Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Monday, June 17, 2013

FREEMASON NA ALAMA ZA SIRI ZA MIKONO Pt. III


TUENDELEE NA SEHEMU YA TATU ....

Katika daraja la pili, maarufu kama FELLOW CRAFT DEGREE
 (Second Degree in the Blue Lodge)

DUEGARD OF THE FELLOW CRAFT

Mwanachama wa kimasinia anapo ingizwa au kupandishwa katika daraja hili, hufanya au husimama katika hali ambayo tunaiyona hapo juu katika picha.
“Mkono wangu wa kulia upo kwenye biblia takatifu, bikari na kompasi, mkono wangu wa kushoto unatengeneza engo




Alama inayo fanyizwa kama kiapo, mfuasi anapo ingia daraja la pili la umasonia. Alama hiyo hufanyizwa kwa kuupitisha mkono wa kulia juu ya kifua, upande wa titi la kushoto,mkono huo unapitishwa haraka na kishwa muhusika hurejesha mkono wake kama askari aliyesimama sawa kwenye gwaride.
 Maana ya lama hiyo ni nini basi?
“Kifua changu kipasuliwe, upande wa kushoto, moyo wangu uchomolewe, na upewe kwa wanyama na ndege wa porini”

Hii ni kama mwanachama atakwenda kinyume na miiko ya kuingia kwenye daraja hilo.
Katika daraja hilo ipo namna ya kusalimiana na kushikana mikono iliyo tofauti kidogo na ile ya daraja lililo tangulia. Hii inaitwa SHIBBOLETH 



Kwa haraka kuitizama alama hii ya kushikana mkono utaona haina tofauti sana na ile ya BOAZ, LAKINI HAPA WANACHAMA HUSHIKANA MKONO KAMA KAWAIDA WANAVYO SHIKANA  WATU WENGINE, KISHA KILA MMOJA HUWEKA DOLE GUMBA LAKE BAINA YA NAFASI ILIYOPO KWENYE NAKOZI MBILI, NAKOZI YA KIDOLE CHA SHAHADA NA NAKOZI YA KIDOLE KINACHOFUATA.

Kisha baada ya hapo mwanachama huoneshwa aina hiyo ya mshiko na WM, kama alivyo oneshwa katika hatua ya awali kwenye BOAZ, na jina la mshiko huo hutamkwa kwa namna kama ile iliyo tumika kutamka BOAZ, ispokuwa hapa jina hugawanywa mara tatu, yaani 

SD:  Shib
WM:  bo
SD:  leth

Mwanachama ataambiwa kuwa hivyo ndivyo anavyo paswa kulitamka jina la mshiko huo endapo itampasa kulitamka, lazima ligawanywe mara tatu.


 SHIBBOLETH IKIFANYIWA KAZI NA VIONGOZI WETU




... ITAENDELEA ...

No comments:

Post a Comment