Wadau!
Kweli mambo ni mengi, nilikuwa nataka kuiweka
ubaoni posti inayo kwenda kwa jina la “Mfalme Obama kurithiwa na Malkia Hillary”
Lakini kwenye kumbukumbu zangu nilishawahi
kuandika posti ya ‘Mfalme Obama’ ambayo nilihitaji kuitaja kama reference
kwenye posti hii mpya, kilicho ni shangaza ni kuwa posti hiyo sikuibandika
hapa, nikapitia posti zote nilizo bandika sijaiyona.
Sasa itabidi niahirishe posti ya ‘Mfalme Obama
kurithiwa na Malkia Hillary” ili niibandike kwanza hii ya ‘Mfalme Obama’,
sababu hii inatoa picha nzuri na nafasi nzuri ya kuelewa namna gani mrithi
anayefuata ni Hillary na siyo Trump.
Lakini kama posti hii nilishaiweka kwa jina
jingine tafadhali nikumbusheni nami nitaitoa mara moja na kuiweka hii niliyo
isubirisha, otherwise keep enjoy and being educated at the same time with this
blog!!!
Kikaragosi kikimuonesha Obama mithili ya mtawala wa iliyo kuwa Dola ya Roma.
“Serikali zinahitaji kuwa na hawa watu
wawili, wachungaji na wachinjaji”
Voltaire mwanafalsafa wa kifaransa
(1694 – 1778)
“Nenda, kwani wanakuita wewe, u mchungaji,
kutoka mlimani”
Documentary hii inazungumzia Obama na uwakilishi wake wa Illuminant.
Nenda Obama kwani, wanakuita wewe, u mchungaji kutoka Kenya.
Wanamuita Barack Obama, tulichoambiwa baba yake ni mtu mwenye asili ya
Afrika kutoka Kenya, hayasemwi mengi kuhusu mama yake, labda kwa vile hakuna
anaye hoji, na huenda pia hakuna sababu ya kuhoji kuwa ‘muokozi’ wetu katoka
wapi, tunacho paswa kufanya na kufuata tu kama ambavyo kundi la kondoo linavyo
mfuata mchungaji wake, hata kama mbwa mwitu atamuuwa mchungaji na kuvaa nguo za
mchungaji kondoo wataendelea kumfuata tu, kwani kazi yao ni kufuata.
Huyu ndiye mteule wa Babylon Brother Hood, huyu ndiye mpakwa mafuta ambaye Illuminant wamemteua na kumpaka mafuta, huyu ndiye mpakwa mafuta wa nyumba ileee ... ya ... freemasonry, Barack Obama.
Viongozi wetu wa kisiasa ni mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo.
Huyu ndiye mteule wa Babylon Brother Hood, huyu ndiye mpakwa mafuta ambaye Illuminant wamemteua na kumpaka mafuta, huyu ndiye mpakwa mafuta wa nyumba ileee ... ya ... freemasonry, Barack Obama.
Yes!Tumeliwa.
Safari hii wanasemaje? Tuna kijana anaitwa Obama, kijana mweusi kutoka
Afrika Mashariki, Kenya. We! Utachekwa. Muulize aliyekuwa makamu wa raisi Dick
Cheney atakuambia Obama ni nani, mbele ya macho ya wapiga kura watu hawa wawili
aliyekuwa makamu wa rais Dick Cheney na raisi wa Marekani wa sasa kwa tiketi ya
Democratic, Barack Obama wanamitizamo tofauti yenye mawazo na nadharia zinazo
pingana, lakini nyuma ya mapazia jamaa hawa ni ndugu wanashirikiana babu mmoja.
Mke wa Cheney alipokuwa anahojiwa na MSNBC alisema kuwa wakati anafanya utafiti wa kukusanya taarifa mbalimbali juu ya kitabu chake kipya anacho kiandaa kinachokwenda kwa jina la ‘Blue Skies, No Fences’ amegundua kuwa mume wake na kijana wa Democratic wanashirikiana babu wa vizazi nane vilivyopita. Anasema mwana mama huyo,[1]
Kila mtu alimuona yeyey ni mfano wa Messiah
Mke wa Cheney alipokuwa anahojiwa na MSNBC alisema kuwa wakati anafanya utafiti wa kukusanya taarifa mbalimbali juu ya kitabu chake kipya anacho kiandaa kinachokwenda kwa jina la ‘Blue Skies, No Fences’ amegundua kuwa mume wake na kijana wa Democratic wanashirikiana babu wa vizazi nane vilivyopita. Anasema mwana mama huyo,[1]
“Hii ni hadithi ya ajabu kwa wa-Marekani
kwamba babu mmoja, mtu anayetokea Maryland anaweza kuwa ndiyo sababu wa mkondo
wa familia ambayo imechukua njia tofauti kama familia ya Dick na Obama”.[2]
Lakini mtu huyu mweusi anayo undugu wa damu na mtu mweupe na mmoja wa viongozi mashuhuri kwenye serikali za Marekani.
