JE HILI LINATOSHA KUMFANYA KANUMBA AWE NI FREEMASONRY? KWA SABABU ALIKUWA MAARUFU, ALIKUWA NA KIPAJI, ALIKUWA NA MVUTO KWENYE JAMII NA ALIKUWA NA USHAWISHI WA KIPEKEE KWENYE JAMII KUTOKANA NA KAZI ZAKE, JE HILI LINAWEZA KUMAPATI HIYO TIKETI YA UMASONIA?
Bahati mbaya sana kwa wakazi wa dunia kila mpango wa uliofanywa na maadui zetu unakwenda kama wanavyo taka wao, New World Order iko wazi, lakini ni kwa wale walio huru kiakili ndiyo wanayo weza kuiyona, wengine tunasubiri itangazwe rasmi. Lakini nikipi hicho kilichoko kwenye New World Order?
Mpango mchafu, mweusi mbaya na hata usiofikirika kwa mtu wa kawaida ni KUPUNGUZA idadi ya watu duniani kwa asilimi 90! Iliasilimia 10 itakayo baki iwiane vizuri na mazingira yake. Kwa kutumia njia mbaya na kushinda mnyama. Hapo utakutana na Nyota ya Kijani, Mpango wa uzazi salama, elimu ya ngono mashuleni, vyakula na madawa yanayotiwa dawa na visababishi vya ugumba kwa siri, virusi na maradhi ya kutengeneza maabara kama ebola, ukimwi, chanjo za aina kwa aina, vita kila kona ya dunia na mapango wa WWIII, ukame na majanga mengine ya kutengeneza tunayo dhani ni ya asili.
Kisha idadi ya watu inayotakiwa ikisha fikiwa ajenda itawekwa hadharani ikiwa na Serikali Moja ya Dunia (Serikali ya Kishetani), Dini moja kwa watu wote (Dini ya Kumuabudu Shetani) Jeshi Moja la Dunia (Kwa ajili ya kupambana na wale watakao taka kuipindua serikali hiyo) Sarafu moja kwa dunia nzima, na wananchi wote wakuwa na Microchip kwa ajili ya kufuatilia nyendo za kila raia masaa 24/7.
Kifupi ni kuuwa asilimia 90 ya binadamu wote, na kutawala nyanja zote za maisha, na kumtawala kila mtu na kila kitu kutoka siku unazaliwa mpaka unaingia kaburini!
Wakati unafikiri hilo haliwezekani mpango huu umeshakamilika kwa zaidi ya asilimia 90%
NAIKUBALI HII
NJIA YA MATUMAINI KWA TEJA WA PORNOGRAPH
Hichi ndicho anachokisema Mwanasaikriatiki wetu Norman Doldge, “Ukurasa wa nyuma kwenye jarida la wanaume liitwalo Risque na kuras...
Saturday, May 25, 2013
JE KANUMBA ALIWAHI KUWA NI FREEMASON? Part II
JE HILI LINATOSHA KUMFANYA KANUMBA AWE NI FREEMASONRY? KWA SABABU ALIKUWA MAARUFU, ALIKUWA NA KIPAJI, ALIKUWA NA MVUTO KWENYE JAMII NA ALIKUWA NA USHAWISHI WA KIPEKEE KWENYE JAMII KUTOKANA NA KAZI ZAKE, JE HILI LINAWEZA KUMAPATI HIYO TIKETI YA UMASONIA?
Thursday, May 23, 2013
JE KANUMBA ALIWAHI KUWA NI FREEMASON?
Tuesday, May 21, 2013
FREEMASONRY WANAFANYA NINI NA MALENGO YAO NI YEPI? Part V
Sunday, May 19, 2013
FREEMASONRY WANAFANYA NINI NA MALENGO YAO NI YEPI? Part IV
Thursday, May 16, 2013
FREEMASONRY WANAFANYA NINI NA MALENGO YAO NI YEPI? Part III
Wednesday, May 15, 2013
FREEMASONRY WANAFANYA NINI NA MALENGO YAO NI YEPI? Part II
Monday, May 13, 2013
FREEMASONRY WANAFANYA NINI NA MALENGO YAO NI YEPI?
Freemasonry lengo lao kuu ni kushirikiana na asasi zingine za siri kusimamisha utawala wa kishetani ulimwenguni kwa mataifa yote na watu wote duniani. Freemasonry wanacho kifanya sasa ni kushughulikia maono hayo kuona yanatimia kwa kiwango chake.
Kwa ufupi sana hayo ndiyo malengo na ndicho wanacho kifanya freemasonry.
Lakini kama nitaachia hapo inamaana kuwa msomaji unaweza kukubaliana na mimi ama la, unaweza kukubaliana na mimi kwa maana ya kuniamini kwa hayo niliyo yaeleza au kutokukubaliana kwa maana ya kutokuamini hayo niliyo yasema.
Lakini kwa muda mrefu sana maana na maudhui ya kazi zangu binfasi katika kuwaelimisha watu juu ya hili nimekuwa nikiepuka dhana ya kumfanya msomaji wangu AAMINI kile nilichoandika, bali kumuwezesha msomaji wangu KUELEWA kile nilicho andika. Kwa maana hiyo basi madai mawili niliyo yaeleza hapo juu ndiyo yatakuwa dhana kuu ya blogu hii, kukufanya UELEWE, malengo na kazi za freemasonry kwa kina. Hivyo kwa kiasi kikubwa sana kazi zitakazo fuata baada ya hapa ni kuelezea mambo hayo mawili kwa mapana yake.
MOYO WA FREEMASONRY NA WASHIRIKA WAKE NI KUICHUKUA DUNIA YOTE NA WENGINE TUWE WATUMWA
Hayo kiuhakika ni madai mazito sana niliyo yaandika hapo dhidi ya freemasonry,
Kwamba hii dunia tunayo ishi sasa, ambayo kila nchi inayo kiongozi na mtawala wake, serikali na wafanyakazi wake, taasisi za kiserikali na mashirika yake, kwamba UTAWALA HUO SIYO UNAO TAWALA DUNIA HIVI SASA, AU SERIKALI HIZO SIZO ZILIZO NA MAMLAKA YA NCHI ZAO NA DUNIA KWA UJUMLA .....
SWALI NI NANI HAO WENYE HAYO MAMLAKA??????????
Saturday, May 11, 2013
FREEMASONRY ILIANZIA WAPI Part III
Wednesday, May 8, 2013
FREEMASONRY ILIANZIA WAPI Part II
Saturday, May 4, 2013
FREEMASONRY ILIANZIA WAPI Part I
Wednesday, May 1, 2013
WAO NI AKINA NANI?
FREEMASON AMA KATIKA LUGHA YETU 'WAJENZI HURU'
HII NI NEMBO KUU YA KIMASONIA |