Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Friday, December 13, 2013

FREEMASON WA KIKOLONI HAWAKUIACHA AFRIKA HURU ...

Umewahi kuitizama filamu iliyokwenda kwa jina la ‘Sugar Hill’, ni filamu ya siku nyingi, na naweza kusema moja ya filamu za mwanzo kuchezwa na Wesley Snipes, nimeitaja filamu hii kwa vile maudhui yake kwa namna fulani yanataka kuwiana na posti yetu ya leo.

Katika filamu hii familia ya ‘Skuggs’ ambayo ndiyo familia anayo toka Wesley Snipes, imeathirika na dawa za kulevyea, kutoka Baba, Mama na baadaye watoto na hasa kaka yake na Snipes.
Snipes na ndugu yake walishuhudia mama yao akifa mbele ya macho yao baada ya kuzidisha dozi ya dawa za kulevyea, badaye baba yake alipata ulemavu kutoka kwa wauza baada ya kushindwa kulipa fedha alizokuwa akidaiwa, ulemavu huo ambao nusura uondoke na maisha yake, lakini hata hivyo bado ni dawa za kulevyea ndizo zilizo kuja kumua baba yao.

Saturday, December 7, 2013

NYEUPE NA NYEUSI NDANI YA FREEMASON

LEO WAPENDWA NINGEPENDA TUTIZAME SAKAFU NDANI YA HALL LA KIMASONIA, NIMEPENDA KULIZUNGUMZIA HILI KWA VILE SAKAFU HIYO HAIPO KWA BAHATI MBAYA NDANI YA MAHEKALU YA KIMASONIA, NA UTAZIKUTA KATIKA KILA KONA YA HEKALU LA KIMASONIA KOKOTE DUNIANI, LAKINI MBAYA ZAIDI, ALAMA ZENYE KUFANANA NA NAKSHI ZA SAKAFU HIYO TUMEKUWATUKIKUTANA NAZO NA KUZITUMIA KWA NAMNA MBALIMBALI BILA KUJIULIZA ZIPO HAPO KWA MAANA NA SABABU GANI, SASA LEO TUTAANGALIA MAANA HALISI YA SAKAFU HIZI .....

Monday, December 2, 2013

NAMBARI TISA (9) NA KUMI NA MOJA (11) KWENYE DUNIA YA KIMASONIA

LEOTUTAZUNGUMZIA ALAMA NEMBO ZA KIMASONIA, NA LEO TUTATIZAMA KWA UNDANI NAMBARI TISA (9), KISHA KUMI NA MOJA (11), HALAFU MWENGE …

Kwa freemasonry lugha yao ipo mahususi kwenye maumbo na alama mbalimbali lakini pia bila kusahau nambari, umuhimu wa nambari kwa freemasonry na asasi nyingine za siri unakuja pale ambapo elimu ya kale kabisa ilihifadhiwa katika nambari na kwa watu hawa hisabati limekuwa ni somo muhimu mno,

“Elimu ya kwanza duniani imekuja Kwa alama mbalimbali, hekima za watu wa Chaldean, Phoenician, Egypty, Kaanani, wanafalsafa kama akina Zoroaster, Sanchoniathon, Pherecydes, Syrus, Pythagoras, Socrates na Plato, vyote vya zamani vilivyokuja katika mikono yetu, vimekuja kwa njia ya alama”