Obama na Cheney wanauhusiano kupitia
kwa Mareen na Duvall waliyehamia kutoka Ufaransa mnamo karne ya 17. Lakini kijana
huyu anayetajwa kama mtu mweusi haishii hapo kwa Cheney peke yake, Obama ni ami
(mtoto wa mjomba/shangazi) wa 11 wa rais aliye muachia kiti hicho, W. Bush,
wanarithishana wapendavyo. Bush na Obama wanashirikiana ndugu walio ishi
Massachusetts karne ya 17, mababu na bibi hao
wakubwa ni Samuel Hinckley na Sarah Soole,[3] kwa hiyo kama ilivyo damu ya Bush na ya Obama nayo inarudi mpaka kwa Malkia wa Uingereza naye anaibeba mpaka kwa Firauni wa misri, naye anairudisha nyuma mpaka katika Babylon ya kale. Obama ni kijana mwingine anayekuja kuipigisha hatua ajenda kubwa kuliko.
Ni kama mtu yule yule, toka Bush mpaka Obama, au wewe kuna tofauti uliyo ona?
wakubwa ni Samuel Hinckley na Sarah Soole,[3] kwa hiyo kama ilivyo damu ya Bush na ya Obama nayo inarudi mpaka kwa Malkia wa Uingereza naye anaibeba mpaka kwa Firauni wa misri, naye anairudisha nyuma mpaka katika Babylon ya kale. Obama ni kijana mwingine anayekuja kuipigisha hatua ajenda kubwa kuliko.
Tizama Hapo Bush na watu ambao anayo husiana nao kwa damu, imeitwa demokrasia lakini ukweli systeam ni ile ile ya kifalme, lazima uwe na damu hiyo ndiyo unakuwa rais, na siyo kura ndiyo inakuchagua.
Uchunguzi uliofanywa kwenye kitengo maalum cha kuchambua koo za familia na
mahusiano yao kidamu kinachoitwa The New England Historic Genealogic Society
kilikuja na hadithi ile ile pale kilipo zichunguza familia za waliokuwa
wagombea watatu kwenye kinyang’anyiro cha kiti cha urais cha Marekani.
Uchunguzi huo unatuonesha kuwa Obama si kwamba ana undugu na Bush peke yake na
aliyekuwa makamu wake wa rais lakini pia undugu wake unaungana na aliyekuwa
waziri mkuu wa Uingereza Winston Churchill.[4]
Kakuambia nani kuwa anatoka Kenya? Wajinga ndiyo waliwao, tizama ndugu zake, unaona mtu mweusi hapo? Acha hizo wewe unaibiwa ...
Uchunguzi huo pia unamuonganisha aliyekuwa mgombea mwenza wa Obama, Hillary
Clinton na muimbaji maarufu wa muziki wa pop Madonna ambaye naye kafanya kazi
nzuri za kimasonia kwenye nyimbo zake nyingi. Wakati huo huo Obama na mcheza
filamu maarufu wa Hollywood, Brad Pitt wanashea mjomba mmoja aliyekufa mwaka
1769. Brad Pitt naye anatumiwa vizuri na Freemason katika kazi zake mbalimbali
za filam, wakati huo huo rafiki wa kike wa Pitt ambaye naye ni mcheza filamu
Angelina Jolie anahusiana na mjomba wa
tisa wa Hillary Clinton ambaye alifariki mwaka 1718.
Kila kitu kinafuata mtandao kama alivyosema mwana masonia mwingine Bill Gates, kama tulivyoona watu hawa hawaowani kiholela. John McCain yeye na aliyekuwa mke wa raisi aliyemaliza muda wake Laura Bush wanashea mjomba mmoja, mmjomba wa sita kwenye mkondo wa ukoo huo.[5]
wa Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, hii ni dugu moja bhanah!
