Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Wednesday, March 18, 2015

VITA 'FAKE' DHIDI YA ISLAMIC STATE ...



Tangu Agosti 2914, Jeshi la Anga la Marekani na washirika wake, nchi 19 kwa pamoja bila kuchoka wamekuwa wakifanya mashambulizi ya nguvu dhidi ya Syria na Iraq, kwa dhana kwamba wana walenga Islamic State, wanamgambo wenye ‘msimamo wa kati’ ambao nguvu na silaha zake wamezipokea kutoka kwa Marekani na kwa nchi washirika.

Thursday, March 12, 2015

ISIS NA KHILAFAH YA OBAMA PT 2


Ushirika wa US-NATO 2011 ulianza kuwagawia silaha vikundi vya kigaidi wakiwemo Al Qaeda kwa ajili ya kuangusha utawala wa Libya. 

Sunday, March 8, 2015

ISIS NA KHILAFAH YA OBAMA



IS (Islamic State) inatoa upenyo sawia kwa majeshi ya NATO na Marekani kuwepo na kuendelea kuafanya ‘kazi’ zao ndani ya Mashariki ya Kati.

Sunday, March 1, 2015

HATUKWENDA MWEZINI PT 4 (sesonal fenale)

NI KWELI HICHI NDICHO CHOMBO KILICHO KWENDA MWEZINI? PICHA YA KARIBU YA APOLLO, TIZAMA MAKARATASI, 'SOLETAPE' MH?

Hakuna picha ya rangi hata moja katika hizo zilizo pigwa ‘mwezini’, zote ni black and white na zikiwa na ubora finyu kabisa wa kuweza kuzichanganua.