwanachama ataweka mkono juu yake.

ALAMA KWA MASTER MASON



Alama ya Master Mason inalenga kuonesha adhabu ambayo mwanachama ataipokea endapo atakwenda kinyume na miiko ya jumuiya katika daraja hilo. Anapoweka alama hiyo baada ya kuchukua kiapo, huwa anaamanisha au kutamaka maneno haya,

“Mwili wangu ukatwe vipande viwili sawasawa, utumbo wangu utolewe na kisha uchomwe moto mpaka uwe majivu ambayo yatawanywe kwenye kona nne za dunia”

Alama hii yenye kuashiria kiapo cha kutisha, hufanyizwa  kwa ishara ambapo mwanachama, hupitisha kiganja cha mkono wa kulia, kutoka kushoto kuja kulia na kwa kutumia dole gumba lake, kwa haraka sana, baina ya tumbo na kiuno chake.

TUBALCAIN

MSHIKO WA MASTER MASON



Mwanamasonia, atasalimiana kwa kushikana mikono na masonia mwenzake, kama salamu ya kawaida, kisha atapaswa kuweka dole gumba lake la mkono wa kulia, kwenye nafasi iliyopo baina ya nakozi ya pili na ya tatu, na atabonyeza kwa nguvu kwa kutumia dole gumba lake katika huo uwazi, na masoni mwenzake naye atafanya hivyohivyo.

KUMBUKA KATIKA HATUA ZOTE HIZO, KUTOKA KWA MWANACHAMA MTARAJIWA, MPAKA MWANACHAMA ATAKAPO KUWA ANAPANDA DARAJA MOJA BAADA YA JINGINE, MWANACHAMA HATOKUWA AKIFANYA HIZO ‘HANDSHAKE’ BALI WM na SD, NDIYO WATAKAO KUWA WAKIFANYA KWA MAANA YA KUMUELEKEZA, MTARAJIWA WAO NINI CHA KUFANYA, ANAPO ATAKIWA KUFANYA HICHO CHA KUFANYA, KATIKA WAKATI MAALUM, SEHEMU MAALUM NA MTU MAALUM.
HIVYO BASI, MAJIBIZANO KAMA YALIYO TANGULIA AWALI, BAINA YA WM na SD, YATAENDELEA NA KUFIKIA HATUA YA KUTAJA JINA LA AINA HIYO YA ‘HANDSHAKE’ NALO LITATOLEWA KWA KANUNI ILE ILE, KWA HERUFI AU KULIGAWA NUSU KWA NUSU.

SD: Tu 
WM: bal 
SD: cain 


KISHA BAADA YA HAPO WM atamgeukia mtarajiwa na kumuambia hivi “TUBALCAIN, NDUGU YANGU, NDIYO JINA LA MSHIKO HUU, (HANDSHAKE)

WANAO FANYIA KAZI 'HANDSHAKE' ZA KIMASONIA KATIKA KAZI ZAO ZA KILA SIKU ... WATU WA KWELI .... WATU WENYE MAJINA MAKUBWA... WATU WENYE MAJUKUMU MAKUBWA KITAIFA NA KIMATAIFA ... WATU WA 'WATU' .....


KUTOKA TEHRAN MPAKA CNN .... HATUACHI UTAMADUNI WETU ...

WAKUBWA WA DUNIA ...

VIONGOZI WA KIDINI ....

MUGABE NA WALE ANAO WAITA NI MAADUI ZAKE ....

OBAMA ENZI HIZOOOOO ....

No comments:

Post a Comment