Kila kitu kinafuata mtandao kama alivyosema mwana masonia mwingine Bill Gates, kama tulivyoona watu hawa hawaowani kiholela. John McCain yeye na aliyekuwa mke wa raisi aliyemaliza muda wake Laura Bush wanashea mjomba mmoja, mmjomba wa sita kwenye mkondo wa ukoo huo.[5]
wa Wanaowana wao kwa wao, madaraka wao kwa wao, umaarufu wao kwa wao, kamuulize Princess Diana nini kimpata alipo taka kuleta mtu baki ndani ya nyumba. Chezea damu ya wafalme wewe!
Mchunguzi wa familia hizi bwana Christopher Child, anasema kuwa Obama
anauhusiano pia na walio kuwa marais wa Marekani kama George H. W Bush, Gerald
Ford, Lyndon Johson, Harry Truman na
aliyekuwa kamanda wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Marekani
Robert Lee.[6]
Hillary kwa upande wa mama yake yeye ni Mfaransa mwenye asili ya Canada,
ambapo anaunganishwa na waimbaji wengine wawili Celine Dion na Aanis
Morissette. Wakati Obama mama yake ni mtu mweupe kutoka Kansas. [7]
wa Wale wale, viongozi wale wale, ndugu wale wale, kwenye majukaa ya siasa wanatuchangana, wakiwa private wanapeana ma-hug kwa sana.
Muandishi wa habari ambaye ni mchanguzi na mtafiti bwana Wayne Madsen kwa
kupitia vyanzo mbalimbali vya CIA ameweza kugundua uhusiano baina ya CIA na
watu muhimu katika maisha ya Barack Obama na mama yake, baba yake, bibi yake na
baba wake wa kambo.
Tukianza na 'baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na muungano wa Sovieti usiingie Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Kennedy Foundation ilikuwa ikitoa pesa walizo ziita za ‘msaada’ kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi kutoka nchi za Afrika. September 12, mwaka 1960 Shirika la habari la Reuters kutoka London liliripoti kuwa mango unao itwa airlift ambapo fedha za Kennedy Foundation kwa ajili ya kuwasomesha watoto wa kiafrika Ulaya na Amerika si chochote bali ni mpango wa CIA kwa ajili ya kutoa mafunzo na kuwaanda vijana wa baadae wa kiafrika watakao tumika kwenye mapambano ya kisiasa dhidi ya China na Umoja wa Kisovieti kuzuia ushawishi wa kikomunisti kulimeza bara la Afrika.[8]
wa Kweli huyu anafanana na Obama kweli? Hebu angalia hiyo picha vizuri, kusoma uwe hujui na kuangalia picha pia?
Tukianza na 'baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na muungano wa Sovieti usiingie Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Kennedy Foundation ilikuwa ikitoa pesa walizo ziita za ‘msaada’ kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi kutoka nchi za Afrika. September 12, mwaka 1960 Shirika la habari la Reuters kutoka London liliripoti kuwa mango unao itwa airlift ambapo fedha za Kennedy Foundation kwa ajili ya kuwasomesha watoto wa kiafrika Ulaya na Amerika si chochote bali ni mpango wa CIA kwa ajili ya kutoa mafunzo na kuwaanda vijana wa baadae wa kiafrika watakao tumika kwenye mapambano ya kisiasa dhidi ya China na Umoja wa Kisovieti kuzuia ushawishi wa kikomunisti kulimeza bara la Afrika.[8]
Simuoni Obama hapo hata kidogo, sijui wewe mwenzangu?
Kinara na kibaraka wa Marekani hapa Afrika Mashariki katika mpango huu wa
Airlift alikuwa ni bwana Tom Mboya ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha
TANU. Mboya alimchagua Baba yake na Obama kuwa kwa ajili ya kupata scholarship
katika chuo cha Hawaii nchini Marekani ambapo huko ndiko alipokutana na mzazi
mwenzake kwa Obama Dunham.
Tom Mboya alipokea dola za Marekani 100,000 kama msaada kwa ajili ya Airlift kutoka kwenye Kennedy Foundation na hii ni baada ya kukataa kiasi kama hicho kutoka US State Department na hii ni kwasababu fedha hizo ambazo zingeonekana zinatoka moja kwa moja kwenye serikali ya Marekani zingewaamsha walio lala kuwa Mboya ni kabaraka na ajenti wa CIA nchini Kenya lakini hizi za Kennedy Foundation ni wachache wangejua kuwa ni fedha kutoka kwenye mfuko mwingine wa suruali moja.[9]
Jina kubwa ndani ya Kenya mpaka Marekani. Tom Mboya.
