Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Thursday, April 16, 2015

JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? pt 3


Lengo hasa ni kutengeneza kiu ya kutaka kujua juu hasa ya kuwepo kwa ‘wageni’ hao na kuwafanya watu wafikiri na kudhani kuwa ni kweli, viumbe hao kutoka sayari ya mbali wapo, ni kweli kuwa ‘wageni’ wamerudi tena. Mwaka 1947 aliyekuwa rais wa Marekani na Freemasons kwenye daraja la 33, Harry S. Truman alitengeneza kile kilicho itwa Majestic 12 au MJ12, kamati ya siri ya wanasayansi ikishirikiana na serikali, ilichaguliwa kulifanyia utafiti na uchunguzi suala Roswell, UFO na viumbe kutoka nje ya sayari yetu.

Sunday, April 5, 2015

JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? pt 2


Kuonekana kwa UFO kwenye anga la sayari yetu ya dunia siyo jambo jipya na geni. Katika kumbukumbu nyingi za kale kumekuwa na rekodi za vyombo mbalimbali vya kusafiria vya kale ambavyo vilikuwa na sifa za kupaa kama gari za angani, diski zenye mbawa, ndege na vyombo vingine vya angani vyenye mwanga mkali.

Wednesday, April 1, 2015

JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU?

“Wale ambao hawawezi kukumbuka historia, ndiyo ambao kimakosa wanarudia makosa ya kihistoria” - George Santayana



     Rais wa 40 wa taifa la Marekani, mwenye daraja la 33 kwenye asasi ya Freemasons na pia mwanachama wa asasi nyingine ya siri inayokwenda kwa jina la Knights of Malta na mwenye damu ya kifalme ya kishetani, Ronald Reagan mara kwa mara amekuwa akizungumzia ni namna gani dunia nzima itaweza kuungana endapo patakuwepo na kitisho cha uvamizi wa viumbe kutoka sayari nyingine.