Saturday, April 7, 2018

KUBAKI AU KUHAMA?

GUYS NIMEKUWA KIMYA MUDA KIDOGO, KUTOKANA NA HITILAFU ZA KIUFUNDI, HASA 'SECURITY' ESSUE ZA KIMTANDAO KWENYE BLOGGER YANGU, NA NAONA GOOGLE HAWANA USHIRIKIANO KABISA KWENYE HILI.

NAFIKIRIA KUHAMIA PLATFORM NYINGINE, LAKINI KWANZA NIKAONA NI VYEMA KUWASHIRIKISHA WADAU WANGU.

UWANJA NI WENU KWA MICHANGO NA MAONI .....

7 comments:

  1. Assalaaam alaykum warahmatu llaaah wabarakaatuh,hebu Hama maana kila siku nachungulia sioni kitu,nasema vp tena Hama ss tunataka Hayo maarifa Kaka

    ReplyDelete
  2. Tuhame tuu,tumechoka kusubiri Wallah

    ReplyDelete
  3. Angalia njia nzur kwako kisha utujuulishe
    Tupo pa1

    ReplyDelete
  4. Kaka hamisha contents kwenda Wordpress kama Google wanasumbua....nadhani itakua sehemu nzuri kwa sasa.

    ReplyDelete
  5. Ikoje hiyo hali broo
    Koz namna hii sisi wengi tumeshazoea so Fanya juu chini tusikupoteze.....

    ReplyDelete
  6. Ila hatutaki kukukosa Inshallah
    We Fanya uliwezalo ila ukihama hama na sisi wote.

    ReplyDelete
  7. kutengeneza app haiwezekani?

    ReplyDelete