Tom Mboya alipokea dola za Marekani 100,000 kama msaada kwa ajili ya Airlift kutoka kwenye Kennedy Foundation na hii ni baada ya kukataa kiasi kama hicho kutoka US State Department na hii ni kwasababu fedha hizo ambazo zingeonekana zinatoka moja kwa moja kwenye serikali ya Marekani zingewaamsha walio lala kuwa Mboya ni kabaraka na ajenti wa CIA nchini Kenya lakini hizi za Kennedy Foundation ni wachache wangejua kuwa ni fedha kutoka kwenye mfuko mwingine wa suruali moja.[9]
Mboya akiwa na Kennedy, alitumiwa vizuri wakati wa utawala huo kuhakikisha viongozi wa Afrika hawajiungi na ukomonisti, divide and rule kama kawaida.
Airlift iliyoandaliwa na kupangiliwa na Mboya mnamo mwaka 1959 ilijumuisha
wanafunzi kutoka Kenya, Uganda,Tanganyika, Zanzibar, Northern Rhodesia,
Southern Rhodesia na Nyasaland. Baba yake na Obama hakuwa ni miongoni mwa
wanafunzi wa mwanzo kudhaminiwa na Kennedy Foundation kupitia mpango wa Airlift
ila ni miongoni mwa waliofuata baada ya hapo.[10]
Ushawishi wa Tom Mboya ulikuwa mkubwa sana, hapa yupo na mzee Kenyatta.
Kazi ya Mboya na wenzake ni kuhakikisha kuwa wanafunzi, vijana na viongozi
wengine wa kiserikali ni vyama vya siasa hawajiungi na siasa za mrengo wa
kushoto, siasa za ukomunisti. Hivyo Mboya alikuwa ni mtu mhimu sana kwa CIA.
Katika mkutano wa mara ya pili uliofahamika kama All-African People’s
Conference (AAPC) uliofanyika Tunisia Mboya alitumika kama tochi ya kuwamulika
viongozi wote waliohudhuria kuona misimamo yao ya kisiasa na ikiwa kama ni
wafuasi wa siasa za mrengo wa kushoto.
Katika mkutano huo kwenye ripoti ya CIA inaeleza kuwa palitokea msuguano na kutokuelewana kukali baina ya waziri mkuu wa Ghana Kwame Nkurumah na Tom Mboya. Mkutano wa mwanzo pia wa AAPC inadai ripoti hiyo kuwa Tom Mboya aliifanya kazi yake vyema ya kuwamulika viongozi hao na kupeleka ripoti kwa wakubwa zake.
Ni katika mkutano wa kwanza Mboya ndipo alimchagua baba yake na Obama kwenda kupata scholarship kupitia Kennedy foundation kwenye kivuli cha Airlift. Hivyo baba yake na Obama alikuwa akiaandaliwa kuwa ajenti wa CIA kwa ajili ya kufanya kazi sawa na ya Mboya.[11]
wa Tom Mboya ndiye aliyemuonganisha mtu ambaye anatajwa kama baba yake Obama kwenye mtandao wa kuwaandaa vijana wa Afrika kufuata maono ya Magharibi.
Katika mkutano huo kwenye ripoti ya CIA inaeleza kuwa palitokea msuguano na kutokuelewana kukali baina ya waziri mkuu wa Ghana Kwame Nkurumah na Tom Mboya. Mkutano wa mwanzo pia wa AAPC inadai ripoti hiyo kuwa Tom Mboya aliifanya kazi yake vyema ya kuwamulika viongozi hao na kupeleka ripoti kwa wakubwa zake.
Wote watatu vifo vyao vinasemwa kuwa na mkono wa mtu nyuma yake.
Ni katika mkutano wa kwanza Mboya ndipo alimchagua baba yake na Obama kwenda kupata scholarship kupitia Kennedy foundation kwenye kivuli cha Airlift. Hivyo baba yake na Obama alikuwa akiaandaliwa kuwa ajenti wa CIA kwa ajili ya kufanya kazi sawa na ya Mboya.[11]
wa Bado namtafuta Obama kwenye picha za huyu mtu lakini simuoni.
Nkurumah alikuja kupinduliwa mwaka 1966 kwa msaada wa CIA na vijana wake
iliyo waandaa kupitia mpango wa Airlift hapana shaka vijana wa Tom Mboya
nikimaanisha Obama Sr. walikuwa na mkono kwenye kazi hii.
Mwaka mmoja baadae mapinduzi mengine yalifanyika Indonesia ya kumpindua Sukarno kwa msaada wa CIA. Je unamjua mmoja
wa waliohusishwa na mapinduzi hayo? Ni Ann Dunham, mama yake na rais Obama.[12]
Yes! Mama na mwana
Inasemekana Mboya aliuwawa mwaka 1969 na maajenti wa kichina ambao walikuwa
wakishirikiana na serikali ya Kenya kuondoa ushawishi wa Marekani nchini humo.
