Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Thursday, October 31, 2013

BENKI JINAMIZI LA TAIFA (WEZI WALIO PEWA LESENI)

“Kama watu wa Marekani wataruhusu benki binafsi kusimamia suala nyeti la mzunguko wa fedha, kwa njia ya ‘inflation’ na ‘deflation’, benki hizo na mashirika yatakayo yazalishwa na nazo, yatawanyonya watu na kuwapora kila kitu mpaka siku moja watoto wao wataamka hawana nyumba kwenye bara ambalo baba zao walilipigania uhuru” – Thomas Jefferson



Watu wanaishi katika mataifa tajiri kuliko hapa duniani, lakini siku zote, eidha ni kwenye mataifa hayo au nchi masikini, utakuta kuna ukame au upungufu wa ‘fedha’. Leo hii wanawake nao wanaingia kwenye ajira, mamia kwa maelfu, wanaume zao wanatamani kupata kazi ya ziada au ongezo kwenye mshahara, watoto nao wameingia kwenye ajira, tena kwenye kazi mbovu za ajabu, deni la familia nalo linazidi kukuwa kila uchao, na watu wa saikolojia wanathibitisha kwenye tafiti zao kuwa moja ya sababu ya ndoa, familia kuvunjika na kuparaganyika ni juu ya kitu kinacho itwa ‘pesa.’

Tuesday, October 29, 2013

WAPENDWA SIJAWATUPA NI MAJUKUMI MENGINE TU YAMENIBANA, LAKINI SOON NITAWAPATIA KITU ......


Wednesday, October 16, 2013

MFUMO WA MABENKI NA HATMA YETU

AU UNAWEZA SEMA, MFUMO WA BENKI UMEPEWA LESENI YA KUWAIBIA WANANCHI.


Tumalizie kisa cha Sonara kwanza,

Wakati mfalme William wa Orange alipokuwa kwenye wakati mgumu wa kifedha kwa sababu ya vita vyake na Ufaransa, ilibidi akope fedha kutoka kwa ‘SONARA’ (Goldsmiths) lakini haikutosha kumkopesha buree tuu ukizingatia alikuwa nahitajia pauni milioni 1.2, ambacho kipindi hichi na hata sasa hivi leo hii ni kiasi kikubwa mno cha fedha, kikubwa si kidogo, Goldsmiths wakampatia masharti mfalme William ambayo endapo atakubaliana nayo, basi watampatia huo mzigo anao taka.


King William of Orange

Friday, October 4, 2013

SIRI YA PESA NA ILLUMINANTI



“Kama kutakuwa na makundi mawili, badala ya kuwa benki na jamii, iwe mwana jamii mmoja na mwingine, wasingeweza kuendesha mfumo wa ukopeshaji kwa kanuni nyepesi tu, kwamba, mkopeshaji hawezi kukopesha kile asicho kuwa nacho, kama sinavyo fanya benki. Ni benki za biashara tu na taasisi zingine za fedha ndizo zinazo weza kukopesha pesa hewa wanazo zatengeneza kwa kukopesha.”
Profesa Irving Fisher, mwanauchumi kwenye kitabu chake 100% Money

“Nipe nguvu ya kutawala sarafu ya nchi na sitajali ni nani anaye tunga  sheria”
Amschel Rothschild