Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?

Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.

Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.

Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!

Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%

NAIKUBALI HII

NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH

Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...

Friday, June 28, 2013

TAHADHARI NA CHANJO!!!!!!!! pt 3



tunaendelea ....

Miaka kadhaa nyuma jarida la Reuters liliripoti hivi:

Ugonjwa ambao unafanana na ukimwi umeuwa watu 60,0000 kusini mwa Sudani. Ugonjwa huu waliupa jina la MUUWAJI. Kutoka familia na wakati mwingine kijiji kizima kinatoweka, yaani wanakufa. Ugonjwa huu unaambatana na homa kali pamoja na kupungua uzito. Dalili zake ni sawa na zile za AIDS. Kinga ya mwili inapungua na mtu anakufa kwa chochote kile kinacho mpata.”

Wednesday, June 26, 2013

TAHADHARI NA CHANJO!!!!!!!! pt 2

TUNAENDELEA
Lengo ni lipi kwa viongozi wa kidunia kuharibu afya za watu kutoka wakazi wa nchi tajiri mpaka zile masikini?


Marekani ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kuwapatia wananchi wake chanjo, na ndiyo nchi yenye kesi nyingi za ugonjwa wa Autisim, ambao sababu za ugonjwa huu ni chanjo, yapo maandishi na kazi za kutosha zinazo onganisha ‘
autisim’ na chanjo na hii ni kutokana na kile kinacho gahamika kama mercury ndani ya chanjo hizo.

Tuesday, June 25, 2013

TAHADHARI NA CHANJO!!!!!!!!



Kipi ni kipi kwenye suala la chanjo,?
Madhara ya kuipokea ni makubwa kushinda madhara ya kutoipokea?
Vipi kuhusu magonjwa, je usipo pokea chanjo magonjwa yanayo taja yanaweza kuwa na balaa zaidi kwako kushinda hiyo chanjo yenyewe?
Uwiano baina ya faida na madhara ya chanjo ni muhimu kwa kila ambaye anadhania kufanya chanjo, ili kujiweka katika nafasi iliyo nzuri ya kukubaliana au kutokukubaliana na zoezi zima la chanjo.

Ni muhimu tukafahamu ikiwa magonjwa ya watoto tunao ambiwa kuwa yanahitaji chanjo kama ni kweli yanayo madhara au kama ni makubwa kama ambavyo yanavyo elezwa na watu wanao fanya kampeni za chanjo.

Pia kunatafiti ambazo zinafungiwa macho na watu wanaoa fanya kampeni za chanjo ikiwa chanjo zina madhara makubwa hata kushinda magonjwa ambayo inadai kuwa yanakwenda kutibu.


Mathalani USA madhara ya chanjo yamekuwa makubwa kiasi kwamba zimtumika dola bilioni 1.8 kwa ajili ya kuwalipa wale ambao wamepatwa na madhara kutokana na chanjo. (HRSA Statistics report June 1, 2009, awards paid)

FDA (Food and Drug Administration) imekiri kwamba ripoti 12,000 zinazo pokelewa kila mwaka kwa upande wa madhara ya chanjo, inawakilisha sehemu ndogo sana ya kile ambacho kinachotokea kama madhara ya chanjo hizo.( Reported by KM Severyn, R.Ph.D. in
the Dayton Daily News, May 28, 1993. Ohio Parents for Vaccine Safety, 251 Ridgeway Dr., Dayton, OH 45459) Takeimu hizo pia zimethibitishwa kuwa ndivyo na wachunguzi wa NVIC (National Vaccination Information Center "Investigative Report on the Vaccine Adverse Event Reporting System")



Taarifa ya NVIC imeripoti kuwa ni New York peke yake, ambako ni mmoja kati ya madaktari 40 tu, yaani 2.5% ndiyo wanao ripoti vifo na madhara ya chanjo.

Haina mashaka kabisa kuwa chanjo zinayo madhara, sasa upo tayari kumtoa muhanga mtoto wako? Ingawa hujaambiwa kuwa unamtoa mwanao mhanga, lakini hivyo ndivyo kila wakati unapo mpeleka mwanao kuchukua chanjo.

Statistiki ni moja ya zana inayo tumika kutuonesha kuwa chanjo inafanya kazi...
Majendwali yanakuwa yanatumika kuonesha uwiano baina ya kitu kimoja na kingine kwenye vipindi tofauti vya muda, lakini watu wa chanjo wamekuwa wakitumia majedwali ambayo yanaonesha kuwa magonjwa fulani yamepungua na kunasibisha athari hizo na chanjo zao.
Wakati mwingine magonjwa yalishaanza kutoweka kabla hata ya chanjo kuanza lakini wao watasingizia ni chanjo ndiyo iliyo leta mageuzi hayo.

Njia nyingine wanayo tumia pale wanapo weka ubaoni taarifa zao ni kuzitaja kiujumla wake zaidi, yaani kama vile taarifa za ulimwengu kwa ujumla badala ya nchi au mkoa au kitongoji. Hii hutumika mara nyingi mno, yaani taarifa za kiujumla zinazo tumika huenda hata hazimgusi mtoto wako kwenye nchi, mkoa achilia mbali kitongoji chako, lakini wanatumia ujumla huo kwa ajili ya kukutisha ili uweze kumsalimisha mwanao kwenye kituo cha chanjo.