Baada ya kifo cha Mboya kila ubalozi jijini Nairobi ulipeperusha bendera yake
nusu mlingoti ispokuwa ubalozi wa China. Ushawishi wa Mboya kwenye serikali ya
Kenya uliendelea muda mrefu hata baada ya kifo chake na hasa muda ambao Obama Sr. akiwa hai.[13]
wa Kutoka Kenya mpaka kwenye Time, back then, it wasnt easy, your connection must be profound.
Dunham mama yake na Obama aliacha masomo katika chuo kikuu cha Huwaii mnamo mwaka 1960 wakati
akiwa ni mjamzito wa mimba ya Barack Obama. Baba yake an Obama aliondoka Huwaii
mwaka 1962 na kwenda kusoma Havard. Dunaham na Baba wa Obama walitalikiana
mwaka 1964. Mwishoni mwa mwaka 1961 Dunham alirejea masomoni katika Chuo cha
Washington akiwa na mtoto mchanga aliyeitwa Barack Obama.
Mwaka 1963 mpaka mwaka 1966 Dunham alirudi tena katika chuo cha Hawaii. Mwaka 1965 Dunhama aliolewa na Lolo Soetoro ambaye akawa ni baba wa kambo kwa Obama. Soetoro aliondoka na kuelekea Indonesia mnamo July 20, mwaka 1965 kama miezi mitatu hivi kabla ya uasi uliosimamiwa na CIA dhidi ya Surkano kufanyika. Ni wazi kuwa Soetoro aliitwa Indonesia na CIA kwa ajili ya kusaidia uwasi huo dhidi ya Sukarno ambao uligharimu maisha ya watu milioni moja wa Indonosia.[14]
Obama akiwa na Baba mwingine, ambaye naye kama alivyo mama yake, alifanya kazi na CIA
Mwaka 1963 mpaka mwaka 1966 Dunham alirudi tena katika chuo cha Hawaii. Mwaka 1965 Dunhama aliolewa na Lolo Soetoro ambaye akawa ni baba wa kambo kwa Obama. Soetoro aliondoka na kuelekea Indonesia mnamo July 20, mwaka 1965 kama miezi mitatu hivi kabla ya uasi uliosimamiwa na CIA dhidi ya Surkano kufanyika. Ni wazi kuwa Soetoro aliitwa Indonesia na CIA kwa ajili ya kusaidia uwasi huo dhidi ya Sukarno ambao uligharimu maisha ya watu milioni moja wa Indonosia.[14]
Kifaa kinaandaliwa.
Tuweke pose hapa kidogo.
Namaanisha serious pozi.
Obama Sr. anatajwa kama ndiye baba yake na Obama, LAKINI kwa herufi KUBWA, kuna ambaye anaye tajwa kama ndiye hasa baba yake na Obama na siyo Obama Sr.
Mama yake na Obama, Ann alipokuwa na miaka 17 alikuwa ni mfuasi wa sera za
kimaksi (Marxism) na ndivyo alivyo kuwa baba yake mzazi pia. Kipindi hicho
alikuwa ni rafiki na mtu aliyeitwa Frank Marshall Davis, mwanamama Ann akawa
ana mahusiano ya kingono na wanaume wawili, yaani Frank Marshall Davis na Obama
Sr. Katika kipindi cha mahusiano na wanaume hawa wawili ndipo alipo pata
ujauzito wa Barck Obama.
Lakini unapo mtizama Obama Sr. Na Obama Jr. Huoni hata kwa mbali kwamba
wanafanana au kuhusiana kwa lolote, lakini ukimtazama Barack Jr. Na Frank M
Davis, pumzi zitakuishia, ni copy right ya mwenzake.
Mwaka 1967 Dunham alielekea Indonesia akiwa na Obama, kipindi hicho alianza kufundisha some la kingereza kwenye ubalozi wa Marekani Jakarta ambapo pia ilikuwa ni eneo lenye vituo vikubwa vya CIA. Mama yake na Obama alikuwa akifundisha somo la kingereza kwa ajili ya USAID ambayo nayo ni moja ya taasisi zinazotumiwa na CIA kama kivuli cha kufunikia kazi zao mbalimbali katika nchi tofauti tofauti.
USAID ndani ya Indonesia ilikuwa ni kivulicha shughuli za CIA. Dunham pia alikuwa akifanya kazi na mashirika ya Ford Foundation, World Bank, Asian Development Bank, Asian Development Bank, Bank Rakyat.[15]
Namaanisha serious pozi.
Now Your Talking. Haihitaji gazeti, picha inatosha.
Kama huyaamini macho yako, basi iko shida kubwa. Mwenye macho haambiwi tazama, jamani ni yupi baba wa Obama kati ta Barack Obama na Frank Davis?
wa Picha hizi zimechangwanya, lakini picha ya kwanza Juu kushoto ni picha halisi ya Obama aka Obama II, na picha ya Chini mwisho kulia ni picha halisi ya Frank Davis. niambie inahitaji tarumbeta na safari za kwenda kwa bibi Kenya kuthibitisha Davis ndiyo baba wa Obama?
Ann akasema ujauzito huo ni wa Mkenya mfuasi wa Makzist ndiye aliyempatia
ujauzito huo, na ambaye jina lake ni Barck Obama au Barack Sr.
Kwanini basi Obama na wale wote wanao ujua huu ukweli waliamua kunyamaza juu ya hili na kumsingizia Mkenya kuwa yeye ndiye Baba?
Wanasema mtoto wa kukataliwa anakopi kila kitu, ndivyo alivyo fanya Obama kwa Davis. Chako chako tu, hata ukatae vipi. Tizama pua ya Davis na Obama, tizama midomo yao, tizama masikio, tizama bapa la uso na kope za macho yao, linganisha vitu hivyo na huyo jamaa wa Kenya! Kha!
Naweza kuendelea zaidi na zaidi juu ya baba yake Obama kuwa siyo Obama Sr. Bali
ni Frank M. Davis, lakini hiyo siyo mada kuu, kwa kukusaidia pitia kumbukumbu
hizi, tafuta kitabu kilicho andikwa na David Maraniss
kinacho kwenda kwa jina la Barack Obama: The Story, tembele wovuti huu
https://politicalvelcraft.org/2013/04/06/obama-hitler-from-no-where-thats-how-rothschild-likes-it/
na pia tazama video hii.
na pia tazama video hii.
Mwaka 1967 Dunham alielekea Indonesia akiwa na Obama, kipindi hicho alianza kufundisha some la kingereza kwenye ubalozi wa Marekani Jakarta ambapo pia ilikuwa ni eneo lenye vituo vikubwa vya CIA. Mama yake na Obama alikuwa akifundisha somo la kingereza kwa ajili ya USAID ambayo nayo ni moja ya taasisi zinazotumiwa na CIA kama kivuli cha kufunikia kazi zao mbalimbali katika nchi tofauti tofauti.
Mama yake Obama akiwa na wazazi wake.
USAID ndani ya Indonesia ilikuwa ni kivulicha shughuli za CIA. Dunham pia alikuwa akifanya kazi na mashirika ya Ford Foundation, World Bank, Asian Development Bank, Asian Development Bank, Bank Rakyat.[15]
Mwaka 1971 USAID ilitoa fungu kwenye kile kilicho fahamika kama ‘Centre for
Vietnam Studies’ katika chuo kikuu cha kusini cha Illinois ambacho
kilishutumiwa kuwa ni miongoni mwa vivuli ambavyo CIA inavitumia kufichia kazi
zake chafu.
Shirika hilo la USAID lilitoa fungu kwa mradi mwingine ulio fahamika kama Midwest Universities Consortium for International Activities (MUCIA) ambao ulihusisha vyuo vya Illinois, Wisconsin, Minnesota, Indiana na Michigan State ambavyo navyo vilishutumiwa na CIA kwa ajili ya kufanikisha miradi yake ukiwemo ule wa ‘agricultural education’ nchini Indonesia, na ‘miradi’ mingine kwenye nchi za Afghanistan, Mali, Nepal, Nigeria, Thailand, na Vietnam Kusini. Madai haya yalikuja mwaka 1971 mwaka ambao Ann Dunham alikuwa akifanya kazi kwenye shirika la USAID nchini Indonesia.[16]
Nafasi ya USAID kwenye CIA
Shirika hilo la USAID lilitoa fungu kwa mradi mwingine ulio fahamika kama Midwest Universities Consortium for International Activities (MUCIA) ambao ulihusisha vyuo vya Illinois, Wisconsin, Minnesota, Indiana na Michigan State ambavyo navyo vilishutumiwa na CIA kwa ajili ya kufanikisha miradi yake ukiwemo ule wa ‘agricultural education’ nchini Indonesia, na ‘miradi’ mingine kwenye nchi za Afghanistan, Mali, Nepal, Nigeria, Thailand, na Vietnam Kusini. Madai haya yalikuja mwaka 1971 mwaka ambao Ann Dunham alikuwa akifanya kazi kwenye shirika la USAID nchini Indonesia.[16]
Mama yake Obama aliingia kwenye mtandao huu mpana kupitia kwa wazee wake.