Mathalani wanaweza kusema watoto “242,000 wanakufa kila mwaka kutokana na utapiamlo”. Hawato kuambia au hawatokupa takwimu za wapi na eneo husika wanazitoa kwa ujumla wake tu.

Unapo ona takwimu za mlipuko wa magonjwa kuwa makini nambari ya idadi inayo tajwa, ni nadra sana kusema ni wangapi katika waliopata magonjwa hayo ya mlipuko kuwa wamepatiwa chanjo. Chanjo haikupatii wewe kinga.

Utakuta kuwa magonjwa au ugonjwa ulishaanza kupungua kabla ya chanjo kutolewa lakini watoa chanjo hawawezi kukiri hilo. Pia watoa chanjo baada tu yakufanya zoezi lao moja kwa moja wanakimbilia kusema kuwa ugonjwa umepungua kutokana na chanjo. Lakini kile ambacho hawakisemi ni kuwa chanjo haiwezi kufanya kazi mpaka baada ya mwaka mmoja ndiyo takwimu zitizamwe ilikuweza kuona kama kweli chanjo zimeleta mabadiliko yoyote.


Bado wapo wale ambao wanao amini kuwa juu ya chanjo. Kawaida huwa ni wakali mno unapo jaribu kuwaelezea ubaya wa chanjo. Imani kuu watu wengi waliyo nayo ni kwamba haya magonjwa ni hatari yanauwa na chanjo ndiyo pekee inayo weza kubadilisha hali hiyo. Mtu yupo tayari mtoto wake apate madhara ya chanjo, lakini asimnyime chanjo kwa vile dakitari kasema, kwa vile imetangazwa kwenye luninga, kwa vile kiongozi filani kasema ...
Kikubwa unapo kutana na mtu wa aina hii kama hana ushahidi wowote wa namna gani chanjo inasaidia kinga ya mwili zaidi ya maneno aliyo msikia fulani kasema, basi jaribu kumuelimisha au achana naye ...


Ukweli hauwezi kuogopa upekuzi pekuzi, kama kweli chanjo zinaleta tija kwa watoto wetu na mama wajawazito, basi madaktari na viongozi wanaogopa nini na kuwatishia watu pale wanapo hoji uhalali wa chanjo?
Dakatari atakuambia mimi ni dr. Na nimekwenda shule miaka kadhaa kusomea hichi kitu so hufahamu chochote wewe...  lakini hili halimafanyi dr kuwa juu ya kila kitu, hapa siyo ishu ya umesomea nini na umesomea miaka mingapi, hapa ni ishu ya fact na ukweli, hii ni ishu ya uhai na kifo ...
Ni watu wangapi kila mwaka wanakufa kutokana na makosa ya madaktari?

Makala moja kwenye ‘Journal of the American Medical Association (JAMA) inasema kuwa madaktari ndani ya USA wanashikilia nafasi ya tatu kwa kuuwa watu, kila mwaka wanauwa watu 225,000 na 106,000 ya vifo hivyo ni kutokana na madhara ya dawa wanazo pewa wagonjwa.
Watu hao wameuwawa na madakatari ambao wamfenya makosa, suala la afya ni biashara kwa sasa, na daktari hakutizami kama mgonjwa, bali mteja ambaye atapenda uende na urudi tena kwake, ukipona atapata wapi pesa?
Takwimu hizo ni za mwaka 2000, kwa sasa ndani ya Marekani madaktari wanashikilia nafasi ya kwanza kwa kuuwa watu, wanauwa watu kushinda hata watu wanao kufa kutokana na kupigwa risasi!

Bado unaamini kuwa ni sawa kwa mtoto wako kupokea chanjo kwa vile Dr. Kasema hivyo?
 ITAENDELEA ...

Friday, June 21, 2013

ONYO! CHANJO NI HATARI KWA UHAI WAKO ...

WAPENDWA NAJIHISI NINAKAZI KUBWA MNO YA KUFANYA, KAZI YA KUWAELIMISHA WATANZANIA WENGI, NDUGU ZANGU JUU YA UBAYA NA NJAMA ZA MAADUI ZETU, HAKUNA MWINGINE WA KUIFANYA KAZI HII ILA MIMI, NA NIPO HAPA KWA AJILI HIYO ... NINACHO HITAJI KUTOKA KWENU WASOMAJI WANGU SI KINGINE BALI MUDA WENU MCHACHE KUPITIA POST HIZI NA KUWAARIFU WENGINE JUU YA HILI KWA NJIA YOYOTE ILE INAYO WEZEKANA ...

CHANJO NI HATARI KWA AFYA YAKO ... 