Julai 10 mwaka 1971, New York Times liliripoti kuwa USAID na CIA
wanashutumiwa kwa kupoteza dola za
Marekani bilioni 1.7 zilizotumika vibaya katika mpango uliofahamika kama Civil Operations and Revolutionary
Development Support (CORDS) Viernam Kusini. CORDS ilikuwa ni sehemu ya mpango
wa CIA ulio fahamika kama Phoenix.
Fedha zilizo kuwa zikitolewa na USAID kwa ajili ya kufanikisha shughuli za kimaendeleo vijijini hazikuwa na lengo hilo ispokuwa kufunika shughuli za CIA zilizo kuwa zikilenga kuzuia harakati na kuenea kwa ukomunisti. Dunham alisafiri pia kuelekea Ghana, Nepal, Bangladesh, India na Thailand akifanya shughuli za kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo, shughuli ambazo zilikuwa chini ya USAID, shughuli hizi zilikuwa ni shuka kufunika kazi Fulani za CIA. [17]
wa Kwa njia moja au ngingine wazazi wa Obama wa pande zote mbili walijihusisha vilivyo na kazi za CIA.
Fedha zilizo kuwa zikitolewa na USAID kwa ajili ya kufanikisha shughuli za kimaendeleo vijijini hazikuwa na lengo hilo ispokuwa kufunika shughuli za CIA zilizo kuwa zikilenga kuzuia harakati na kuenea kwa ukomunisti. Dunham alisafiri pia kuelekea Ghana, Nepal, Bangladesh, India na Thailand akifanya shughuli za kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo, shughuli ambazo zilikuwa chini ya USAID, shughuli hizi zilikuwa ni shuka kufunika kazi Fulani za CIA. [17]
Sehemu kubwa ya fedha za USAID ZINAKWENDA KUDHAMINI KAZI CHAFU ZA CIA Ambazo zina baraka ya Washington
Wakati Dunham aliporudi Hawaii
alimuacha Obama kwa bibi yake, bibi huyu alifahamika kama Madelyn Dunham na alikuwa ni rais wa kwanza
mwanamke kwenye benki ya Hawii kwenye jiji la Honolulu.
Benki hii ilitumiwa na mashirika/vishirika na miradi kadha wa kadha iliyokuwa chini ya CIA. Hii ni moja ya benki iliyotumiwa na CIA kusafishia fedha zao na pia kutuma fedha zao kwenda kwenye miradi mbalimbali chini ya jicho la rais wa benki hiyo ambaye ni bibi yake na Obama kwa upande wa mama, bibi Madelyn Dunham.[18]
wa Ni kama hakuna tofauti baina ya CIA na USAID, ambako mama yake Obama na wazazi wake wengine walifanyia kazi kwenye shirikia hilo.
Benki hii ilitumiwa na mashirika/vishirika na miradi kadha wa kadha iliyokuwa chini ya CIA. Hii ni moja ya benki iliyotumiwa na CIA kusafishia fedha zao na pia kutuma fedha zao kwenda kwenye miradi mbalimbali chini ya jicho la rais wa benki hiyo ambaye ni bibi yake na Obama kwa upande wa mama, bibi Madelyn Dunham.[18]
Kazi kubwa ya mashirika haya ya msaada ya Marekani inasemwa ni kusambaza Demokrasia, lakini hiyo demokrasia watakuletea kwa njia nyingi ikiwemo vita, mapinduzi n.k
Hivyo inaonekana wazi kuwa wakati 'baba' yake Obama alikuwa ni ajenti wa CIA
katika kupambana na ukomunisti usiingie Afrika Mashariki na hasa Kenya, Mama
yake Dunham akiwa na baba wa kambo wa Obama Soetoro walikuwa wakifanya kazi
kama hiyo hiyo chini ya CIA ndani ya Indonesia. Lakini bibi yake na Obama naye
kwa upande wake akiwa Hawaii alisimamami kazi za CIA kwa upande wa fedha
kuhakikisha zinafika pale zinapotakiwa kwa madaraka aliyo pewa.