“Chanjo ya pekee iliyo salama, ni chanjo ambayo haijawahi kutumika.” (James R. Shannon, National Institute of Health)

Kabla hasa ya kutizama nini hasa maana ya ‘chanjo’ kwanza hebu tutizame kazi hasa ya chanjo ni nini. Kama kilivyo kitu kingine chochote, kazi yake lazima ifanane na maumbile, muundo au sifa ya kitu chenyewe. Namna ambavyo sifa au maumbile ya hichi tunacho kiita chanjo yalivyo, tunaweza kuziona kwa maneno rahisi kabisa kazi za chanjo ni zipi, na kwenye kazi ya chanjo ndipo palipo na maana halisi ya chanjo. Chanjo imetengenezwa kwaajili 
ya,

Thursday, June 20, 2013

NGONO NA FREEMASON

Utaona kwamba, moja katika ibada za kishetani za Illuminanti na freemason kwa kiasi kikubwa ibada hizo huusisha na mambo ya ngono. Ngono kila mahali na kila kona, ngono, ngono, ngono ...
Lakini haijaishia hapo, alama na nembo za ngono utazikuta katika alama mbalimbali za kimasonia, lakini ili kuweza kuongeza au kutilia athari ya nguvu hizo au kuiharibu jamii, au kuifanya jamii na yenyewe isifikirie kingine zaidi ya ngono, utaona nembo na alama hizo za kishetani zenye maudhui ya ngono zinawekwa na kubandika katika kila njia, utaona ndiyo maudhui kwenye viwanda au tasnia ya filamu, ndiyo maudhui kwenye muziki, mdiyo maudhui kwenye vitabu vya hadithi, ndiyo maudhui mpaka kwenye mavazi ... n.k
Hizi hapa ni baadhi tu ya nembo za kimasonia ambazo kati ya mengi pia kiuhakika zinasimama kama alama au tendo la ngono baina ya mwanamke na mwanaume ....

Wednesday, June 19, 2013

FREEMASON NA ALAMA ZA SIRI ZA MIKONO Pt. IV

“JACHIN”
MSHIKO WA UTAMBULISHO KWA MFUASI WA DARAJA LA PILI



Mwanamasonia atamshika mkono mwanamasonia mwenzake, kama watu wanavyo salimiana kawaida, na kisha atalibonyeza dole gumba lake kwa nguvu kwenye nakozi ya pili, na masonia mwenzake naye atafanya hivyohivyo dhidi yake.

Kisha maneno ambayo WM na SD walibadilishana awali yatafanyika mpaka kufikia kwenye hatua ya kutaja jina la mshiko huo, ambalo nalo litatajwa kwa herufi au kwa kuligawa mara mbili.

Monday, June 17, 2013

FREEMASON NA ALAMA ZA SIRI ZA MIKONO Pt. III


TUENDELEE NA SEHEMU YA TATU ....

Katika daraja la pili, maarufu kama FELLOW CRAFT DEGREE
 (Second Degree in the Blue Lodge)

DUEGARD OF THE FELLOW CRAFT

Mwanachama wa kimasinia anapo ingizwa au kupandishwa katika daraja hili, hufanya au husimama katika hali ambayo tunaiyona hapo juu katika picha.
“Mkono wangu wa kulia upo kwenye biblia takatifu, bikari na kompasi, mkono wangu wa kushoto unatengeneza engo


Tuesday, June 11, 2013

GUYS MAJUKUMU YA KAZI ZA WATU WAMENING’ANG’ANIA VIZURI SANA, KIASI KWAMBA NASHINDWA KUPOST KILA WAKATI KILA NINACHOTAKIWA NA KWA MUDA UNAO TAKIWA, LAKINI MSIJALI, TUPO PAMOJA ... MUDA WOWOTE NITAKAO PATA NAFASI SITAWAACHA WATUPU, NITAWARUSHI CHOCHOTE KITU


Thursday, June 6, 2013

UBAONI LEO NI 6.6.6

Habari za mchana wapendwa,

Ningependa kuwapatia kidokezo hichi kwa leo,

Mnajua leo ni tarehe ngapi?

Eeeh! Leo ni tarehe 6.6. 2013


Unamuona Bush na Clinton wakipunga hewani alama ya bundi, na pia inafahamika kama pembe za shetani, pembe ya mnyama pembe ya 666.

KAMA VILE NAMBARI YA MNYAMA, AU JINA LA MNYAMA

Kuna chochote maalum kitatokea SIKU YA LEO?

Hapana sijui chochote, ila nimependa tu, mujuwe kwamba tarehe ya leo imekaa vibaya kwetu, na imekaa vizuri sana kwa maadui zetu.


Kuna chochote wanafanya, watafanya, I dont Know ......
Ukiacha tarehe na mwezi, mwaka nao uko hivi 2+0+1+3= 6

Kwahiyo ni 6.6.6.
Kwa hiyo ubaoni leo linasoma jina la mnyama ...

Monday, June 3, 2013

WAPENDWA HABARI ZA LEO, KWA KWELI SIJAWATUPA, MCHAKAMCHAKA WA MAJUKUMU UMEKUWA MREFU ... LAKINI BADO NIPO NA NITAENDELA KUWALETEA VITU KARIBUNI KWENYE BLOG YETU MUIPENDAYO .. LEO TUNAENDELEA NA NAMBARI 11 ...