Babu yake na Obama kwa upande wa mama yake bwana Stanley Armour Dunham naye alikuwa ni ajenti wa CIA Lebanoni nchini Beiruti kwenye miaka ya 1950.[19]
Ukitazama historia ya Obama Sr. na Ann Dunham, utaona zinawiana vilivyo hasa kwa upande wa kazi walizokuwa wakizifanya, tofauti na historia ya Frank M Davis, ambaye hasa ndiye kwa kila kitu anaonekana kuwa ndiye baba halisi wa Obama.
Hatimaye 'Munchiria Candidate' amekamilika, amewiva.
Babu yake na Obama kwa upande wa mama yake bwana Stanley Armour Dunham naye alikuwa ni ajenti wa CIA Lebanoni nchini Beiruti kwenye miaka ya 1950.[19]
wa Yes! Hapa namuona Obama kiurahisi zaidi kuliko kwenye ile picha ya kutoka Kenya.
Lakini historia mbaya ya Davis na kazi alizokuwa akifanya ndiye zilizo wafanya Obama Jr. mama yake, CIA, na wengine ambao walisha andaa maaisha ya kijana huyo kuingia white house kumkataa Davis na kumchagua Obama Sr. kwa sababu za kisiasa. Davis kama baba wa Obama Jr. angezidi kutia doa kwenye mbio za uraisi kwa Obama kuliko zilivyo kwisha kuwa ngumu kutokana na historia inayo izunguka familia yake na Obama mwenywe.
MH! Hapa tumeibiwa, hata kwa kusingiziwa , lakini tumsingizie mengine huyu baba, ila si kumuita ni baba wa Obama.
Ukiitizama ripoti hii ya Wayne Madsen na ukipiti avyanzo vingine huru vya
habari kuhusiana na kijana huyu kutoka ‘Kenya’ utaona mkono mrefu wa CIA ulivyo
kuwa unamuaandaa kijana huyu hata kabla hajazaliwa. Utaona kuwa Obama ni chaguo
la CIA, Obama ni mteule wa CIA, Obama alichaguliwa muda mrefu nyuma hata kabla ya
mwaka 2008 kuwa rais wa taifa hilo, utaona kuwa si kila mtu anaweza kuwa rais
wa Marekani, utaona kuwa kijana huyu mweusi hakuikanyaga White House kutokana
na kura za watu, Huyu ni nabii wa Illuminati, amelelewa chini ya jicho la CIA
ambayo ni asasi nyingine muhimu ya Illuminati.
Hivyo amekuja kusimamia kazi za Illuminati. Nabii huyu amebeba sifa zote anazotakiwa kuwa nazo nabii wa Illuminati.
Stori ya mfalme mteule inaendelea ... stay tuned ...
Chagua jibu sahihi, ni yupi Baba wa kweli wa Obama kati ya picha mbili hizi zilizo pembezoni mwake?
Hivyo amekuja kusimamia kazi za Illuminati. Nabii huyu amebeba sifa zote anazotakiwa kuwa nazo nabii wa Illuminati.
Stori ya mfalme mteule inaendelea ... stay tuned ...
wa Ikiwa kwa namna moja ama nyingi swali lile hujalielewa, nalirudia tena hapa na kwa picha zinazo onekana vizuri zaidi, TELL ME WHO IS THE FATHER BETWEEN SR. OBAMA AND DAVIS?
[3] Scott Fornek, Chicago Sun-Times, Sep 09, 2007
[8] Wayne Madsen , Special Report:The Story of Obama: All in The
Company (Part I), AUGUST 16, 2010, From Washington D.C. (USA)
[14]Wayne Madsen , Special Report:The Story of Obama: All in The
Company (Part II), AUGUST 16, 2010, From Washington D.C. (USA) http://www.infowars.com/bombshell-‐barack-‐obama-‐conclusively-‐outed-‐as-‐cia-‐creation/
[18] Ibid
[19] Ibid
Umezdi kunifungua macho mkuu....asante sana kwa habari hizi nzuri.
ReplyDeleteI have switched my account to this one...Robhin Thomas Edson as Rorya Finest Media
Hahahaha dunia inamamno
ReplyDelete:s
ReplyDeleteThe world is full of lies.....so tunaendeshwa ba familia moja halafu.hiyo dada kuzaa Na weusi syo Amina Joh makini au kutembea Na watu weusi nini maana yake
ReplyDeleteJeff sijakupata ikiwa ni swali au unachangia, but thanks for visit
DeleteIt is more than a lecture
ReplyDeleteHahah....yajayo wanayajua wao
ReplyDelete